Friday, January 18, 2013

NGULI WA SOKA WA ZAMANI WA UJERUMANI MUELLER AJIVUNIA KUWA NA JEZI YA MESSI.


NGULI wa soka wa Ujerumani, Gerd Mueller amesema anajivunia kuwa na jezi ya mchezaji bora duniani baada ya kupokea fulana hiyo kutoka kwa mshambuliaji nyota wa kimataifa wa Argentina na klabu ya Barcelona Lionel Messi. Mueller alitoa kauli hiyo jana wakati akimkabidhi fulana hiyo bosi wa klabu ya Bayern Munich Karl-Heinz Rummenigge ili iweze kuwekwa katika jumba la makumbusho la klabu hiyo ya Ujerumani. Messi ambaye amenyakuwa tzuo ya mchezaji bora wa dunia mara nne mfululizoalimtumia Muelller jezi hiyo baada ya kuvunja rekodi yake ya kufunga mabao mengi zaidi kwa msimu mmoja mwaka uliopita. Nyota huyo alifunga jumla ya mabao 91 mwaka jana kwa klabu yake na timu ya taifa na kuvunja rekodi ya Mueller ya kufunga mabao 85 aliyoweka mwaka 1972 kwa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

ULAYA: BUNDESLIGA YAREJEA, LA LIGA & SERIE A ZAENDELEA!!


>>NAPOLI YARUDISHIWA POINTI 2 ILIZONYANG’ANYWA!!
BORUSSIA_DORTMUND_JUKWAABUNDESLIGA, Ligi ya huko Ujerumani, leo inaanza tena baada ya kuwa Vakesheni ya Krismasi na Mwaka mpya na huko Spain na Italy, zile Ligi maarufu za La Liga na Serie A kwa Mechi Wikiendi hii.
ZIFUATAZO ni RATIBA na TAARIFA ya LIGI HIZO:
Barca wawania kuyoyoma!
Wakiwa kileleni, Pointi 11 mbele ya Timu ya Pili Atletico Madrid na 18 mbele ya Timu ya 3 Real Madrid ambao pia ndio Mabingwa watetezi, Barcelona watakuwa ugenini kucheza na Real Sociedad.
Atletico Madrid watakuwa nyumbani kucheza na Levante na Real Madrid wapo ugenini kucheza na Valencia, Timu ambayo waliifunga 2-0 hivi Juzi huko Santiago Bernabeu katika Mechi ya Kwanza ya Robo Fainali ya COPA del REY.
RATIBA:
Ijumaa Januari 11
Espanyol v Mallorca
Jumamosi Januari 19
Granada v Rayo Vallecano
Real Sociedad v Barcelona
Getafe v Sevilla
Malaga v Celta Vigo
Jumapili Januari 20
Osasuna v Deportivo la Coruna
Valladolid v Zaragoza
Atletico Madrid v Levante
Valencia v Real Madrid
Jumatatu Januari 21
Real Betis v Athletic Bilbao
SERIE A
Uongozi wa Juve hatarini toka kwa Napoli, Lazio
Uongozi wa Juventus wa Ligi Serie A upo hatarini toka kwa Napoli na Lazio ambazo ziko Pointi 3 tu nyuma ya Juve ambao watakuwa nyumbani kucheza na Timu ngumu Udinese na huenda wakaingia kwenye Mechi hiyo bila ya Viungo wao muhimu, Andrea Pirlo na Arturo Vidal ambao wana maumivu.
Lazio watakuwa ugenini kucheza na Palermo na Napoli, ambao wamerudishiwa Pointi zao 2 na FIGC, Shirikisho la Soka Italy, baada ya kushinda Rufaa yao dhidi ya Upangaji Matokeo Mechi, pia wapo ugenini kucheza na Fiorentina.
RATIBA:
Jumamosi Januari 19
Palermo v Lazio
Juventus v Udinese
Jumapili Januari 20
Fiorentina v Napoli
Atalanta v Cagliari
Chievo v Parma
Genoa v Catania
Milan v Bologna
Pescara v Torino
Siena v Sampdoria
Roma v Inter
BUNDESLIGA
Baada ya kuwa Vakesheni tangu kabla ya Krismasi, BUNDESLIGA leo inarejea kilingeni kwa Mechi moja kati ya Schalke na Hannover na Jumamosi, Vinara wa Ligi, Bayern Munich watakuwa kucheza na Greuther Fürth.
Bayern Leverkusen, ambao wapo nafasi ya Pili Pointi 9 nyuma ya Bayern Munich, watakuwa nyumbani kucheza na Eintracht Frankfurt.
Mabingwa watetezi Borussia Dortmund, ambao wako nafasi ya 3 Pointi 3 nyuma ya Bayer Leverkusen, watakuwa ugenini kucheza na Werder Bremen.
RATIBA
Ijumaa Januari 18
Schalke - Hannover [22:30]
Jumamosi Januari 19
Bayern Munich- Greuther Fürth [17:30]
Hoffenheim - Monchengladbach [17:30]
Leverkusen – Eintracht Frankfurt  [17:30]
Mainz - Freiburg [17:30]
Wolfsburg - Stuttgart [17:30]
Werder Bremen - Dortmund [20:30]
Jumapaili Januari 20 Bottom of Form

Nurnberg - Hamburg [17:30]
Fortuna Dusseldorf - Augsburg [19:30]
MSIMAMO-Timu za Juu:
[Kila Timu imecheza Mechi 17]
1.  Bayern  Pointi 42
2.  Leverkusen  33
3.  Dortmund  30
4.  Eintracht  30
5.  Freiburg  26
6.  Mainz  26
7.  Schalke  25
8.  Monchengladbach
9.  Stuttgart  25
10.  Hamburg  24

PIGO MANCHESTER UNITED DARREN FLETCHER NJE MPAKA MSIMU UJAO


Blow: Darren Fletcher (left) has undergone surgery on his condition and will be out until next season 
Manchester United imethibitisha kuwa Darren Fletcher atakosekana kwa sehemu yote ya msimu iliyosalia kutokana na kulazimika kufanyiwa upasuaji kuondoa tatizo sugu la tumbo ambalo limekuwa likimsumbua.
Fletcher mwenye umri wa miaka 28 amekuwa akisumbuliwa kwa karibu miaka miwili na maumivu hayo kitaalamu yakitambuliaka kama 'ulcerative colitis' na United imesisistiza kuwa upasuaji huo ilikuwa ni sehemu ya mpango wao na kwamba hiyo itampa faraja hapo baadaye.
Kiungo huyo raia wa Scotland kwa mara ya mwisho kuonekana dimbani ilikuwa ni katika mchezo mchezo dhidi ya Newcastle United siku ya Boxing Day ambapo United ilishinda kwa mabao 4-3 ambapo aliingia akitokea benchi na kwa ujumla amecheza michezo 10 tu msimu huu baada ya kurejea mwezi kufuatia kuwa nje kwa miezi 10.
 
 Taarifa ya klabu imesema,
‘Darren Fletcher atakosekana kwa kipindi chote cha msimu kilichosalia kwani amefanyiwa upasuaji kuondoa tatizo lake la ulcerative colitis'. 
Fletcher amekuwa akisumbuliwa na tatizo hilo tangu March 2011 ingawa kufuatia kukosekana kwa kipindi kirefu hapo awali kulikuwa kunatafsiwa pengine anasumbuliwa na matatizo yanayosababishwa na virus. 
Baada ya kukosekana mwanzoni mwa kampeni ya kuanza msimu wa 2011-12, alirejea baadaye na kucheza michezo lakini baadaye tena akalazimika kupumzika kwa kipindi kirefu zaidi.
 Si tu United itakayo athirika na hilo bali pia hata Scotland ambayo amekuwa akiongoza kikosi cha timu ya taifa ya nchini hiyo kama nahodha na sasa ikiwa chini ya Gordon Strachan ikijiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Estonia na baadaye michezo miwili ya kuwania kufuzu kucheza fainali ya kombe la dunia dhidi ya Wales, Serbia na Croatia.
On target: Darren Fletcher scored against QPR earlier this season
Hapa Fletcher akishangilia baada ya kufunga goli dhidi ya QPR mapema mwezi huu.

Get well soon: United say being out is 'frustrating' for Fletcher

BAADA YA KUONA KUNA UHABA WA WASHAMBULIAJI LIVERPOOL WAKO KATIKA MPANGO WA KUMNASA SNEIJDER

.

Barely played: Wesley Sneijder has been frozen out at Inter Milan 
Liverpool itaingia katika mbio za kumnasa Wesley Sneijder endapo kiungo huyo wa kimataifa wa Uholanzi atakubali kupunguza mahitaji yake makubwa ya mshahara anayotaka kwasasa.
ingawa Sneijder anaonekana hafanani na sifa za aina ya wachezaji ambao wamiliki wa Liverpool wa FSG wamekuwa wakiwalenga ambazo ni umri mkubwa wa miaka 28 na gharama ya mshahara wa pauni milioni 6 kwa mwaka lakini meneja wa klabu hiyo Brendan Rodgers ameonekana kumtamani kiungo huyo nguli.
Galatasary ndio klabu pekee kuonyesha nia ya kumtaka mchezaji huyo wa Inter Milan na sasa wanataka majibu ya mpango wa mchezaji huyo hii leo.
Sneijder anaonekana kuwa na wasiwasi juu ya kuelekea Uturuki na anadhani kuna haja ya kucheza soka karibu na nyumbani Uholanzi kutokana na sababu za kifamilia.
Inter italazimika kuachia aondoke kwa pauni milioni £6.2 lakini kuelekea Anfield itategemea na punguzo la mshahara uliotakiwa na Sneijder mwenyewe. 
Sneijder anafahamu kuwa masiha yake ya soka katika klabu ya Milan yanafikia mwisho mwezi huu lakini juu ya hatma yake ya baadaye amenukuliwa akisema.
Na hapa amenukuliwa na Gazzetta dello Sport akisema
'Tazama wachezaji wote ambao wako katika soko la uhamisho katika soko la wachezaji kipindi hiki wanaaamua nini cha kufanya kabla ya January 31, na mimi nitafanya hivyo o,'.
'sitaki kuharakisha na vilevile sitaki kuharakishwa.
Not a question of money: Sneijder claims wages are not the issue
'baada ya kila kitu kuwa kimekamilika sitaki kuwa katika fikra hizo za kulazimishwa kuchagua jambo la kimaisha.'

MARCEDES KUONYESHA GARI ZAO MPYA ZA LANGALANGA FEBRUARI 4.


KAMPUNI ya Marcedes itatangaza rasmi magari yakayotumiwa na madereva wake nyota Lewis Hamilton na Nico Rosberg katika msimu mpya wa mashindano ya Langalanga wakati wa majaribio Februari 5 mwaka huu. Katika taarifa waliyotoa Marcedes katika mitandao ya kijamii ya facebook na twitter ilidai kuwa magari hayo mapya yatakayotumika mwaka huu aina ya F1W04 yataonekana Jumatatu ya Februari 4 katika majaribio kabla ya kuanza kwa msimu mpya katika Viwanja vya Jerez nchini Hispania. Hamilton ambaye ni bingwa wa dunia wa michuano ya langalanga mwaka 2008 alijiunga na Marcedes akitokea timu ya McLaren mwaka jana akichukua nafasi ya bingwa mara saba wa michuano hiyo Michael Schumacher aliyestaafu. Timu ya Marcedes ilimaliza msimu uliopita ikiwa katika nafasi ya tano na wanaamini kuwa usajili huo mpya wa Hamilton unaweza kuwasaidia kufanya vizuri zaidi mwaka huu. Timu zingine ambazo zitatangza magari yao mapya mapema ni pamoja na McLaren Januri 31, Ferrari Februari mosi na Red Bull pamoja na bingwa mara tatu katika misimu mitatu iliyopita Sebastian Vettel, Februari 3.

ARMSTRONG AKIRI MBELE YA OPRAH WINFREY KUTUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU.


HATIMAYE mwendesha baiskeli Lance Armstrong amekiri hadharani kutumia dawa za kuongeza nguvu na kumuwezesha kupata mataji yote saba ya mashindano ya baiskeli ya Toure de France. Armstrong mwenye umri wa miaka 41 alikiri kufanya hayo katika mahojiano na mtangazaji maarufu nchini Marekani Oprah Winfrey mbele ya watazamaji zaidi ya milioni 10 waliokuwa wakitazama kipindi hicho. Nyota huyo alikiri kuwa alikuwa akitumia dawa hizo mara nyingi lakini amejitokeza hadharani kuomba radhi kwa mashabiki wake waliokuwa wakimuamini. Armstrong ambaye ni raia wa Marekani amesema wakati akitumia dawa hizo alijua madhara yake baadae lakini aliamua kuendelea kufanya hivyo pamoja na hatari zilizopo. Mahojiano ya Armstrong na Winfrey mwenye umri wa miaka 58 yalirushwa katika kipindi chake OWN network kinachorushwa hewani na luninga ya Prime Time ya nchini Marekani wakati watu sehemu nyingine duniani kote waliangalia kupitia tovuti yake.

BAO LA MKALI WA SIMBA NA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA WINGA TELEZA NGASA LAIPANDISHA TANZANIA YAPANDA VIWANGO VYA FIFA.


TANZANIA imekwea kwa nafasi sita katika vwango vya ubora vinavyotolewa na Shirikisho la Soka Duniani-FIFA kutoka nafasi ya ya 130 waliyokuwepo mwezi uliopita mpaka nafasi ya 124. Timu tano bora kwa upande wa dunia zote zimebaki katika nafasi zao waliokuwepo mwezi uliopita ambapo wanaongoza na Hispania inayoshika nafasi ya kwanza ikifuatiwa na nchi za Ujerumani, Argentina, Italia na anayefunga orodha ya tano bora ni Colombia. Kwa upande wa Afrika, Ivory Coast imeendelea kuongoza huku ikishika nafasi ya 14 kwa uapnde wa dunia, ikifuatiwa na Algeria inayoshika nafasi ya pili pamoja na kuporomoka kwa nafasi tatu mpaka ya 24 kwa uapnde wa dunia. Nchi zingine za Afrika ni Mali iliyobaki katika nafasi yake ya 25 waliyokuwepo mwezi uliopita wakifuatiwa na Ghana waliopanda kwa nafasi nne mpaka nafasi ya 26 na tano bora kwa upande wa Afrika inafungwa na mabingwa wa Afrika Zambia ambao wamekaa katika nafasi ya 39 baada ya kuanguka kwa nafasi tano.

AUSTRALIA OPEN: SHARAPOVA AMUONDOSHA VENUS WILLIAMS.


Mchezaji tenisi nyota anayeshika namba mbili katika orodha za ubora duniani kwa upande wanawake, Maria Sharapova amefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora katika michuano ya wazi ya Australia inayoendelea jijini Melbourne baada ya kumfunga Venus Williams. Sharapova mwenye umri wa miaka 25 raia wa Urusi alimfunga Williams ambaye ni bingwa mara saba wa mataji ya Grand Slam kwa 6-1 6-3 akitumia muda wa dakika 76 ambapo sasa anatarajia kukutana na Kirsten Flipkens wa Ubelgiji katika hatua inayofuata. Akihojiwa mara baada ya mchezo huo Sharapova amesema alikuwa amejiandaa vya kutosha kwakuwa alikuwa akijua mchezaji ambaye anakutana naye. Mwanadada huyo aliendelea kusema pamoja na Williams kuporomoka katika viwango vya ubora mpaka nafasi ya 24 lakini alijua kuwa ana uzoefu wa kutosha wa mashindano hayo na lolote lingeweza kutokea. Williams mwenye umri wa miaka 32 ambaye alikaa nje kwa kipindi cha miezi saba baada ya kusumbuliwa na maradhi ya ngozi alimsifu mpinzani kwa kucheza vizuri na kutumia vyema makosa mengi aliyokuwa akiyafanya kwenye mchezo huo.

WENGER AKIRI KUMHUSUDU CAVANI AJE KATIKA DIMBA LA EMIRATES .


MENEJA wa klabu ya Arsenal Arsenal Wenger amekiri kuwa anamhusudu mshambuliaji wa klabu ya Napoli Edinson Cavani lakini kocha atalazimika kubadili mfumo wa matumizi ya fedha wa klabu hiyo kama atataka kumsajili mchezaji huyo. Akihojiwa kuhusiana na suala hilo Wenger alikiri kumhitaji mchezaji huyo ambaye ni raia wa Uruguay na kusema kwamba atawagharimu pesa nyingi kama wakiamua kumfukuzia ili wamsajili. Kama Arsenal itamhitaji mchezaji huyo italazimika kulipa kiasi cha paundi milioni 52 kama ada ya uhamisho huku wakilazimika kumlipa mshahara wa paundi 150,000 kwa wiki katika mkataba wa miaka anaoutaka. Malipo hayo yatakuwa yamevunja rekodi ya klabu hiyo ambayo kwasasa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi ni Lukas Podolski anayepokea kiasi cha paundi 90,000 wakati usajili uliovunja rekodi ulikuwa ni ule wa Andrey Arshavin aliyenunuliwa kwa paundi milioni 15 kutoka klabu ya Zenit St Petersburg ya Urusi.

KUELEKEA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA TFF MPAKA SASA WAGOMBEA 45 KUGOMBEA UONGOZI TFF.


Jamal Malinzi, anagombea urais
WANAMICHEZO 45 wamechukua fomu kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) utakaofanyika Februari 24 mwaka huu. Nafasi zinazowaniwa ni Rais, Makamu wa Rais na wajumbe wa Kamati ya Utendaji kuwakilisha kanda 13 tofauti.
Waombaji wapya 11 waliojitokeza leo (Januari 18 mwaka huu) ni Richard Rukambura anayeomba urais wakati kwa upande wa ujumbe wa Kamati ya Utendaji ni Kaliro Samson, Jumbe Magati, Richard Rukambura, Omari Walii, Ahmed Mgoyi, John Kiteve, Stanley Lugenge, Francis Ndulane, Riziki Majara na Hassan Othuman Hassanoo.
Mwisho wa kuchukua fomu kwa waombaji wote ni leo (Januari 18 mwaka huu) saa 10 kamili alasiri. Fomu pia zinaweza kuchukuliwa katika tovuti ya TFF ambayo ni www.tff.or.tz na kurejeshwa kupitia email ya tfftz@yahoo.com Pia Kanuni za Uchaguzi za TFF zinapatikana katika tovuti hiyo.
Orodha kamili ya waombaji ni Athuman Nyamlani, Jamal Malinzi, Omari Nkwarulo na Richard Rukambura (Rais). Walioomba kuwania nafasi ya Makamu wa Rais ni Michael Wambura, Ramadhan Nassib na Wallace Karia.
Kwa upande wa ujumbe wa Kamati ya Utendaji ni Salum Chama na Kaliro Samson (Kagera na Geita), Jumbe Magati, Mugisha Galibona, Richard Rukambura, Samuel Nyalla, Titus Osoro na Vedastus Lufano (Mara na Mwanza).
Epaphra Swai na Mbasha Matutu (Shinyanga na Simiyu), Charles Mugondo, Elly Mbise na Omari Walii (Arusha na Manyara), Ahmed Mgoyi na Yusuph Kitumbo (Kigoma na Tabora), Ayubu Nyaulingo, Blassy Kiondo, Nazarius Kilungeja na Selemani Kameya (Katavi na Rukwa) na James Mhagama na Stanley Lugenge (Njombe na Ruvuma).
Athuman Kambi, Francis Ndulane na Zafarani Damoder (Lindi na Mtwara), Hussein Mwamba na Stewart Masima (Dodoma na Singida), Farid Nahdi, Geofrey Nyange, Hassan Othman Hassanoo, Riziki Majara na Twahili Njoki (Morogoro na Pwani), Elias Mwanjala, Eliud Mvella na John Kiteve (Iringa na Mbeya), Khalid Mohamed (Kilimanjaro na Tanga) na Muhsin Balhabou, Omari Abdulkadir na Shaffih Dauda (Dar es Salaam).

JAMAA WA KAGERA AJITOKEZA KUPAMBANA NA MANJI BODI YA LIGI KUU NANI KUIBUKA KIDEDEA????


Manji anayegombea Uenyekiti wa Bodi, akiwa na Rahim 'Zamunda'

WAOMBAJI watatu wapya wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu (TPL Board) ambayo uchaguzi wake utafanyika Februari 22 mwaka huu.
Walioingia leo (Januari 18 mwaka huu) kwenye kinyang’anyiro hicho ni Hamad Yahya wa Kagera Sugar anayeomba uenyekiti wakati Christopher Peter wa Moro United na Kazimoto Miraji Muzo wa Pamba ya Mwanza wanaoomba ujumbe wa Bodi kuwakilisha klabu za Ligi Daraja la Kwanza.
Orodha kamili ya waombaji uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu ni Hamad Yahya wa Kagera Sugar na Yusuf Manji wa Yanga wanaoomba uenyekiti wakati Makamu Mwenyekiti aliyeomba ni Said Mohamed wa Azam.
Kwa upande wa wajumbe wawili kuwakilisha klabu za Daraja la Kwanza ni  Christopher Peter Lunkombe wa Moro United ya Dar es Salaam na Kazimoto Miraji Muzo wa Pamba ya Mwanza.

MKALI W ASTARS RAIA WA DENIMARK AMBAYE NI KOCHA MKUU WA STARS KIM AENDA AFCON LEO .


Kim Poulsen


KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen ameondoka leo mchana (Januari 18 mwaka huu) kwa ndege ya South African Airways kwenda Afrika Kusini kuzifuatilia timu za Ivory Coast na Morocco zinazoshiriki Fainali za 29 za Mataifa ya Afrika (AFCON) zinazoanza kesho (Januari 19 mwaka huu) nchini humo.
Ivory Coast na Morocco ziko kundi moja na Tanzania (Taifa Stars) katika kinyang’anyiro cha kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani nchini Brazil.
Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager, na inayoshika nafasi ya pili katika kundi hilo ambalo pia lina timu ya Gambia itacheza na Morocco, Machi 24 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

MECHI YA SIMBA YA KLABU BINGWA AFRIKA NI MAREFA WA SAUZI KUCHEZESHA SIMBA NA LIBOLO



Simba SC
MAREFA kutoka Afrika Kusini ndiyo watakaochezesha mechi ya kwanza ya raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa kati ya Simba ya Tanzania na Clube Recreation Libolo ya Angola itakayofanyika Februari 17 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Waamuzi hao ni Daniel Volgraaff atakayepuliza filimbi wakati wasaidizi wake ni Enock Molefe, Lindikhaya Bolo na Lwandile Mfiki. Kamishna wa mechi hiyo atakuwa Emmanuel Lesita kutoka Lesotho.
Aidha, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limewateua Watanzania Leslie Liunda na Alfred Rwiza kuwa makamishna wa mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika zinazoanza mwezi ujao.
Rwiza ameteuliwa kuwa kamishna wa mechi kati ya APR ya Rwanda na Vital’O ya Burundi itakayochezwa nchini Rwanda kati ya Februari 15 na 17 mwaka huu.
Naye Liunda atakuwa kamishna wa mechi ya marudiano kati ya Tusker ya Kenya na St. Michel United ya Seychelles itakayochezwa Kenya kati ya Machi 1 na 3 mwaka huu. Mechi zote ni za raundi ya awali.
Wakati huo huo: Waamuzi wanne wa Tanzania wameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kuchezesha mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa kati ya URA ya Uganda na Cotton Sport ya Cameroon itakayochezwa jijini Kampala kati ya Machi 1 na 3 mwaka huu.
Orden Mbaga ndiye atakayekuwa mwamuzi wa kati na atasaidiwa na mwamuzi msaidizi namba moja Jesse Erasmo wakati mwamuzi msaidizi namba mbili ni Hamis Chang’walu. Mwamuzi wa mezani ni Israel Mujuni na Kamishna wa mechi hiyo atakuwa Souleiman Waberi wa Djibouti.

BAADA YA KUTWAA KOMBE LA HISANI KULE KONGO NA KOMBE LA MAPINDUZI WANALAMBA LAMBA AZAM KUJIFUA UWANJA WA NYAYO CITY


Azam FC
TIMU ya Azam FC imewasili salama jijini Nairobi nchini Kenya jana usiku tayari kwa kuanza michezo yake wa kirafiki ikiwa ni sehemu ya maandalizi kwa ajili ya ligi kuu ya Tanzania mzunguko wa pili pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Akizungumzia program nzima ya maandalizi kocha wa Azam FC, Stewart Hall amesema timu itacheza mechi tatu za kirafiki na kufanya mzoezi ya siku mbili katika viwanja vya Nyayo na City.
Alisema wachezaji wote wamefika salama, timu itaacheza mchezo wake wa kwanza kesho ‘Jumamosi’ saa 3:30 (15:30hrs) dhidi ya A.F.C Leopard, kwenye Uwanja wa Nyayo.
Azam FC leo ‘Ijumaa’ jioni itafanya mazoezi yake ya kwanza katika Uwanja wa Nyayo uliopo katikati ya jijini la Nairobi.
“Tutacheza michezo mitatu, michezo yetu itahusisha timu zenye viwango vizuri katika ligi ya Kenya ambazo ni A.F.C Leopard, Sofapaka na K.C.B, mechi hizo zitasaidia kuimarisha timu yangu” alisema Stewart.
Kocha Stewart alisema watafanya mazoezi na kucheza mechi katika viwanja aina mbili vyenye nyasi za kawaida na zenye nyasi bandia kwa kuwa katika michezo ya ligi viwanja hivyo vinaendana na mazingira ya Tanzania.
Azam FC iliyoko nchini hapa bila ya washambuliaji wake John Bocco na Tchetche Kipre na mchezaji Waziri Salum wanaosumbuliwa na majeruhi, siku ya Jumapili itacheza mechi yake ya pili ya kirafiki dhidi ya SOFAPAKA kwenye uwanja huo huo.
Baada ya mchezo huo kikosi hicho kitapumzika siku ya Jumatatu Jan 21, 2013 ambapo watatumia siku hiyo kufanya mazoezi katika Uwanja wa City wenye nyasi bandia.
Azam FC itamaliza safari yake ya maandalizi na mechi za kirafiki siku ya Jumanne Jan 22 ambapo watacheza dhidi ya K.C.B kwenye Uwanja wa City mchezo ambao utakamilisha safari hiyo ya siku saba.
Wachezaji walioko jijini Nairobi ni Mwadini Ally, Aishi Manula, Jackson Wandwi, Himid Mao, Samih Haji Nuhu, David Mwantika, Luckson Kakolaki, Jockins Atudo, Michael Bolou, Humphrey Mieno, Khamis Mcha, Gaudence Mwaikimba, Uhuru Selemani, Brain Umony, Malika Ndeule, Omary Mtaki, Abdi Kassim ‘Babi’, Abdalah Seif, Jabir Aziz, Ibrahim Mwaipopo na Salum Abubakar ‘Sure Boy’.
PROGRAMU YA AZAM NAIROBI:
Januari 17, 2013: Kuwasili
Januari 18, 2013: Mazoezi Uwanja wa Nyayo (Saa 10:00 jioni)
Januari 19, 2013: Azam FC Vs AFC Leopard Uwanja wa Nyayo (Saa 9:30 Alasiri)
Januari 20, 2013: Azam FC Vs Sifapaka Uwanja wa Nyayo (Saa 9:30 Alasiri)
Januari 21, 2013: Mazoezi Uwanja wa City (Saa 10:00 jioni)
Januari 22, 2013:  Azam FC Vs KCB Uwanja wa City (Saa 10:00 jioni)

MAMBO YA TIMUA TIMUA NDANI YA YANGA YAENDELEA MWINGINE ATUPIWA VIRAGO YANGA BENCHI LA UFUNDI



KLABU ya Yanga imefanya marekebisho tena katika benchi lake la Ufundi, kwa kumuondoa Daktari, Sufiani Juma ambaye nafasi yake inachukuliwa na Dk Nassor Matuzya.
Hayo yanakuwa mabadiliko ya pili katika benchi la Ufundi la Yanga ndani ya miezi miwili, kwani awali alienguliwa kocha wa makipa, Mfaume Athumani Samatta ambaye nafasi yake ilichukuliwa na Mkenya, Razack Ssiwa.
Nassor Matuzya. Amechukua nafasi
Kabla ya hapo, Septemba mwaka jana, Yanga ilimuengua Kocha wake Mkuu, Mbelgiji Tom Saintfiet na nafasi yake kupewa Mholanzi, Ernie Brandts.  
Yanga SC iliyorejea wiki Jumapili kutoka Uturuki kwenye kambi ya wiki mbili mjini Antalya, kesho itashuka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kucheza na Black Leopard ya Afrika Kusini katika mchezo wa kirafiki.
Black Leopard inayoshika nafasi ya 12 katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini yenye timu 16, imewasili leo ikiwa na msafara wa watu 42 na kufikia katika hoteli ya White Sands, Mbezi Beach, Dar es Salaam.
Yanga leo asubuhi imeendelea iliyoanza juzi tangu irejee Uturuki katika Uwanja wa Mabatini, Kijitonyama tayari kwa mechi ya kesho.
Wachezaji wote wamefanya mazoezi leo, kasoro kipa wa tatu, Yussuf Abdul na mshambuliaji Hamisi Kiiza 'Diego' wanaosumbuliwa na Malaria.

BAADA YA KUBANWA MBAVU NA SOUTHAMPTON MECHI YA KIPORO YABAINIKA KUWA BENITEZ NDIYE KOCHA BOMU ZAIDI KUWAHI KUTOKEA ZAMA ZA ABRAMOVICH



It's official. Rafa Benitez has endured the worst start to his tenure at Chelsea of all nine Roman Abramovich-era managers.
Many of Chelsea's dissenting fans may feel vindicated to know that the much-derided Spaniard has the worst record of the group with a paltry 56 per cent win rate at the club.
Although Andre Villas-Boas had the same win rate, Benitez has seen his side lose four games of the first 16 under his control, whereas the now Tottenham manager only lost three. 
It's official: Rafa Benitez has made the worst start to his career at Chelsea under Roman Abramovich
It's official: Rafa Benitez has made the worst start to his career at Chelsea under Roman Abramovich
Special One: Jose Mourinho
Not bad: Carlo Ancelotti had a win percentage of 81 per cent
The special ones: Jose Mourinho (left) and Carlo Ancelotti each had a win rate of 81 per cent in their first 16 games at the helm 
Request: Chelsea fans have been opposed to Benitez since he replace Roberto Di Matteo
Request: Chelsea fans have been opposed to Benitez since he replace Roberto Di Matteo
CHELSEA MANAGERS' FIRST 16 GAMES IN ABRAMOVICH ERA
ManagerGamesWinsDrawsLossesGoals forGoals against Win %
Claudio Ranieri161222321475
Jose Mourinho16132126481
Avram Grant16123133775
Felipe Scolari16113237769
Guus Hiddink161141261369
Carlo Ancelotti161312371081
Andre Villas-Boas16943341856
Roberto Di Matteo161141371469
Rafa Benitez16934401556
Perhaps unsurprisingly, according to the Opta stats, Jose Mourinho was the most successful in his early reign at Stamford Bridge.
The man they call the 'Special One' won an impressive 13 of his first 16 games (81 per cent). So too did the double-winning Italian Carlo Ancelotti, but he lost one more game than Mourinho in the early stages of his career in west London. 
Interestingly, Benitez's Chelsea have scored the most goals in his short spell in charge than any of the others, with an 8-0 home win over Aston Villa helping them on their way to an unsurpassed 40. 
Villas-Boas conceded the most goals in his first 16 games at the helm, as he watched his side let 18 goals in. Mourinho's Chelsea were incredibly stingy, conceding just four goals.
Benitez has been the subject of chants and banners from the Chelsea faithful, who have not hidden their disdain at his appointment after he replaced the Champions League-winning Roberto Di Matteo earlier this season. 
Not bad: Felipe Scolari
Joint worst: Andre Villas-Boas
Previous bosses: Andre Villas-Boas (right) made a similarly poor start to his reign, as Felipe Scolari (left) won 11 of his first 16 games in charge 
Short spell: Guus Hiddink (right) had a relatively successful stint as Chelsea manager
Short spell: Guus Hiddink (right) had a relatively successful stint as Chelsea manager
Hero: Di Matteo was sacked despite delivering the Champions League to Roman Ambramovich
Hero: Di Matteo was sacked despite delivering the Champions League to Roman Ambramovich
Shrugged off: Avram Grant lost only one of his first 16 games in charge after succeeding Mourinho
Shrugged off: Avram Grant lost only one of his first 16 games in charge after succeeding Mourinho
He and misfiring striker Fernando Torres have been targeted in recent weeks at Stamford Bridge after a string of disappointing results.
Any remaining title hopes for the Blues were left in tatters on Wednesday evening when Chelsea spurned a two-goal lead to allow Southampton back into the game to draw 2-2., leaving them 13 points behind leaders Manchester United.
Benitez did little to endear himself any further to the home support when he replaced crowd favourite Frank Lampard with Torres in the second half. 
Waving goodbye: Claudio Ranieri was in charge when Bramovich took charge of the club
Waving goodbye: Claudio Ranieri was in charge when Bramovich took charge of the club
Satisfied? Abramovich has had nine managers since taking control of Chelsea in 2003
Satisfied? Abramovich has had nine managers since taking control of Chelsea in 2003
Chelsea fans were also distraught to see the club's chances of winning the Capital One Cup decrease drastically as Swansea stunned the Blues with a 2-0 win at the Bridge on January 10. 
Worse still for Benitez, one of his four losses in charge came against west London rivals and Premier League basement boys Queens Park Rangers.
Benitez has found it extremely difficult to get results at Stamford Bridge and has only managed two victories from seven home games.
The interim manager is likely to be moved on by Abramovich in summer, but with top target Pep Guardiola snubbing the Russian billionaire's riches to move to Bundesliga outfit Bayern Munich, it is unclear who will take charge if and when the former Liverpool boss departs. 

BENITEZ STRUGGLES TO FIND FORM AT HOME 

No home comforts: Benitez has struggled at home
Chelsea have managed just two victories - albeit high-scoring ones - from their seven home matches in all competitions under Rafa Benitez, who has been jeered by Chelsea fans at every game.
It is now three matches since Chelsea last tasted victory at home and the natives are getting restless.
Ahead of Arsenal's visit to Stamford Bridge on Sunday, Sportsmail takes a look at Chelsea's home-sickness under Benitez.
November 25: Chelsea 0 Manchester City 0 (Barclays Premier League)
Chelsea kept their first clean sheet in 11 matches but Benitez (right) was jeered and booed by the home fans, angry that Roberto Di Matteo had been sacked.
November 28: Chelsea 0 Fulham 0 (Barclays Premier League)
Another uninspiring goalless draw from Chelsea, who toiled against a well-organised Fulham side. Benitez and Fernando Torres bore the brunt of the fans' frustrations.
January 2: Chelsea 0 QPR 1 (Barclays Premier League)
Chelsea's west London rivals QPR won at Stamford Bridge for the first time in two decades with a goal from former Chelsea midfielder Shaun Wright-Phillips.
January 9: Chelsea 0 Swansea 2 (Capital One Cup, semi-final first leg)
Chelsea were punished for another poor performance and Benitez was showered with more abuse from the stands, mainly for not bringing on new striker Demba Ba, as Swansea took charge of the tie.
January 16: Chelsea 2 Southampton 2 (Barclays Premier League)
Chelsea were cruising at 2-0 with goals from Ba and Eden Hazard but they allowed relegation-battling Southampton to hit back and claim the draw.
 


VAN BONGE LA BWANA NA ANGALIA ANAVYOIBEBA MAN U YUPO KWENYE ZAMA ZAKE KWA SASA



On Thursday Manchester United boss Sir Alex Ferguson insisted that his side were not a one-man team and wholly reliant on hot shot Robin van Persie.
And now he has the stats to back it up as Sportsmail and Opta can reveal that United have a larger number of different goalscorers than any other club in the Barclays Premier League.
United lead the pack with 16 different scorers, ahead of Chelsea and Manchester City who have 14 and 13, respectively.
One man team? Sir Alex Ferguson insists that Manchester United are not wholly reliant on free-scoring striker Robin Van Persie (pictured)
One man team? Sir Alex Ferguson insists that Manchester United are not wholly reliant on free-scoring striker Robin Van Persie (pictured)
Man Utd's Wayne Rooney
Manchester United's Javier Hernandez
Playing their part: Wayne Rooney (left) has seven Premier League goals and Javier Hernandez (right), eight

UNITED'S PL GOALSCORERS

Robin van Persie - 17

Javier Hernandez - 8

Wayne Rooney - 7

Patrice Evra - 4

Jonny Evans - 3

Tom Cleverley - 2

Shinji Kagawa - 2

Rafael - 2

Anderson - 1

Alexander Buttner - 1

Darren Fletcher - 1

Nani -1

Nick Powell - 1

Paul Scholes - 1

Nemanja Vidic - 1

Danny Welbeck - 1
Liverpool, Spurs and West Ham are adept at spreading the goals around with 12 each, Norwich have 11, and Reading and Southampton have ten each.
Arsenal, Everton, Suderland,West Brom and Wigan will need to show improvement as they have just nine but five clubs, Aston Villa, Newcastle, QPR, Stoke and Swansea, are at the foot of the table with only eight different goalscorers.
The importance of Michu to the Swans, who has 13 of his team's 31 goals is underlined, while Harry Redknapp will be hoping £8million Loic Remy will bring QPR the goalscoring they have so desperately needed. 
The eight players who have scored for Redknapp's side only have 17 goals between them, Adel Taarabt leads the charts with just four.
Though the 29-year-old Dutchman has 21 goals this season, Ferguson is not worried that losing Van Persie would mean United are a shadow of themselves.
'I don’t go along with the idea we have become a one-man team,' he told United Review.
'There was a time in our history when one man did carry us for a while. 
'Eric Cantona kept us in contention with his goals when a few others were off the boil.
'But things are quite different now. Javier Hernandez has weighed in with 12 goals while Wayne Rooney is currently on nine.
'Two defenders, Johnny Evans and Patrice Evra, have chipped in with eight between them, while opposition players have gifted three own goals to the league leaders.
'So it doesn’t stand up to see us as a one-man band overly dependent on Van Persie, brilliant as he has been at both making and taking goals.'
Spreading the goals: Ferguson's (pictured) team have 16 different goalscorers in the league this season, more than any other team
Spreading the goals: Ferguson's (pictured) team have 16 different goalscorers in the league this season, more than any other team
Important goals: Patrice Evra (right) has chipped in with four goals from left-back this season
Important goals: Patrice Evra (right) has chipped in with four goals from left-back this season
Ferguson, however, does agree with his rival Manchester manager, Roberto Mancini, who said that Van Persie is making the difference this season.
'He is absolutely relishing his new challenge,' he said. 'He is the right player, at the right club, at the right time.
'He has a winning mentality, but as he points out, it is one that goes right through the squad and one that will hopefully see us push on in both league and the cups and successfully navigate what is a busy and challenging period.'
United face Tottenham at White Hart Lane on Sunday.
Thriller: Spurs' Clint Dempsey (pictured) scores the winning goal during the 3-2 thriller at Old Trafford earlier this season
Thriller: Spurs' Clint Dempsey (pictured) scores the winning goal during the 3-2 thriller at Old Trafford earlier this season