Monday, February 4, 2013

AGUERO AIWEZESHA MAN CITY JANA KUCHUKUA POINTI 1 KWA LIVERPOOL

MZEE WA WHY ALWAYS ME AANZA KW AKUPIGA MBILI SERIE A JANA

ENGLAND WAJIPANGA KINOMA NOMA KUWAKABILI BRAZIL KESHO KUTWA FEB 6



England have begun preparations for Wednesday's illustrious friendly at Wembley with Brazil.
The bad news for manager Roy Hodgson, however, is that only 11 outfield players were available to fully train today.
The withdrawals of the injured Jermain Defoe and Michael Carrick and the absence of the unfit Daniel Sturridge had significantly contributed to the depleted numbers available to Hodgson to train, with others involved yesterday in the Premier League instead limited to a warm-down session.
Put through their paces: The limited numbers available to England began training today
Put through their paces: The limited numbers available to England began training today
Elder statesman: Jack Butland is temporarily England's most senior goalkeeper
Elder statesman: Jack Butland is temporarily England's most senior goalkeeper
Watchful eye: Hodgson observes Danny Welbeck, Jack Wilshere and Ashley Cole in training
Watchful eye: Hodgson observes Danny Welbeck, Jack Wilshere and Ashley Cole in training
Joe Hart and Jack Butland remain the only senior goalkeepers in Roy Hodgson's full squad but with Hart among those only warming down, Middlesbrough's inexperienced Jason Steele has been added to the training squad to aid preparations for Wednesday's fixture.
Hodgson is expected to announce further squad changes today, incidentally, in response to the withdrawals of Carrick and Defoe and because of Sturridge's inability to train.
The forward has discussed his fitness with the England manager and, though reluctant to do so, is expected to accept that he will be unable to play any part against Brazil and could therefore leave the England camp.
Heart-to-heart: Sturridge could withdraw from England's squad after this conversation with Hodgson
Heart-to-heart: Sturridge could withdraw from England's squad after this conversation with Hodgson
All as one: The England senior team alongside the U21s and U19s
All as one: The England senior team alongside the U21s and U19s
All smiles: Wayne Rooney shares a joke with Glen Johnson
All smiles: Wayne Rooney shares a joke with Glen Johnson
Safe hands? Middlesbrough goalkeeper Jason Steele is entirely unproven at the highest level
Safe hands? Middlesbrough goalkeeper Jason Steele is entirely unproven at the highest level
Ashley Cole, however, was among the 11 available to Hodgson today, meaning he remains on course to follow Peter Shilton, David Beckham, Bobby Moore, Bobby Charlton, Billy Wright and Steven Gerrard and become the seventh England player to reach 100 caps.
His presence is a real positive for England given the intimidating prospect of facing both Ronaldinho and Neymar, but even for all of the latter's reputation as one of the world's greatest talents, another of Hodgson's defenders, Phil Jagielka, has revealed his international team-mates are yet to truly know what it is they can expect from him.
'I don't know a lot about Neymar,' Jagielka said. 'We don't see a lot of footage. He plays in Brazil so it is tough for us.
Limited numbers: But England's ranks are expected to swell before Wednesday's friendly
Limited numbers: But England's ranks are expected to swell before Wednesday's friendly
Coaching conference: Roy Hodgson, Gary Neville and Stuart Pearce in discussion
Coaching conference: Roy Hodgson, Gary Neville and Stuart Pearce in discussion
Midfield rivals: Frank Lampard, Leon Osman and Tom Cleverley will all hope to feature in England's midfield
Midfield rivals: Frank Lampard, Leon Osman and Tom Cleverley will all hope to feature in England's midfield
'But we have video analysis people when we meet up with England and they will have plenty of footage for us to review.
'They will pick out his good points and bad ones. I am sure the good points will be going on for hours.


Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2273178/England-begin-training-Wembley-friendly-Brazil.html#ixzz2JwcLfvDV
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook

AKINA ADEBAYOR WALITARAJIA KUPIGIANA PENALTI LAKINI MAMBO YAKAWA TOFAUTI,,,,,INGIA UICHEKI

KOZI YA WAAMUZI MKOA WA TABORA INATARAJIA KUANZA KUFANYIKA MKOANI TABORA FEB 11 HADI FEB 30 MWAKA HUU


 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/07/Marefa-nao-wali-warm-up2.jpg

 Chama cha waamuzi wa mpira wa miguu mkoa wa tabora FRAT kinatarajia kuanza kozi yake ya uamuzi mkoani tabora kuanzia tarehe 11 february 2013 hadi tarehe 30-2-2013 katika ukumbi  wa shule ya msingi Gongoni .

Mafunzo haya hayatazingatia umri au elimu ni kuanzia darasa la saba na kuendelea na katika kozi hiyo watapata barua au fomu ya kujaza kuja kushiriki kupitia kwa mwenyekiti wa wilaya  ya  tabora FRAT na kuzipeleka fomu hizo katika ofsi ya chama cha mpira wa miguu manispaa ya tabora iliyopo katika sanamu ya julius kambarage nyerere.

Washiriki waliodhibitisha mpaka sasa ni pamoja na mazoea ramadhani kutoka mwanza road,,wazile samwel nduguru kutoka milambo jeshini,,sada juma kutoka isevya,cheyo wilson songela kutoka milambp jeshini,,joyce masola kutoka ichemba,,sahina bisamka kutoka kiloleni,shabani kayala,meshaki mbelwa na yahya mwakasanga wote kutoka ichemba ,,saidy khamis kutoka mwanza road na mwene ufunguo kutoka kata ya gongoni.

Na kwa wale ambao nao wapo tayari kushiriki kozi hii ya uamuzi wa mkoa wa tabora wanaweza kujaza fomu zao kupitia kkwa mwenyekiti wa mkoa wa waamuzi FRAT Maulid Mwikalo barua pepe mwikalom@yahoo.com au kupiga simu namba 0767692010 &0716339980 au kupitia kwa katibu wa FRAT simu namba 0754384624 &0787384624 au 0655384624

MANJI APETA, WAMBURA AENGULIWA TFF


Lyatto akizungumza na Manji

MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura ameenguliwa na Kamati ya uchaguzi ya Shirikisho hilo na sasa Wallace Karia atapambana na Ramadhan Nassib. 
TAARIFA KWA UMMA
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
NA TANZANIA PREMIER LEAGUE BOARD (TPL BOARD)
04/02/2013
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inawataarifu wananchi wote kwamba baada ya kufanya usaili kwa waombaji uongozi wa TFF  na Tanzania Premier League Board (TPL Board), Kamati imefanya maamuzi yafuatayo:
1.       TANZANIA PREMIER LEAGUE BOARD
(a)                 Waombaji uongozi wafuatao wamekidhi matakwa ya Kanuni za uendeshaji za TPL Board na Kanuni za Uchaguzi za TFF. Kamati inawatangaza kuwa wagombea wa nafasi walizoomba kama ilivyoonyeshwa hapa chini:
NAFASI INAYOGOMBEWA
S/N0.
JINA
MWENYEKITI WA TPL BOARD
1.
Hamad Yahya Juma
2.
Yusufali Manji
MAKAMU MWENYEKITI WA TPL BOARD
1.
Said Muhammad Said Abeid (Kupitishwa kwake kutategemea matokeo ya uhakiki wa vyeti vyake)
MJUMBE –KAMATI YA UENDESHAJI (Management  Committee)
1.
Kazimoto Miraji Muzo
2.
Omary Khatibu Mwindadi
(b)                Mwombaji uongozi Ndg. Christopher Peter Lunkombe hakukidhi matakwa ya Kanuni za uendeshaji za TPL Board  Ibara ya 28(2)  kwa kuwa cheti chake cha Elimu ya Sekondari kina utata. Kamati ya Uchaguzi ya TFF imemwondoa kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya uendeshaji (Management Committee) ya TPL Board.
2.       SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
(a)     Waombaji uongozi wafuatao wamekidhi matakwa ya Katiba ya TFF na Kanuni za Uchaguzi za TFF. Kamati inawatangaza kuwa wagombea wa nafasi walizoomba kama ilivyoonyeshwa hapa chini:
NAFASI
S/No.
JINA
RAIS WA TFF
1.
Athumani Jumanne Nyamlani
2.
Jamal Emily Malinzi
MAKAMU WA RAIS WA TFF
2.
Ramadhan Omar Nassib           
3.
Wallace Karia
MJUMBE WA KAMATI YA
UTENDAJI –
Kanda ya 1 (Kagera, Geita)
           
1.
Kalilo Samson
2.
Salum Hamis Umande Chama
Kanda ya 2 (Mwanza, Mara)
1.
Jumbe Oddessa Magati
2.
Mugisha Galibona
3.
Samwel Nyalla
4.
Vedastus F.K Lufano
Kanda ya 3 (Shinyanga, Simiyu)
1.
Epaphra Swai
Kanda ya 4 (Arusha, Manyara)
1.
Elley Simon Mbise
2.
Omar Walii Ali  
Kanda ya 5 (Tabora, Kigoma)
1.
Ahmed Idd Mgoyi
2.
Yusuf Hamis Kitumbo
Kanda ya 6 (Rukwa, Katavi)
1.
Blassy Mghube Kiondo
2.
Seleman Bandiho Kameya (Kupitishwa kwake kutategemea matokeo ya uhakiki wa vyeti vyake)
Kanda ya 7 (Iringa, Mbeya)
1.
David Samson Lugenge
2.
John Exavery M. Kiteve
3.
Lusekelo E. Mwanjala
Kanda ya 8 (Ruvuma, Njombe)
1.
James Patrick Mhagama
2.
Stanley W. D Lugenge
Kanda ya 9 (Mtwara, Lindi)
1.
Athuman Kingome Kambi
2.
Francis Kumba Ndulane
3.
Zafarani Mzee Damoder
Kanda ya 10 (Dodoma,  Singida)
1.
Hussein Zuberi Mwamba
2.
Stewart Ernest Masima
Kanda ya 11 (Morogoro, Pwani)
1.
Riziki Juma Majala
2.
Twahil Twaha Njoki
Kanda ya 12 (Kilimanjaro, Tanga)
1.
Davis Elisa Mosha
2.
Khalid Abdallah Mohamed
3.
Kusianga Mohamed Kiata
Kanda ya 13 (Dar es salaam)
1.
Alex Crispine Kamuzelya
2.
Juma Abbas Pinto
3.
Muhsin Said Balhabou   
(b)    Waombaji uongozi wafuatao hawakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na Kanuni za Uchaguzi za TFF. Kamati ya Uchaguzi ya TFF imewaondoa kugombea nafasiwalizoomba kama ilivyoonyeshwa hapa chini:
(i)                   Ndg. Omary Mussa Nkwarulo anayeonba kugombea nafasi ya Rais wa TFF hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF Ibara ya 9(7) kwa kutokuwa na ufahamu wa kuridhisha kuhusu majukumu na wajibu wa nafasi anayoomba na uwezo wa kutekeleza majukumu na malengo ya TFF.
(ii)                 Ndg. Michael Richard Wambura anayeonba kugombea nafasi ya Makamu wa Rais wa TFF hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(7) kuwa Ndg. Michael Wambura alifungua kesi ya madai namba 100 ya 2010 kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam dhidi ya Mwenyekiti wa Klabu ya Simba akiwa ni mwanachama wa Klabu ya Simba, kinyume na Katiba ya Klabu ya Simba. Kwa kufanya hivyo, Ndg. Michael Wambura alivunja Katiba ya  Klabu ya Simba, alikiuka Katiba ya TFF na Katiba ya FIFA.
(iii)                Pia Kamati inaheshimu maamuzi yaliyotolewa na Kamati ya Rufaa ya TFF kuhusu uchaguzi mwaka 2008 kwamba Bw. Michael R. Wambura hakukidhi matakwa ya Ibara ya 29(7) ya Katiba ya TFF na Ibara ya 9 ya Kanuni za Uchaguzi za TFF. Kwa mujibu wa  Katiba ya TFF na Kanuni za Uchaguzi za TFF, Kamati  ya Uchaguzi ya TFF haina mamlaka ya kubadilisha maamuzi yaliyofikiwa na Kamati hiyo ya Rufaa. Maamuzi hayo yanaweza tu kubadilishwa na Mahakama ya usuluhishi wa masuala ya michezo (CAS).  
(iv)               Ndg. Abdallah Hussein Musa anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na. 1 (Kagera, Geita) hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(7) kwa kutokuwa na ufahamu wa kuridhisha kuhusu majukumu na wajibu wa nafasi anayoomba na uwezo wa kutekeleza majukumu na malengo ya TFF.
(v)                 Ndg.  Mbasha Matutu anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na. 3 (Shinyanga, Simiyu)  hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(7) kwa kuwa aliingilia mchakato wa Uchaguzi kwa kushirikiana na waweka pingamizi dhidi ya mgombea mwenzake.
(vi)               Ndg. Charles Mugondo anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na. 4 (Arusha, Manyara) hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF  kwa kuwa vyeti vyake vya Elimu ya Sekondari na cheti cha Ualimu vina utata.
(vii)              Ndg. Ayubu Nyaulingo anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na.  6 (Rukwa, Katavi) hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 3  inayotaka awe na uzoefu wa uendeshaji wa Mpira wa Miguu uliothibitishwa wa angalau miaka mitano (5) na pia hakukidhi Ibara ya 9(7) kwa kutokuwa na ufahamu wa kuridhisha kuhusu majukumu na wajibu wa nafasi anayoomba na uwezo wa kutekeleza majukumu na malengo ya TFF.
(viii)            Ndg. Nazarius A.M Kilungeja anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na.  6 (Rukwa, Katavi) hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(7) kwa kuwa amekuwa sehemu ya migogoro ya muda mrefu mkoani Rukwa.
(ix)               Ndg. Eliud Peter Mvella anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na.  7 (Iringa, Mbeya) hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(7) kwa kuwa si mwaminifu kwa kukiuka uamuzi wa pamoja wa Kamati ya Utendaji ya TFF  kuhusu mabadiliko ya Katiba.
(x)                 Ndg. Farid Nahdi anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na. 11 (Morogoro, Pwani) hakukidhi matakwa ya Katiba ya TFF na  Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(2) na (7) kwa kuwa maelezo ya umri wake na  vyeti vya elimu havikubaliani.
(xi)               Ndg. Hassan Othuman Hassan anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na. 11 (Morogoro, Pwani) hakukidhi matakwa ya Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 11(5) kwa kuwa  hakuhudhuria usaili.
(xii)              Ndg. Omary Isack Abdulkadir anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na. 13 (Dar es salaam) hakukidhi matakwa ya Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(7) kwa kuwa  alikaidi maagizo ya TFF ya kuahirisha uchaguzi wa chama cha Waamuzi wa Mpira wa Miguu Tanzania  (FRAT) na maagizo ya TFF kwa kuwa alienguliwa kwenye mchakato wa uchaguzi wa FRAT kwa kutotimiza matakwa ya Kanuni za uchaguzi za wanachama wa TFF.
(xiii)            Ndg. Shafii Kajuna Dauda anayeomba kugombea nafasi ya Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Kupitia Kanda Na. 13 (Dar es salaam) hakukidhi matakwa ya Kanuni za Uchaguzi za TFF ibara ya 9(7) kwa kuwa si mkweli: aliposhindwa kwenye uchaguzi wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es salaam (DRFA) alipotosha umma kuhusu ushiriki wake kwenye uchaguzi huo na mchakato mzima wa uchaguzi. Pia hana ufahamu kuhusu Katiba ya TFF na majukumu ya Kamati ya Utendaji ya TFF. 
3.       Usaili uliofanyika kwa waombaji uongozi ulizingatia pia taarifa zilizoifikia Kamati ya Uchaguzi ya TFF kupitia pingamizi zilizowasilishwa dhidi ya waombaji uongozi wa TFF na TPL Board.
4.       Uchaguzi wa TPL Board utafanyika tarehe 22 Februari 2013, na Uchaguzi wa TFF utafanyika tarehe 24 Februari 2013 jijini Dar es salaam.
Deogratias Lyatto
MWENYEKITI
KAMATI YA UCHAGUZI TFF