Monday, January 21, 2013

MAN UNITED YATUA QATAR KWA KAMBI YA SIKU 4!

!


FERGUSON_ASPIRE_ACADEMYVINARA wa BPL, Barclays Premier League, Manchester United, wametua Doha, Qatar kwa Kambi ya Mazoezi ya Siku 4 ambayo wataifanya kwenye Chuo cha Soka Aspire.
Man United walisafiri kwenda Qatar mara tu baada ya kutoka sare na Tottenham ya Bao 1-1 katika Mechi ya Ligi iliyochezwa White Hart Lane jana Jumapili na watakuwepo Qatar hadi Alhamisi ambako watarudi Jijini Manchester ili Jumamosi wacheze Mechi ya Raundi ya 4 ya FA CUP Uwanjani Old Trafford dhidi ya Fulham.
Hii ni Ziara ya pili ya Man United kwenye Chuo cha Aspire Mjini Doha, Qatar na ya kwanza waliifanya Januari Mwaka 2010.
Kikosi hicho cha Man United kikiongozwa na Meneja wao Sir Alex Ferguson kitanufaika na Mazoezi yasiyovurugwa na hali ya Baridi kali na Barafu ambayo sasa imeiandama Uingereza kwani Nchini Qatar sasa ni Bardi ya wastani ya Nyuzijoto 15 Centigrade huku Kijua kikichomoza Mchana kutwa.
Akiongelea safari hiyo, Ferguson alisema wanaridhika sana na Miundombinu ya Aspire na Hali ya hewa ya Qatar ni nzuri kwa Mazoezi.
Manchester United hawatacheza Mechi yeyote wakiwa Nchini Qatar.
+++++++++++++++++++++++++++++
FA CUP
RAUNDI YA 4
Ijumaa Januari 25
[SAA 4 Dak 30 Usiku]
Millwall v Aston Villa
Jumamosi Januari 26
[SAA 9 Dak 45 Mchana]
Stoke City v Manchester City
[SAA 12 Jioni]
Norwich City v Luton Town
Macclesfield Town v Wigan Athletic
Derby County v Blackburn Rovers
Hull City v Barnsley
Middlesbrough v Aldershot Town
Brighton & Hove Albion v Arsenal
Reading v Sheffield United
Huddersfield Town v Leicester
QPR v MK Dons
Bolton v Everton
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Manchester United v Fulham
Jumapili Januari 27
[SAA 9 Mchana]
Brentford v Chelsea
[SAA 11 Jioni]
Leeds United v Tottenham Hotspur
[SAA 1 Usiku]
Oldham Athletic v Liverpool

CAPITAL ONE CUP: NI KIMBEMBE KWA CHELSEA NA VILLA, KUPINDUA VIPIGO?

>>KWA KANUNI, NI CHELSEA PEKEE KUNUFAIKA NA MAGOLI YA UGENINI MECHI YAO na SWANSEA!!
>>MAGOLI ya UGENINI KUANZA KUHESABIWA BAADA DAKIKA 120 TU!!
+++++++++++++++++++++++++
RATIBA:
NUSU FAINALI
MARUDIANO
[Mechi zote kuanza SAA 4 DAK 45 Usiku]
[Kwenye Mabano Matokeo Mechi ya Kwanza]
Jumanne Januari 22
Aston Villa v Bradford [1-3]
Jumatano Januari 23
Swansea City v Chelsea [2-0]
FAINALI
Jumapili Februari 24
Uwanja wa Wembley, London
+++++++++++++++++++++++++
CAPITAL_ONE_CUP-BESTCAPITAL ONE CUP, zamani LIGI CUP au CARLING CUP, ipo hatua ya Nusu Fainali na Jumanne na Jumatano Usiku Mechi zake za marudiano zitachezwa huku kukiwa na mvuto mkubwa baada ya Chelsea kuchapwa 2-0 katika Mechi ya kwanza wakiwa nyumbani Stamford Bridge na Swansea City na Jumatano watakuwa huko Liberty Stadium kurudiana na Swansea City wakihitaji ushindi mnono ili watinge Fainali.
Jumanne ni marudiano Uwanjani Villa Park kati ya Aston Villa na Bradford City, Timu ya Daraja la chini huku Aston Villa wakihitaji kupindua kipigo cha Mechi ya Kwanza walipochapwa Bao 3-1.
Katika Mechi ya kwanza kati ya Chelsea na Swansea, makosa ya Beki wa Chelsea Branislav Ivanovic yalimruhusu Michu kufunga Bao la kwanza na akarudia tena makosa yake na pasi yake ya nyuma kunaswa na Graham katika Dakika za mwishoni na kupachika Bao la pili.
KANUNI-JINSI MAGOLI YA UGENINI YANAVYOHESABIWA
Kwa mujibu wa Kanuni za CAPITAL ONE CUP, katika Mechi za Nusu Fainali, ikiwa idadi ya Jumla ya Magoli kwa Mechi mbili ni sawa mwishoni mwa Dakika 90, Mechi itakwenda muda wa Nyongeza wa Dakika 30.
Na ikiwa baada ya Dakika 120, idadi ya Jumla ya Magoli kwa Mechi mbili ni sawa, basi Mshindi atapatikana kwa kuhesabu kila Goli la ugenini mara mbili.
Lakini ikiwa bado, idadi ya Jumla ya Magoli ni sawa hata kwa kuchukulia Magoli ya Ugenini baada ya Dakika 120, basi Mshindi atapatikana kwa Mikwaju ya Penati tano tano.
Kwa misingi hiyo, katika Mechi kati ya Swansea City na Chelsea, ni Chelsea pekee ndio wanaweza kunufaika kwa Magoli ya ugenini na Swansea wao watahitaji ushindi au sare au kufungwa 1-0 ili kusonga mbele.
Ikiwa Chelsea watashinda 2-0, Mechi itaingia Dakika 30 za nyongeza na ikiwa bado ni 2-0 kwa Chelsea baada ya Dakika 120, Jumla ya Magoli kwa Mechi mbili ni 2-2 na hivyo Mikwaju ya Penati itaamua nani Mshindi.
Endapo Chelsea atashinda 3-1 katika Dakika 90, Mechi itaingia Dakika 30 za nyongeza na ikiwa bado 3-1 baada ya Dakika 120, Jumla ya Magoli itakuwa ni 3-3 na Magoli ya ugenini yatahesabiwa Dabo na Chelsea watasonga Fainali kwa Magoli ya ugenini bora.
Kanuni hizi pia, zitatumika sawia kwa Mechi ya marudiano kati ya Aston Villa na Bradford City ambapo Magoli ya Ugenini yataanza kuhuesabiwa tu baada ya Dakika 120 za Gemu.

WENGER AHOFIA KUKOSA ULAYA, RVP ASEMA NI SAHIHI KUIKACHA ARSENAL!

>>RVP OLD TRAFFORD: MECHI 28, GOLI 22, BPL NI BORA KWA GOLI 18!!
WENGER_AHIMIZA12BOSI wa Arsenal, Arsene Wenger, mara baada ya kufungwa mara mbili mfululizo na Manchester City na Chelsea kwenye Ligi Kuu England, amekiri wapo hatarini kukosa kucheza Ulaya Msimu ujao lakini Nahodha wake wa zamani, Robin van Persie, ametamka kuwa uamuzi wake kuihama Arsenal na kutua Manchester United ulikuwa ni uamuzi sahihi na wa wakati muafaka.
WENGER
Arsene Wenger amekiri kuwa kipigo cha Bao 2-1 mikononi mwa Chelsea Siku ya Jumapili kimewaacha pagumu katika azma yao ya kufuzu ya kucheza UEFA CHAMPIONZ LIGI Msimu ujao.
++++++++++++++++++++++
BPL:
MSIMAMO-Timu zaJuu:
1 Man United Mechi 23 Pointi 56
2 Man City  Mechi 23 Pointi 51
3 Chelsea  Mechi 23 Pointi 45
4 Tottenham  Mechi 23 Pointi 41
5 Everton  Mechi 22 Pointi 37
6 Arsenal  Mechi 22 Pointi 34
7 Liverpool  Mechi 23 Pointi 34
8 West Brom Mechi 23 Pointi 34
9 Swansea  Mechi 23 Pointi 33
10 Stoke Mechi 23 Pointi 29
++++++++++++++++++++++
Arsenal wapo Pointi 7 nyuma ya Timu ya nafasi ya nne Tottenham ambayo ndio nafasi ya mwisho kufuzu kucheza UEFA CHAMPIONZ LIGI Msimu ujao.
Arsenal, wakitoka kufungwa na Man City 2-0 Jumapili Januari 13 na 2-0 na Chelsea Jumapili Januari 20, kumemfanya Wenger aungame: “Tebo ni Tebo. Tumefungwa Gemu mbili Wiki iliyopita na hilo limetuharibia katika Msimamo wetu wa Ligi na ni ngumu kukubali. Hatuweza kupoteza Pointi zaidi kama tunataka tuwe 4 Bora.”
RVP
Robin van Persie ana hakika kuwa ulikuwa wakati muafaka kwake kuihama Arsenal na kutua Manchester United.RVP_in_RED2
Straika huyo hatari ambae ameifungia Man United Mabao 22 katika Mechi 28 huku Bao 18 zikiwa kwenye Ligi Kuu England alihamia Old Trafford mwanzoni mwa Msimu huu.
Van Persie, akifurahia mwanzo mzuri na Man United, ametamka: “Arsenal ni Klabu kubwa na Siku zote nilijisikia vizuri kuwa nao lakini baada ya Miaka 8 nilijisikia nitafute changamoto nyingine. Changamoto hii nimeipata Manchester United. Nimezungukwa na Mabingwa.”
Aliongeza: “Nahisi huu ni wakati muafaka kuhamia hapa. Kila Siku inaniambia nilifanya uamuzi sahihi. Sidhani ingekuwa safi kuja mapema. Nimekuja hapa kupata changamoto kubwa. Hakuna kitu kibaya kuhusu Arsenal. Hakuna Mchezaji mkubwa kuliko Klabu, Arsenal Siku zote itakuwepo kugombea Makombe na kuwa juu. Lakini baada ya Miaka 8 nilikuwa tayari kuondoka na kujaribu kitu kipya.”
Akizungumzia kuhusu hali yake tangu atue Old Trafford, Robin van Persie amesema kila Mtu amekuwa mwema kwake na imemsaidia sana kujisikia nyumbani.
Amesema: “Nasikia furaha. Naona vitu ambavyo sijaviona muda mrefu. Nilipotua Arsenal kwa mara ya kwanza niliona vitu toka kwa Dennis Bergkamp na Thierry Henry ambavyo nilikuwa sijaviona maishani. Sasa naviona vitu hivyo tena na hilo linanifanya niwe na furaha.”

ETHIOPIA YAWAKATALIA MABINGWA ZAMBIA AFCON



Football | Afcon

Champions Zambia frustrated by Ethiopia


Ethiopia earned a valuable point at the 2013 Africa Cup of nations when they came back from behind to hold Zambia to a 1-1 draw at the Mbombela Stadium on Monday afternoon.
Collins Mbesuma broke the deadlock just before the break but Ethiopia responded in the second half through a well-taken goal from captain Adane Girma.
The defending champions showed their intentions as early as the third minute when Stopilla Sunzu was given room to push forward from the middle, but in the end he fired his shot over the crossbar.
However, it was the Ethiopians who settled into the match first and came agonisingly close to opening the scoring in the 17th minute when Hichani Himonde and Sunzu failed to clear a pass from Adane Girma.
This allowed Saladin Said to lob the ball over Kennedy Mweene and towards the empty net but somehow it bounced on the hard turf and went over the crossbar.
Chipolopolo captain Christopher Katongo should have done better in the 21st minute when he was left unmarked to connect with a pinpoint cross from Rainford Kalaba, but he rushed his header wide of the post.
Then three minutes later the Walya Antelopes were awarded a penalty when Said was brought down by a late tackle from Chisamba Lungu inside the box.
He then stepped up to take the spotkick, but Mweene pulled off a good save as he dived to his left to parry the ball to safety.
Katongo came close to finding the opener at the other end a minute later when he drilled a low shot from outside the penalty area, but Jemal Tassew was able to turn the ball around the post.
Then in the 31st minute Lungu ran onto a through-pass and managed to lob the ball over the advancing Tassew, only for his effort to go wide of the target.
However, the Zambian was caught late by the Ethiopian goalkeeper, who was then given a straight red card for his dangerous lunge, leaving his side to play most of the match with one man less.
Herve Renard’s side eventually found the back of the net on the stroke of halftime as Mbesuma collected a flick from Isaac Chansa on the edge of the area before firing past the exposed goalkeeper.
Despite their numerical advantage, Ethiopia continued to play positively and in the 50th minute Getaneh Kebede tried his luck with a long distance shot which flew wide of the top left corner.
Seven minutes later Mbesuma tried to grab his second goal of the match when he collected a loose ball outside the box but he failed to hit the target as his shot went wide of the post.
Ethiopia then levelled matters in style in the 65th minute when Said found Girma on the right, who then beat Mweene with a powerful shot which brushed the inside of the near post.
Four minutes later Mbesuma thought he deserved a penalty when he went down inside the box under a challenge from Aynalem Hailu, but the referee booked the forward for simulation instead.
Zambia then threw men forward as they looked to regain their lead, but substitute Jacob Mulenga sent his header over the crossbar in the 74th minute, before Mbesuma saw his low effort pushed wide by the goalkeeper.
Said had half a chance to steal maximum points for his side in the second minute of added time when he was picked out by Girma on the edge of the area, but his volleyed attempt was blocked by Sunzu.

Zambia (1) (Mbesuma 45 + 4’)
Ethiopia (0) 1 (Girma 65’)

Zambia: Mweene, Sunzu, Nkausu, Himonde, Musonda (J. Mulenga 60’), Kalaba, Chansa (M. Mulenga 75’), Lungu, Katongo (Mayuka 85’), Sinkala, Mbesuma
Ethiopia: Tassew, Hailu, Eliase, Tesfaye, Butako, Bekele (Tadelle 38’), Megersa, Teshome (Ibrahim 90 + 4’), Girma, Kebede (Hintsa 64’), Said

RAIS ZFA ATAKA KUJIUZULU KUKWEPA WAPINGA MAENDELEO


Aman Ibrahim Makungu, rais wa ZFA aliyebeba matumaini ya soka ya Zanzibar 

RAIS wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Aman Ibrahim Makungu, ameandika barua ya kutaka kujiuzulu nafasi yake kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kuchoshwa na vitendo vya baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho cha kukataa mabadiliko chanya.
Taarifa zilizopatikana kutoka katika chanzo cha kuaminika, ni kuwa barua ya Rais wa Zfa Taifa iliyoandikwa kwenda kwa Katibu Mkuu wa Zfa Taifa, Kassim Haji Salum, ambayo imesainiwa na yeye mwenyewe imesema kuwa amechoshwa na tabia ya baadhi ya viongozi wa juu wa Chama hicho cha kukataa kumpa ushirikiano, huku lawama nyingi akizielekeza kwa Katibu wake Mkuu na Makano wa Rais kisiwani Pemba akiwataja kuwa ndio chanzo cha kukosekana ushirikiano katika chama hicho.
Hata hivyo barua hiyo inatarajiwa kukabidhiwa rasmi keshokutwa mara baada ya kumalizika kwa ziara rasmi ya Zfa katika wilaya nne za Pemba, ziara ambayo inamalizika kesho katika wilaya ya Chake Chake.
Hatua hiyo imekuja kufuatia ziara rasmi ya Viongozi wa ngazi za juu wa Zfa Taifa wakiongozwa na Rais mwenyewe Aman Makungu, kwenda kisiwani Pemba kwa lengo la kuzungumza na viongozi wa soka katika wilaya zote za Pemba na ziara hiyo kudaiwa kususiwa na viongozi wa juu wa Zfa kisiwani Pemba akiwemo Makamo wa Rais kisiwani Pemba pamoja na Msaidizi katibu wa Zfa kisiwani Pemba.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na hali ya kutokuelewana kwa viongozi wa juu wa Zfa kati ya Unguja na Pemba huku kila upande ukiwa na sababu zake, wakati uongozi wa Zfa kisiwani Unguja ukilezea tabia ya viongozi wa Kisiwani Pemba kufanya mambo kienyeji, Uongozi wa Zfa kisiwani Pemba umekuwa ukilalamika juu ya maamuzi makubwa yanayofanywa na chama hicho bila ya kuwashirikisha huku wakitolea mfano wa suala la kufungiwa kwa wachezaji wa Timu ya Taifa ya Zanzibar 'Zanzibar Heroes'.

YANGA KURUDIANA NA BLACK LEOPARD ALHAMISI KIRUMBA




Kikosi cha Young Africans kilichoanza katika mchezo dhidi ya Black Leopard
Timu ya Young Africans Sports Club kesho alfajiri inatarajiwa kusafiri kuelekea jijini Mwanza ambapo siku ya jumatano itacheza mchezo wa kirafiki wa marudiano dhidi ya timu ya Black leopard kutoka nchini Afrika Kusini katika Uwanja wa CCM Kirumba.
 
Mchezo huo wa jumatano utakua ni fursa kwa wakazi, wapenzi wa soka wa kanda ya ziwa kuweza kuiona timu yao kwani tangu irejee nchini kutoka Uturuki imecheza mchezo mmoja tu wa kirafiki katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, hivyo ni fursa nzuri kwa wapenzi wa soka kanda ziwa kuiona timu yao.
 
Katika mchezo wa kwanza Young Africans iliibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Black leopard huku mabao ya Yanga yakifungwa na Jerson Tegete mabao mawili na Frank Domayo akifunga bao moja na pia kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mechi hiyo.
 
Kocha Mkuu Ernest aliomba kupata michezo miwili ya kirafiki kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Vodacom ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni mwa wikii hii katika viwanja tofauti, Yanga ikianza na timu ya Prisons siku ya jumapili.
 
Aidha Black Leopard ambayo iko nchini Tanzania kwa ajili ya maandalizi ya mzunguko wa pili wa ligi kuu nchini Afrika kusini PSL imesifia mchezo wa juzi dhidi ya Yanga na kusema ulikuwa mchezo mzuri na wakuvutia japokuwa walifungwa, lakini watajitahid kupata ushindi katika mchezo wao wa marudiano siku ya jumamosi.
 
Young Africans ambayo itatumia mchezo huo kama maandalizi yake ya mwisho, itaondoka kesho alfajiri na msafara wa watu 37, wachezaji 27, benchi la ufundi 7 na viongozi 3. 
 
Timu itarejea Dar es salaam siku ya alhamis jion tayari kabisa kwa kujiandaa na mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili wa ligi Kuu ya Vodacpm dhidi ya timu ya Prisons ya Mbeya.
 
Kuhusu viingilo vya mchezo huo ni vitakua ni Jukwaa Kuu Tshs 10,000/=,  na mzunguko Tshs 3,500/=

KAGERA SUGAR YAWAFUNZA RHINO RANGERS KUPIGA KWATA HII LEO ALLY HASSAN MWINYI.


 

 Timu ya kagera sugar leo imewachezesha kwata wanajeshi wa mkoani tabora rhino rangers kw akuwafunga mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika dimba la ally hassan mwinyi kuanzia majira yaa saa kumi na nusu za jioni ya leo.

Timu ya kagera sugar ndio waliokuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa winga wao mwenye mbio kama farasi julius mrope aliyewazidi maarifa wachezaji w atimu ya rhino rangers na kumtungua golikipa w arhino Iddy kihulya,

Rhino rangers walicharuka na kuanza kulisakama lango la kagera sugar na walifanikiwa kuliona lango hilo kupitia kwa mshambuliaji wao hatari sady kibanga aliyeunganisha krosi murua kutoka kwa beki mwenye mapafu ya mbwa stanlaus mwakitosi.

Nao kagera sugar walicharuka kuanza kulishambulia lango la rhino na Kutokana na uzembe wa golikipa w arhino rangers iddy kihulya kuliweza kuwapa mwanya tena kagera sugar baada ya kutoka langoni na wilfredy emme kupachika bao la pili kw aupande w akagera sugar.

Naye winga teleza aliyekuwa  anacheza winga ya kushoto paul kabange aliiandikia timu ya kagera sugar bao la tatu na la ushindi kwao alipoachia shuti kali lililomshinda mlinda mlango na kujaa nyavuni moja kwa moja.

Hadi dakika 90 za mchezo zinamalizika timu ya kagera sugar ilitoka kifua mbele kwa mabao 3-1 dhidi ya maafande hao wa jeshi la wananchi rhino rangers na kesho wanatarajia kumaliza mechi zao za kirafiki hapa mkoani tabora kwa kucheza na timu ya maafande wa polisi polisi tabora katika dimba hilo hilo la ally hassan mwinyi kuanzia majira ya saa kumi na nusu za jioni na jumatano kutakuwa na mtanange kati ya wanakisha mapanda toto african ya mwanza na timu ya rhino rangers ya kuashiria kuelekea katika duru la pili la michuano ya VPL na ligi daraja la kwanza FDL
.
wachezaji wa kagera suga walioanza leo ni.
KAGERA SUGAR+Andrew ntala,benjamin asukile ,salum kanoni,benjamin effe,amandus nesta,goerge kavilla,julius mrope,juma nande,themi felix,daud jumanne na juma mpola.
Walioingia kipindi cha pili ni timu nzima tena nao ni,>>>>>>>

Adam oseja,luhende kanyata,lamban kambole ,malegesi mwangwa,martini muganyizi ,zubery dabi,wilfredy emme,mecky maiko,rashid mandawa,paul kabange na paul ngwai.
RHINO RANGERS +Iddy kihulya,joseph salanganda,frank kohe,issa salum,julius masunga,stanslaus mwakitosi,ally mwanyiro,salum majid[chuji],victor hangaya,bakary mahadhi na sady kibanga.

 
TIMU YA KAGERA SUGAR WAKIWA MAZOEZINI KABLA YA MCHEZO KUANZA


WACHEZAJI W ARHINO RANGERS WAKIPASHA KABLA YA MCHEZO KUANZA
 
TIMU ZIMEJIPANGA TAYARI KW AMCHEZO W ALEO KATIKA DIMBA LA ALLY HASSAN  MWINYI JIONI YA LEO KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI.

 
WACHEZAJI W ARHINO RANGERS WALIOANZA HII LEO TAYARI KWA MCHEZO WAO DHIDI YA KAGERA

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA TABORA AKISALIMIANA NA KIUNGO SALUM MAJID ARI MAARUFU CHUJI

TAYARI KWA GAME HAPA WACHEZAJI WANAPEANA MKONO KUASHIRIA FAIR PALY KATIKA MCHEZO W AKIRAFIKI

 
GOLIKIPA NO.MOJA W AKAGERA SUGAR ANDREW NTALA AKIPEANA MKONO NA CHUJI WA RHINO RANGERS

WINGA TELEEEEEEEEEEEEZA JULIUS MROPE WAKIPEANA MKONO NA CHUJI TAYARI KWA MECHI HIYO HII LEO KATIKA DIMBA LA ALLY HASSAN MWINYI
 
THEMI  FELIX MWENYE JEZI NO .7 MGONGONI AMESALIMIANA NA SALUM MAJID ARI MAARUFU CHUJI TAYARI KWA MCHEZO








KAMA UWANJA W ATAIFA UNAVYOONEKANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
WATU WALIKUWA WAMEFURIKA ILE MBAYA KUWEZA KUWAONA WACHEZAJI W AKAGERA SUGAR WANACHEZAJI TOKA ENZI ZA MIRAMBO ILIPOSHUKLA DARAJA MAMBO YAKAWA YAMEKWISHA MPAKA SAA IV WAMEANZA TENA KURUDI KUIPA SAPORT RHINO IPANDE
 
HAPA BAADA JULIUS MROPE KUUMIA AKIWA ANATIBIWA WACHEZAJI WANAPEWA MANENO NA KOCHA WAO MWL.MAYUNGA SHIJA

 
JULIUS MROPE HUYO AMETIBIWA NA ANATOKA NJE TENA ARUDI KUASHIRIA KUWA AMEPONA


UWANJA ULIKUWA UMEFURIKA ILE MBAYA KAMA UNAVYOONEKANA KATIKA JUKWAA KUU

BAADA YA MPIRA KUMALIZIKA WAKAZI W ATABORA KILA MMOJA ALIKUWA NA UCHI ANGALAU W AKUSALIMIANA NA MCHEZAJI MMOJA W AKAGERA SUGAR USTAAAAAAAAA NOMAAAA
 
HAPA KATIBU W ATAREFA BW.FATTY DEWJ REMTULA AKIWAANAHESABU PESA ZILIZOPATIKA CHUMBANI NA ULINZI ULIKUWA WA KUTOSHA .

 
ZILIPATIKANA SHILINGI MILIONI 1,630,000 BAADA YA KUINGIA WATAZAMAJI 1630 WALIOINGIA KWA SHILINGI 1000 KILA MMOJA MTOTO IWE MKUBWA  HIYOOOOOOOOOO

ANGALIA PICHA MBALI MBALI ZA TUKIO LA KUANGUKA KWA UKUTA WA NYUMBA MAENEO YA UBUNGO NA KUSABABISHA HASARA KUBWA




 Baadhi ya magari yaliyoangukiwa na ukuta.
 Magari mbalimbali yakiwa chini ya kifusi.
 Gari aina ya Noah likiwa limegandamizwa na zege.
 Hii ndiyo hali halisi ya tukio lilivyokuwa.
 Gari aina ya Toyota likiwa limebonyezwa na zege.
 Watu wakiangalia magari yao.
 Kenyela akiongea jambo juu ya ajali hiyo.
 likuwa ni hasara tupu.
.UKUTA WA ENEO  LA NDANI YA KITUO CHA MABASI UBUNGO BUS TERMINAL UMEANGUKIA MAGARI ZAIDI YA 24 YALIYOKUWA YAMEPAKI ENEO AMBALO HUTUMIKA KUPAKI WAKIWA WANASINDIKIZA ABIRIA NA NDUGU ZAO,CHANZO CHA AJALI HIYO NI MKANDARASI WA ENEO HILO ALIKUWA ANABOMOA UKUTA HUO,NA PIA IMERIPOTIWA KUWA KUNA BAADHI YA MAJERUHI

MAMBO YA MECHI YA NIGER NA MALI SEYDOU KETA MAN OF THE MATCH..

CLINT DEMPSEY AINUSURU TOTTENHAM NA KUTOKA SARE NA MASHETANI WEKUNDU JANA NA KUENDELEA KUONGOZA KWA REKODI KWA MAN U KWANI MECHI YA KWANZA MAN U ALITANDIKWA NA HII SARE




Delight: Dempsey celebrates his last-gasp equaliser
 >>MAN UNITED YABAKI JUU KILELENI POINTI 5 MBELE!
Bao la Dakika ya 92 la Clint Dempsey limewapa Tottenham sare ya 1-1 walipocheza na Vinara wa BPL, Barclays Premier League, Manchester United, Uwanja wa White Hart Lane uliokuwa ukiandamwa na kuanguka kwa Barafu na kuwafanya wawe Pointi 5 mbele ya Timu ya Pili, Manchester City.

MSIMAMO-Timu zaJuu:
1 Man United Mechi 23 Pointi 56
2 Man City  Mechi 23 Pointi 51
3 Chelsea  Mechi 23 Pointi 45
4 Tottenham  Mechi 23 Pointi 41
5 Everton  Mechi 22 Pointi 37
6 Arsenal  Mechi 22 Pointi 34
7 Liverpool  Mechi 23 Pointi 34
8 West Brom Mechi 23 Pointi 34
9 Swansea  Mechi 23 Pointi 33
10 Stoke Mechi 23 Pointi 29

Robin van Persie, aliefunga Bao lake la 22 Msimu huu, ndio aliwapeleka Man United kwa Bao 1-0 alipofunga Bao la kichwa katika Dakika ya 25
Clinical: Robin van Persie scored his 22nd goal of the season after 25 minutesWayne Rooney, alieingizwa Kipindi cha Pili, alishuhudia akinyimwa Penati baada ya kuangushwa ndani ya Boksi.
Kwa wengi matokeo haya ya sare yalikuwa ni sawa hasa ukizingatia Mechi yenyewe ilikuwa nusura iahirishwe kutokana na kuanguka kwa Barafu nyingi kabla ya kuanza lakini ukaguzi wa Uwanja kabla ya Mechi wa Refa Chris Foy ulitoa uamuzi Mechi iendelee.
VIKOSI:
Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Caulker, Naughton, Lennon, Parker, Dembele, Bale, Dempsey, Defoe
Akiba: Friedel, Vertonghen, Huddlestone, Sigurdsson, Livermore, Townsend, Assou-Ekotto.
Man United: De Gea, Da Silva, Ferdinand, Vidic, Evra, Jones, Carrick, Cleverley, Kagawa, Welbeck, van Persie
Akiba: Lindegaard, Valencia, Anderson, Rooney, Giggs, Smalling, Hernandez.
Refa: Chris Foy
+++++++++++++++++++++++
BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
RATIBA:
Jumatatu Januari 21
[SAA 5 Usiku]
Southampton v Everton
Jumatano Januari 23
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Arsenal v West Ham
Jumanne Januari 29
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Aston Villa v Newcastle
QPR v Man City
Stoke v Wigan
Sunderland v Swansea
Jumatano Januari 30
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Arsenal v Liverpool
Everton v West Brom
Norwich v Tottenham
[SAA 5 Usiku]
Fulham v West Ham
Man United v Southampton
Reading v Chelsea
Jumamosi Februari 2
[SAA 9 Dak 45 Mchana]
QPR v Norwich
[SAA 12 Jioni]
Arsenal v Stoke
Everton v Aston Villa
Newcastle v Chelsea
Reading v Sunderland
West Ham v Swansea
Wigan v Southampton
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Fulham v Man United
Jumapili Februari 3
[SAA 10 na Nusu Jioni]
West Brom v Tottenham
[SAA 1 Usiku]
Man City v Liverpool


KIGGI NA KIEMBA WAIOKOA SIMBA KUDUNDWA NA WAOMAN HIYO JANA NA KUIBUKA NA USHINDI WA 2-1


TIMU ya Simba jana imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ahli Sidab ya daraja la kwanza ya Oman...Wenyeji hao walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Mbrazil, Lopez lakini Kiggi Makasi akasawazisha na kipindi cha pili Amri Kiemba akapachika bao la pili...Wachezaji watatu wa kikosi cha kwanza Boban, Mwinyi na Kazimoto walikuwa nje, Sunzu hakucheza na Abel Dhaira





MAN U WAMKOSA SNEIJDER ATUA UTURUKI WALIPOKUWA YANGA



Galatasaray have agreed a deal to sign Holland midfielder Wesley Sneijder from Inter Milan, the Turkish club have confirmed.
On Goals on Sunday Liverpool captain Steven Gerrard said he would like to see Sneijder arrive at Anfield, but it appears his appeal was too late.
The 28-year-old has been locked in contract talks with Galatasaray since Inter accepted an £8.3 million bid for his services two weeks ago, and has put pen to paper on a deal believed to be worth £120,000-per-week.
Inter exit: Wesley Sneijder (pictured, left) poses in the shirt of his new team, Galatasaray. The DUtch midfielder had been linked with Manchester United, Tottenham and Liverpool
Inter exit: Wesley Sneijder (pictured, left) poses in the shirt of his new team, Galatasaray. The DUtch midfielder had been linked with Manchester United, Tottenham and Liverpool
A statement on galatasaray.org read: 'The transfer of Wesley Sneijder from Inter Milan has been agreed.
'The conditions of the deal will be made public and the player will sign the contract after health checks.'
Gerrard said: 'He's a top player we've seen at every major tournament, he delivers.
'He's done it in the Champions League for years.
'But we have to see on his wages, the man I think gets paid very well. He'll have all kinds of options, I'm sure.
Plea: Liverpool captain said he would've liked to see Sneijder at Anfield
Plea: Liverpool captain said he would've liked to see Sneijder at Anfield
'But I'd like nothing more than to see him in a red shirt. I think he'd be a fantastic player for Liverpool Football Club.' 
A short conversation between Inter president Massimo Moratti and Sneijder was released on the Serie A club's website earlier this evening, in which both parties revealed the Dutch international was close to calling time on a successful spell at the San Siro.
Reports in Italy and Holland suggested Sneijder and his agent Soren Lerby met with Galatasaray director Lutfi Arigogan in a Milan hotel this evening to finalise the details of a three-and-a-half year contract.
Talent: Sneijder won the Champions League, was a World Cup finalist and made it into both the UEFA and FIFA teams of the year in 2010
Talent: Sneijder won the Champions League, was a World Cup finalist and made it into both the UEFA and FIFA teams of the year in 2010
Sneijder has not featured for the Nerazzurri since a 2-0 victory at Chievo in September after publicly refusing to take a two million euro pay cut on a contract that ran until June 2015.
Head coach Andrea Stramaccioni maintained the playmaker's absence from the first team was solely a tactical decision, despite Inter's clear difficulty in keeping pace with league leaders Juventus through an injury crisis.
This week saw Moratti urge Sneijder to make a 'professional' decision over his future in Milan, where he won the treble under Jose Mourinho in 2010. The pair cleared the air before Sneijder headed for decisive talks with representatives of the Super Lig leaders

ASHLEY COLE SASA NI BEKI ANAYEVUTA MKWANJA MNENE ZAIDI DUNIANI



Ashley Cole has become the highest paid defender in world football after negotiating a one-year contract worth just under £200,000 a week.
Chelsea expect to announce the contract extension ahead of Wednesday’s Capital One Cup semi-final against Swansea, but the deal has been agreed.
Chelsea have agreed to a pay hike for the England defender, 32, because it would have cost them well in excess of £15million to secure a replacement left back of similar quality in the summer.
Top earner: Ashley Cole will earn just under £200,000-a-week with his one-year contract extension at Chelsea, making him the highest paid defender in the world
Top earner: Ashley Cole will earn just under £200,000-a-week with his one-year contract extension at Chelsea, making him the highest paid defender in the world
 
Cole’s representatives had held tentative talks with Real Madrid, Paris St Germain and Manchester United, but Chelsea eventually caved in to the left back’s demands.
It has also emerged that Chelsea were determined to lift supporters’ spirits by making a major announcement after their depressing form at Stamford Bridge under Rafa Benitez.
Chelsea originally claimed Cole would be leaving at the end of the season and were clearing out the dressing room in anticipation of Pep Guardiola’s arrival.
But the failure of Ryan Bertrand to progress this season convinced Chelsea owner Roman Abramovich to authorise the extension.
Small change: Chelsea owner Roman Abramovich, seen here with girlfriend Dasha Zhukova at Stamford Bridge on Sunday, was left with little choice but to retain Cole given the lack of other left-back options
Small change: Chelsea owner Roman Abramovich, seen here with girlfriend Dasha Zhukova at Stamford Bridge on Sunday, was left with little choice but to retain Cole given the lack of other left-back options

HAMISI KIIZA DIEGO APONA, AANZA MAZOEZI YANGA KUELEKEA DURU LA PILI LA VPL



Kiiza
KIPA wa tatu wa Yanga SC, Yussuf Abdul na mshambuliaji Mganda, Hamisi Kiiza ‘Diego’ waliokuwa wanasumbuliwa na Malaria, wamepona na leo wamefanya mazoezi na wenzao kwenye Uwanja wa Mabatini, Kijitonyama, Dar es Salaam.
Wawili hao walikosa mchezo wa kujipima nguvu dhidi ya Black Leopard ya Afrika Kusini juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambao timu yao ilishinda mabao 3-2.
Ofisa Habari wa Yanga, Baraka Kizguto amesema  leo kwamba, timu imeendelea na mazoezi leo na wachezaji wote wameshiriki wakiwemo Abdul na Kiiza.
Alisema kwa sasa Yanga haina majeruhi hata mmoja na inaendelea vema na mazoezi yake kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu hya Vodacom Tanzania Bara unaoanza mwishoni mwa wiki.
Mabingwa hao wa Afrika Mashariki na Kati, katika kujiandaa na mzunguko huo wa pili wa Ligi Kuu, waliweka kambi ya wiki mbili Jijini Antalya, Uturuki kuanzia Desemba 30 mwaka jana hadi Januari 12 mwaka huu.
Katika kambi hiyo, pamoja na kufanya mazoezi ya nguvu ya ufukweni, uwanjani na gym, Yanga ilipata mechi tatu za kujipima nguvu dhidi ya Ariminia Bielefed ya Daraja la Nne Ujerumani waliyotoka nayo sare ya 1-1, kabla ya kufungwa 2-1 na Denizlispor FC ya Daraja la Kwanza Uturuki na 2-0 na Emmen FC ya Daraja la Kwanza Uholanzi.
Yanga ilimaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu, ikiwa inaongoza ligi hiyo kwa pointi zake 29, baada ya kucheza mechi 13, ikifuatiwa na Azam iliyomaliza na pointi zake 24 na mabingwa watetezi, Simba SC waliomaliza na pointi 23.  
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM 2012/2103:
                              P    W  D   L    GF GA GD Pts
1    Yanga               13 9    2    2    25 10 15 29
2    Azam                13 7    3    3    17 11 6    24
3    Simba SC         13 6    5    2    20 11 9    23
4    Mtibwa Sugar    13 6    4    3    18 12 6    22
5    Coastal Union   13 6    4    3    16 14 2    22
6    Kagera Sugar    13 5    6    2    15 10 5    21
7    Ruvu Shooting  13 6    2    5    19 17 2    20
8    Mgambo JKT    13 5    2    6    10 13 -3  17
9    JKT Ruvu          13 4    3    6    13 20 -7  15
10 JKT Oljoro          13 3    5    5    13 16 -3  14
11 TZ Prisons          13 3    5    5    8    12 -4  14
12 Toto African        13 2    6    5    10 15 -5  12
13 African Lyon       13 2    3    8    9    20 -11 9
14 Polisi Moro         13 0    4    9    4    16 -12 4

PINGAMIZI DHIDI YA WAGOMBEA TFF ZAITWA HARAKA ILI KUTOA DOSARI KUELEKEA KATIKA UCHAGUZI FEB 24


 
BAADA ya kupitia fomu za waombaji uongozi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Kamati ya Uchaguzi ya shirikisho hilo leo inaanza mchakato wa pingamizi dhidi ya wagombea.
Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura Mgoyo amesema kwamba, leo saa 10:00 jioni Kamati ya Uchaguzi itabandika kwenye ubao wa matangazo wa TFF majina ya waombaji ili kutoa fursa kwa kipindi cha pingamizi.
Wambura amesema mwisho wa kupokea pingamizi dhidi ya waombaji uongozi ni Januari 26, mwajka huu saa 10:00 jioni.
Jumla ya watu 50 kati ya 52 waliochukua fomu kuomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa TFF utakaofanyika Februari 24, mwaka huu wamerejesha fomu hizo.
Waombaji ambao hawakurejesha fomu ni Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ aliyekuwa akiomba ujumbe wa Kamati ya Utendaji kuwakilisha mikoa ya Morogoro na Pwani, na Shufaa Jumanne aliyekuwa akiomba kuwakilisha Kanda ya Dar es Salaam.
Orodha kamili ya wagombea waliorejesha fomu ni Athumani Nyamlani, Jamal Malinzi, Omari Nkwarulo na Richard Rukambura wanaogombea Urais, nafasi inayoachwa wazi na Leodegar Tenga anayeng’atuka, Michael Wambura, Ramadhani Nassib na Wallace Karia wanaogombea Makamu wa Rais, nafasi inayoachwa wazi na Nyamlani, anayehamia kwenye Urais.
Kwa upande wa ujumbe wa Kamati ya Utendaji ni Abdallah Musa, Salum Chama na Kaliro Samson (Kagera na Geita), Jumbe Magati, Mugisha Galibona, Richard Rukambura, Samuel Nyalla, Titus Osoro na Vedastus Lufano (Mara na Mwanza).
Epaphra Swai na Mbasha Matutu (Shinyanga na Simiyu), Charles Mugondo, Elly Mbise na Omari Walii (Arusha na Manyara), Ahmed Mgoyi na Yusuph Kitumbo (Kigoma na Tabora), Ayubu Nyaulingo, Blassy Kiondo, Nazarius Kilungeja na Selemani Kameya (Katavi na Rukwa) na James Mhagama na Stanley Lugenge (Njombe na Ruvuma).
Athuman Kambi, Francis Ndulane na Zafarani Damoder (Lindi na Mtwara), Hussein Mwamba na Stewart Masima (Dodoma na Singida), Farid Nahdi, Hassan Othman Hassanoo, Riziki Majala na Twahili Njoki (Morogoro na Pwani), David Lugenge, Elias Mwanjala, Eliud Mvella na John Kiteve (Iringa na Mbeya), Davis Mosha, Khalid Mohamed na Kusiaga Kiata (Kilimanjaro na Tanga) na Alex Kamuzelya, Juma Pinto, Muhsin Balhabou, Omari Abdulkadir na Shaffih Dauda (Dar es Salaam).
Aidha, waombaji wote sita wa uongozi katika Bodi ya Ligi Kuu (TPL Board) ambayo uchaguzi wake utafanyika Februari 22 mwaka huu wamerejesha fomu.
Kwa upande wa Mwenyekiti waombaji ni Hamad Yahya wa Kagera Sugar na Yusuph Manji wa Yanga wakati Makamu Mwenyekiti aliyeomba ni Said Mohamed wa Azam.
Nafasi mbili za ujumbe wa Bodi ya Ligi Kuu kwa klabu za Daraja la Kwanza zimeombwa na watu watatu. Waombaji hao ni Christopher Peter Lunkonde wa Moro United, Kazimoto Miraji Muzo wa Pamba ya Mwanza na Omari Khatibu Mwindadi.

LA LIGA: Real yatandika 5-0, yaifukuza Atletico!

BARCA_v_REAL

LA LIGA
MSIMAMO-Timu za JUU:
[Kila Timu imecheza Mechi 20 isipokuwa inapotajwa]
1 FC Barcelona Pointi 55
2 Atletico de Madrid          47
3 Real Madrid CF 40
4 Real Betis Mechi 19 Pointi 34
5 Malaga CF 32
6 Rayo Vallecano 31
7 Valencia 30
8 Levante 30
9 Real Sociedad 29

JANA, wakicheza ugenini na Levante, Real Madrid walishinda Bao 5-0 katika Mechi ya Ligi ya Spain, La Liga huku Nyota wao Cristiano Ronaldo na Angel Di Maria, wakipiga Bao 2 kila mmoja.

MAGOLI:
Valencia 0
Real Madrid 5
-Gonzalo Higuain Dakika ya 9
-Angel Di Maria 34 & 45
-Cristiano Ronaldo 36 & 41

Ushindi huo wa Real umewafanya wafikishe Pointi 40 wakiwa Pointi 7 nyuma ya Timu ya Pili Atletico Madrid ambao jana waliifunga Levante Bao 2-0 kwa Bao za Adrian Lopez Alvarez, Dakika ya 32 na Koke, Dakika ya 60.
Atletico Madrid wako Pointi 8 nyuma ya Vinara Barcelona ambao juzi walipoteza Mechi yao ya kwanza ya La Liga Msimu huu baada ya kuchapwa 3-2 na Real Sociedad.
MATOKEO:
Jumapili Januari 20
Malaga 1 Celta Vigo 1
Osasuna 2 Deportivo La Coruna 1
Real Valladolid 2 Real Zaragoza 0
Atletico Madrid 2 Levante 0
Valencia 0 Real Madrid 5

KATIBU WA ZAMANI WA TAREFA BW,ALBERT LULYALYA SITTA AKABIDHI NYARAKA ZA TAREFA KWA KATIBU MPYA FATTEH DEWJI REMTULA



Katibu wa zamani wa TAREFA bw. Albert Lulyalya Sitta amekabidhi vifaa vya mpira wa miguu na nyaraka za TAREFA kwa katibu wa sasa wa tarefa bw. FATTY DEWJI REMTULA tarehe ya 21/1/2013 toka aenguliwe katika uchaguzi uliofanyika siku ya jumamosi ya dec.22 mwaka jana 2012 katika ukumbi wa TUWASA mkoani tabora.


Katibu huyo alikuwa ameving'ang'ania vitu hivyo kutokana nakuenguliwa katika uchaguzi uliofanyika tarehe 22 dec,2012 na kutoa kabisa matumaini yake aliyokuwa anaamini kuwa mpinzani wake angembwaga lakini mambo yakawa tofauti kwani alibwagwa na mpinzani wake kwa kura 17 yeye akipata kura 7.

Vitu alivyokabidhi ni pamoja na Hati ya usajili wa chama cha mpira wa miguu mkoa w atabora TAREFA yenye na,1985 ya tarehe 5/2/2007,Katiba ya TAREFA,Mhuri wa TAREFA,Meza kubwa na meza ndogo [DESK],Kabati kubwa za mafaili 2,computer  moja mpya aina ya DELL,Printer moja aina ya DELL,Scanner moja mpya aina ya DELL,Majalada mbalimbali ya TAREFA,Jezi za njano 13,Bukta nyeupe na blue 10,stockings 8 na vishina 12 na vitabu 6 vya tiketi za kiingilio mpirani


 


KATIBU WA ZAMANI WA TAREFA BW.ALBERT SITTA AKIWA OFISINI KWAKE TAYARI KUKABIDHI NYARAKA ZA TAREFA KWA KATIBU MPYA WA TAREFA BW FATTY DEWJ REMTULA
 
BWANA ALBERT LULYALYA SITTA KATIBU WA ZAMANI W ATAREFA


KATIBU MKUU WA TUFA MKOANI TABORA NAYE ALIKUWEPO KATIKA MAKABIDHIANO HAYO

 
KATIBU WA SASA WA TAREFA BW.FATTY DEWJ REMTULA AKISOMA MOJA YA NYARAKA ZA TAREFA ALIZOKABIDHIWA

WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO NI KATIBU WA SASA WA TAREFA BW.FATTY REMTULA NA ANAYEFUATIA NI KATIBU WA CHAMA CHA SOKA WILAYA YA TABORA MJINI  TUFA BW.JUMA MAPUNDA
 
HAPA WANAJADILIANA MOJA YA HOJA KALI KUHUSIANA NA VIFAAA HIVYO

HAPA UNAZANI HUYO KATIBU WA ZAMANI ANAFIKIRIA NINI MCHEKI ALIVYOMPIGA JICHO KATIBU WA SASA CHEZEA WEIYE UONGOZI BALAAAA
 
HIVI NI BAADHI YA JEZI NA BUKTA PAMOJA NA SOKISI ALIZOKUWA ANAZO KATIBU WA ZAMANI NAVYO KAVIKABIDHI
 
KATIBU WA TUFA BW.JUMA MAPUNDA AKIWA AMENYANYUA JEZI HIZO KUASHILIA KUWA WAMEKABIDHIWA NA KATIBU WA ZAMANI MZEE ALBERT LULYALYA SITTA HII LEO MUDA WA SAA NNE ASUBUHI

WAPO KATIKA MAKABIDHIANO YA NYARAKA ZA TAREFA

 
ILIKUWA NI LONG PROCESS KATIKA MAKABIDHIANO HAYO SIYO KIENYEJI ENYEJI

 
KAMA KAWAIDA MZEE WA MAKEKE KATIBU WA TUFA BWANA JUMA MAPUNDA AKIWA AMEHAKIKI HIZO VISHINA NA TIKETI VYA TAREFA

KAMA KAWAIDA GLOBALIZATION WAS TAKE PLACE WATU NA MAWASILIANO KWANI MWANZO ILIKUWAGA HIVI KUWA NA SIMU?

 
KATIBU WA ZAMANI WA TAREFA WA KWANZA KULIA BW ALBERT SITTA WAKIPEANA MIKONO NA KATIBU WA SASA WA TAREFA FATTY DEWJ REMTULA KATIKA OFISI YA KATIBU WA ZAMANI WA TAREFA HUYO,,,,,,,,,,,,,,,MAMBO YAMEISHA KIANAUMEE

 >>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
 SIKU YA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI TENDAJI ILIPOKUTANA KUJADILI KUHUSIANA NA SOKA LA MKOANI TABORA NA KUJADILI KUHUSIANA NA KATIBU WA ZAMANI KUKABIDHI NYARAKA ZA TAREFA KWA KATIBU WA SASA BW.FATTEH DEWJ REMTULA


   

HII NDIVYO HOTELI WALIYOFANYIA WAJUMBE WA KAMATI TENDAJI YA TAREFA MKOA WA TABORA LEO

 
KAMATI TENDAJI IKIPATA BREAKFAST KATIKA HOTELI YA KITALII YA FRANKMAN


BWANA KITUMBO HUYO WA KWANZA KULIA AKIWA TAYARI KWA KUPATA BREAKFAST
 
WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO NI KATIBU MKUU WA TAREFA BWANA FATTY DEWJ REMTULA AKIMSIKILIZA KWA UMAKINI MWENYEKITI WA TAREFA BWANA YUSUPH KITUMBO


KATIBU MKUU WA TAREFA FATTY DEWJ REMTULA AKIWA ANAANDIKA MOJA YA HOJA TOKA KWA WAJUMBE WA KAMATI TENDAJI


BI JANETH MICHAEL MWAKILISHI W AVILABU KWA WANAWAKE AKIWA ANAPATA MENYU
 
BWANA KITUMBO NA JOPO LAKE LA KAMATI TENDAJI YA TAREFA WAKIPATA BREAKFAST KWA PAMOJA KATIKA HOTELI YA FRANKMAN


KATIBU MKUU WA TAREFA FATTY DEWJ REMTULA AKIJIVINJALI KWA BREAKFAST KATIKA MKUTANO WAO WA KAMTI TENDAJI
 
WAHUDUMU WA FRANKMAN PALACE HOTELI

 
KATIBU WA TUFA JUMA MAPUNDA W AKWANZA KUTOKA KULIA,BW.KABEPELE ,BI.JANETH MAICHAEL NA RAZACK HUMBA WAKIMSIKILIZA KW AUNDANI MWENYEKITI WA TAREFA KITUMBO


MJUMBE WA KAMATI TENDAJI YA TAREFA DICK MLIMKA AKITOA HOJA KWA WAJUMBE WALIOHUDHURIA KIKAO HICHO
 
KIJANA MDOGO KWA WENYEKITI WA MIKOA TANZANIA NZIMA BW.YUSUPH KITUMBO AKIJADILIANA NA WAJUMBE ILI KUONDOA TASWIRA MBAYA YA SOKA LA MKOA W ATABORA

KAMA KAWAIDA ANAONGEA KWA UCHUNGU ILI SOKA LA MKOA WA TABORA LIWE NA TASWIRA NZURI KWA WANATABORA

MWENYEKITI WA TAREFA  YUSUPH KAHAMIS KITUMBO NA  KATIBU WAKE BWANA FATTY DEWJ REMTULA