Wednesday, March 13, 2013

UCHAGUZI TAFCA KUFANYIKA MOROGORO




UCHAGUZI wa viongozi wa Chama cha Makocha wa Soka Tanzania (TAFCA) utafanyika Jumamosi (Machi 16 mwaka huu) mjini Dodoma ambapo wajumbe wanatakiwa kuripoti siku moja kabla ya uchaguzi.
Wagombea waliopitishwa kuwania uongozi na Kamati ya Uchaguzi ya TAFCA chini ya uenyekiti wa Ramadhan Mambosasa ni Oscar Don Koroso (Mwenyekiti), Lister Manyara (Makamu Mwenyekiti) na Katibu (Michael Bundala).
Wengine ni Gabriel Gunda (Katibu Msaidizi), Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania- TFF (Wilfred Kidao) wakati wagombea ujumbe wa Kamati ya Utendaji ni Jemedali Saidi, George Komba na Magoma Rugora.

BAADA YA MWAKA JANA KUISAIDIA CHELSEA KUTWAA KOMBE LA UCL MNYAMA DROGBA ARUDI TENA JANA KUCHEZA NA SHALKE 04 NA KUISAIDIA TIMU YAKE YA GALATASARAY KUINGIA ROBO FAINALI<<<<<,CHELSEA WAMMEZEA MATE KUMRUDISHA DARAJAN



Champions League quarter-finalists

Barcelona, Borussia Dortmund, Galatasaray, Juventus, Paris Saint-Germain, Real Madrid, Bayern Munich or Arsenal, Malaga or Porto
Galatasaray reached the quarter-finals of the Champions League after edging out valiant Schalke at the Veltins-Arena.
Despite taking an early lead through Roman Neustadter, the German side were ultimately undone by strikes from Hamit Altintop and Burak Yilmaz just before the break.
Although Michel Bastos levelled just after the hour, Schalke still needed another as Gala had scored more away goals and their all-out attack left them vulnerable at the back, with the Turkish outfit making sure of their progress thanks to Umut Bulut's injury-time effort.
In the hat: Didier Drogba (right) and Felipe Melo rejoice at the final whistle (above) before the duo are joined by Wesley Sneijder and Gokhan Zan (below)
In the hat: Didier Drogba (right) and Felipe Melo rejoice at the final whistle (above) before the duo are joined by Wesley Sneijder and Gokhan Zan (below)
In the hat: Wesley Sneijder and Didier Drogba celebrate with team-mates Goekhan Zan and Felipe Melo after sealing a spot in the last eight

Match facts

Schalke: Hildebrand, Uchida, Howedes, Matip, Kolasinac, Hoger (Meyer 86), Neustadter (Fuchs 46), Farfan, Draxler, Michel Bastos, Pukki (Obasi Ogbuke 85). Subs not used: Fahrmann, Metzelder, Barnetta, Moritz.
Booked: Hoger, Kolasinac.
Goals: Neustadter 17, Michel Bastos 63.
Galatasaray: Muslera, Eboue, Kaya (Zan 78), Nounkeu, Riera, Felipe Melo, Altintop, Sneijder(Amrabat 70), Inan, Drogba, Burak Yilmaz (Bulut 86).Subs not used: Iscan, Balta, Kurtulus, Sarioglu.
Booked: Drogba.
Goals: Altintop 37, Yilmaz 42, Bulut 90+4. 
Referee: Jonas Eriksson (Sweden).
Attendance: 52,000.
The Super Lig leaders were looking to bounce back from an embarrassing home defeat to Genclerbirligi in their last domestic outing and they started in confident fashion.
Former Chelsea striker Didier Drogba looked imperious early on and Schalke goalkeeper Timo Hildebrand had to be at his best to tip the striker's fierce effort round the post.
The Ivorian then played in Selcuk Inan, who ran through on goal but lost his balance and his shot did not unduly trouble Hildebrand.
It seemed only a matter of time until the Schalke goal was breached but it was the hosts who took a 17-minute lead very much against the run of play.
The visitors failed to clear their lines from a corner and Joel Matip played the ball back to Neustadter, who slotted home with his outstretched left foot.
The strike seemed to settle Schalke, who had won all three league games since the draw in the first leg.
No mistake: Roman Neustaedter keeps his head in a crowded Galatasaray penalty box to give Schalke the lead
No mistake: Roman Neustaedter keeps his head in a crowded Galatasaray penalty box to give Schalke the lead
On target: Roman Neustaedter
On target: Roman Neustaedter
Wesley Sneijder served notice to the Gelsenkirchen side, however, when he fired narrowly wide from just inside the area before Altintop brought the tie back to life in the 37th minute.
Drogba squared a free-kick to the Turkey international 25 yards from goal and his fierce blast went in off the post.
Unstoppable: Hamit Altintop
Remember me? Hamit Altintop lets fly from 30 yards to level matters on the night against his former club
Remember me? Hamit Altintop lets fly from 30 yards to level matters on the night against his former club
And five minutes later, Gala had taken the lead when Burak shrugged off the challenge of Benedikt Howedes and lifted over Hildebrand for his eighth Champions League goal in as many games.
Jens Keller's men started the second half in positive fashion and Teemu Pukki - starting in place of injured star striker Klaas Jan Huntelaar - turned on the edge of the box before his rattling low effort was pushed away by Fernando Muslera at his near post.
Nifty finish: Burak Yilmaz hits his eighth strike of this season's Champions League, tapping the ball past Schalke keeper Timo Hildebrand
Nifty finish: Burak Yilmaz hits his eighth strike of this season's Champions League, tapping the ball past Schalke keeper Timo Hildebrand
Nifty finish: Burak Yilmaz hits his eighth strike of this season's Champions League, tapping the ball past Schalke keeper Timo Hildebrand
Nifty finish: Burak Yilmaz hits his eighth strike of this season's Champions League, tapping the ball past Schalke keeper Timo Hildebrand
The Gala goalkeeper was at fault, however, when Michel Bastos levelled in the 63rd minute.
Marco Hoger fired against the crossbar and although it looked like there would be no follow-up, Muslera fumbled and left Atsuto Uchida to square for the Brazilian to fire into an empty net.
Sneijder went close to immediately regaining the lead for Gala but he hammered wide but it was Schalke who gained the upper hand thereafter, with Muslera slightly redeeming himself by smartly parrying away Julian Draxler's effort.
Going down: Didier Drogba turns his ankle while celebrating with Yilmaz, prompting Felipe Melo to check up on his team-mate (below)
Going down: Drogba turns his ankle while celebrating with Yilmaz, prompting Melo to check up on his team-mate (below)
Cause for concern: Felipe Melo checks up on Didier Drogba
Gala then had to make a change as defender Semih Kaya was carried off the pitch having been knocked out although that did not seem to affect the Istanbul side, who held firm in spite of some probing pressure from Schalke.
However, the hosts left themselves wide open to the counter in search of a winner and it was Gala who stole up the other end to make sure of their progress to the quarter-final.
Back in the hunt: Michel Bastos sidefoots home to give Schalke hope of progression
Back in the hunt: Michel Bastos sidefoots home to give Schalke hope of progression
Late hope: Michel Bastos (left) made it 2-2
Substitute Umut beat the offside trap in the fifth minute of injury time and beat Hildebrand at the second attempt to send the visitors wild with joy.
Late drama: With Schalke pushing for a winner, Galatasaray broke with Umut Bulut hitting the winner
Late drama: With Schalke pushing for a winner, Galatasaray broke with Umut Bulut hitting the winner to spark wild celebrations among the Turkish team (below)
Winners: Gala

RIO APONA RUNGU FA….MWENZAKE KULIVAA!! WILSHERE NJE WIKI 3!!!

>> MCDERMOTT AFUKUZWA READING!!
>>CHARLTON: “ROONEY HAONDOKI MAN UNITED!!”
WALCOTT_WILSHERE_OXBEKI wa Manchester United, Rio Ferdinand, amesalimika kuadhibiwa na FA,RIO_v_REAL Chama cha Soka England, kwa kosa la kumsukuma Fernando Torres wakati wa Mechi ya Man United na Chelsea waliyotoka sare 2-2 Old Trafford kwenye Robo Fainali ya FA CUP hapo Jumapili.
Lakini, Mchezaji mwenzake wa Man United ambae amenunuliwa hivi karibuni na yuko kwa Mkopo Crystal Palace, Chipukizi hatari Wilfried Zaha pamoja na Meneja wake wa Klabu hiyo, Ian Holloway, wamefunguliwa Mashitaka na FA kwa utovu wa Nidhamu uliotendeka kwenye Mechi kati ya Crystal Palace na Leeds United iliyochezwa majuzi Jumamosi.
Endapo Rio Ferdinand angefunguliwa Mashitaka na FA kwa kosa hilo la kumsukuma Torres, kitendo ambacho hakikuonekana na Refa Howard Webb, na angepatikana na hatia, basi angefungiwa Mechi 3 ambazo zingemaanisha lazima angezikosa Mechi za Marudiano ya FA CUP dhidi ya Chelsea na Dabi ya Manchester dhidi ya Man City inayochezwa hapo Aprili 8.
Inaaminika FA imeshindwa kumfungulia Ferdinand Mashitaka kwa vile Video zote zilizopatikana hazithibitishi mtitiriko wa kosa na hivyo kuweza kumhukumu.
Kuhusu Zaha, FA imetamka Chipukizi hiyo amefunguliwa Mashitaka kwa kuwaonyesha ishara ya kebehi Mashabiki wa Leeds wakati wa Mechi na Timu yake Crystal Palace.
Na Meneja wa Crystal Palace, Ian Holloway, ameshitakiwa kwa kauli zake kwa Waamuzi wakati wa Mechi hiyo hiyo kati ya Palace na Leeds.
Wote wamepewa hadi Ijumaa Machi 15 kujibu Mashitaka yao.
Jack Wilshere nje Wiki 3
WILSHERE_n_WENGERKiungo wa Arsenal, Jack Wilshere, atakuwa nje ya Uwanja kwa Wiki 3 baada ya kuumia enka.
Kuumia kwa Wilshere kutamfanya aikose Mechi muhimu ya Arsenal na Bayern Munich itakayochezwa Jumatano huko Munich ikiwa ni marudiano ya UCL, UEFA CHAMPIONZ LIGI, huku Arsenal ikiwa imechapwa Bao 3-1 katika Mechi ya kwanza.
Pia Wilshere, ambae sasa ni mmoja wa tegemezi wa England ingawa ameichezea Mechi 7 tu, atazikosa Mechi za Nchi hiyo za Mchujo wa kuingia Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2014 huko Brazil ambapo England itacheza na San Marino na Montenegro hapo Machi 22 na 26.
Akithibitisha kuumia kwa Wilshere, Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger, ametangaza Kiungo huyo ana uvimbe kwenye enka yake.
Wilshere aliumia hiyo enka kwenye Mechi waliyofungwa na Tottenham 2-1 hapo Machi 3.
Brian McDermott atimuliwa Umeneja Reading
Klabu inayosuasua kwenye BPL, Barclays Premier League, Reading imemfukuza Meneja wao Brian McDermott.BRIAN_MCDERMOTT
McDermott, Miaka 51, ndie aliipandisha Reading Daraja Msimu huu lakini hivi sasa wapo kwenye kipigo cha 4 mfululizo kwenye BPL.
Kabu hiyo imetangaza kuwa Kocha wa Timu ya Chuo chao cha Soka, Eamonn Dolan, ndie atakaimu Umeneja kwa muda.
McDermott alijiunga na Reading Mwaka 2000 kama Msaka Vipaji na Kocha akifanya kazi chini ya Alan Pardew na Steve Copell na Mwaka 2009 aliteuliwa kama Meneja wa muda baada ya kufukuzwa Brendan Rodgers na baadae kuthibitishwa kama Meneja wa kudumu.
Mei 2012, Reading ilimilikiwa na Tajiri kutoka Urusi Anton Zingarevich ambae alinunua Hisa Asilimia 51 za Klabu hiyo.
Mwanzoni mwa Msimu huu Reading ilisuasua wakishinda Mechi 2 tu za BPL lakini mwanzoni mwa 2013 waliibuka na kushinda Mechi kadhaa na Mc Dermott kuteuliwa Meneja Bora wa BPL kwa Mwezi Januari.
Hata hivyo, vipigo toka kwa Stoke, Wigan na Everton na kufuaria kile cha Nyumbani cha 2-1 toka kwa Aston Villa hivi majuzi, kimewaacha Reading wakiwa nafasi ya 19 wakiwa na Pointi 23 sawa na Timu ya Mkiani QPR.
Wayne Rooney hauzwi asema Sir Bobby Charlton
FERGIE_N_CHARLTON1222Wayne Rooney atabaki Manchester United hadi amalize maisha ya Soka lake kwa mujibu wa Nguli Sir Bobby Charlton ambae ni Mkurugenzi Klabuni hapo.ROONEY_PENALTY
Uamuzi wa Meneja Sir Alex Ferguson kumpiga Benchi Rooney walipofungwa na Real Madrid Wiki iliyopita kulizua uvumi mkubwa wa kuhama kwa Mchezaji huyo kitu ambacho kilipingwa vikali na Ferguson.
Na sasa Charlton amesema: “Hamna njia ataruhusiwa kuhama kwa vile hivyo sivyo Sir Alex Ferguson anavyofanya kazi! Rooney ni Mfungaji Mabao wetu muhimu!”
Toka ahamie Old Trafford Mwaka 2009, Rooney ameshafunga Bao 167 katika Mechi 344 za Man United na kufunga Bao 33 katika Mechi 79 kwa England.
Lakini tangu Robin van Persie atue Old Trafford baada kunuliwa kwa Pauni Milioni 24 Agosti Mwaka jana kutoka Arsenal huku Straika huyo akipachika Bao 19 za BPL, nyota ya Rooney, aliefunga Bao 12 za Ligi, imefifia kidogo.
Hata hivyo, Charlton anategemea Rooney atang’ara tena kwani huwa anamudu changamoto.
Charlton amenena: “Sidhani kama changamoto hii ya Van Persie ni tatizo kwa Rooney. Ataibuka upya!”