Thursday, January 17, 2013

OKWI KUWAAGA MASHABIKI WAKE JAN 26 DHIDI YA AFRICAN LYON MECHI YA KIRAFIKI


KLABU ya Simba imesema mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi atawaaga mashabiki wa klabu hiyo katika mchezo wa kirafiki dhidi ya African Lyon utakaofanyika Januari 26, mwaka huu.

Katibu Mkuu wa Simba, Evodius Mtawala alisema mjini Dar es Salaam jana kuwa, Okwi ameamua kuwaaga mashabiki wa timu hiyo kutokana na kumpa ushirikiano mkubwa.

Hata hivyo, Mtawala alisema watalazimika kuomba ruhusa ya kumtumia mchezaji huyo kutoka katika klabu yake ya sasa ya Etoile Du Sahel ya Tunisia.

Simba imemuuza Okwi kwa Etoile Du Sahel kwa kitita cha dola 300,000 za Marekani (sawa na sh. milioni 480,000) baada ya kufuzu majaribio aliyofanyiwa.

Kwa mujibu wa Mtawala, kikosi cha Simba, ambacho kwa sasa kipo kambini nchini Oman, kinatarajiwa kurejea nchini Januari 23 mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya hatua ya pili ya ligi kuu ya Tanzania Bara.

Okwi ametia saini mkataba wa kuichezea Etoile Du Sahel kwa miaka miwili, ambapo atakuwa akilipwa mshahara wa dola 200,000 kwa mwaka. Pia amepewa nyumba ya kuishi na gari.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uganda, alijiunga na Simba miaka mitatu iliyopita akitokea SC Villa ya Uganda na kuiwezesha kufanya vizuri katika michuano ya ligi na kimataifa.

Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hanspope amesema hawana haraka ya kutafuta mchezaji wa kuziba nafasi ya Okwi.

Hanspope alisema jana kuwa, watalazimika kufanyakazi hiyo kwa umakini mkubwa ili waweze kumpata mchezaji mwenye kiwango kinachoshabihiana na Okwi.

Okwi amekuwa mchezaji wa tatu wa Simba kuuzwa nje kwa bei mbaya. Awali, Simba iliwauza mshambuliaji Mbwana Samatta na kiungo Patrick Ochan wa Uganda kwa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa kitita cha dola 200,000.

TUJIKUMBUSHE KWA MNYAMA HUYU AMBAYE YUPO SOUTH AFRIKA KWA SASA EBU CHEKI MABAO YAKE NA KAMA UNAMKUBALI LIKE KAMA HUMKUBALI COMMENT

BAADA YA KUBADILISHWA NAMBA NA KUCHEZA KAMA SENTEFOWARD SASA WENGER ASEMA NI ASILIMIA 99% WALCOT ATASAINI MKATABA MPYA KUITUMIKIA THE GUNNERS


Theo Walcott

Kocha wa Arsenal Raia wa ufaransa  Arsene Wenger amesema  "99%" anauhakika kuwa mshambuliaji wake  Theo Walcott atasaini kandarasi mpya klabuni hapo mwishoni mwa juma hili ambapo mambo yatakuwa yamekamilika Walcot  23, ambaye yupo katika miezi sita ya mwisho klabuni  hapo na anao uwezo wa kuondoka wakati wa kiangazi.
Laki ni wenger amesema kuwa kwa sasa ana asilimia 99 za kumbakisha mchezaji huyo .
"sikuwa na furaha pale niliposkia angeondoka "
"Imetuchukua muda kufika  hapa tulipotaka bado hatujalimaliza lakini itakuwa tayarai ndani ya juma hili" .
Walcott ndio mfungaji anaeongoza kwa arsenal akiwa amefunga magoli  14 .
Mchezaji huyo alikataa kandarasi ambayo angepewa ujira wa pauni  £75,000 lakini yeye alitaka kulipwa pauni laki moja kwa juma
Wenger bado anahusishwa  na kutaka kumsajiri winga wa  Crystal Palace  Wilfried Zaha, Mchezaji huyo Mwenye miaka 20 Aidha  mfaransa huyo amethibitisha kutaka kumsajiri mchezaji  , Taarifa zinasema kuwa Arsenal wako mbioni kumsajiri  mshambulijai wa Napoli mwenye miaka  25-Kutoka Uruguay   Edinson Cavani. 
huku akisema bei inaweza kupanda na ni jambo la kawaida  lakini inaweza kupungua siku za mwisho au saaa kdhaa kabla dirisha kufungwa 
 
 

BAADA YA CHELSEA,MAN U ,MAN CITY KUMFUKUZIA KOCHA WA MAFANIKIO PEP GUARDIOLA JANA WALIPOKONYWA TONGE MDOMONI NA BAYERN MUNICH KW AMIAKA 3

PEP_GUARDIOLA>>ASAINI MIAKA 3 KUANZIA JUNI 2013!!
VIGOGO wa Ujerumani, Bayern Munich, wamethibitisha kuwa Kocha wa zamani wa Barcelona Pep Guardiola ndie atakuwa Meneja wao mpya kuanzia mwishoni mwa Msimu huu.
Guardiola, Miaka 41, amesaini Mkataba wa Miaka mitatu kuanzia Juni 2013.BAYERN_MUNICH_LOGO

WASIFU wa PEP GUARDIOLA:
KUZALIWA: 18 Januari 1971 Santpedor, Spain
KLABU ALIZOCHEZEA [Kiungo Mkabaji]:
-1983–1990 Timu ya Vijana Barcelona
-1990–1992 Barcelona B Mechi 59 Goli 5
-1990–2001 Barcelona Mechi 263 Goli 6
-2001–2002 Brescia Mechi 11 Goli 2
-2002–2003 AS Roma Mechi 4
-2003 Brescia Mechi 13 Goli 1
-2003–2005 Al-Ahli [Qatar] Mechi 18 Goli2
-2005–2006 Dorados [Mexico] Mechi 10 Goli 1
TIMU ya TAIFA:
-1991 Spain U21 Mechi 2
-1991–1992 Spain U23 Mechi 12 Goli 2
-1992–2001 Spain Mechi 47 Goli 5
-1995–2005 Catalonia Mechi 7
UMENEJA:
-2007–2008 Barcelona B
-2008–2012 Barcelona
-2013– Bayern Munich

Guardiola atachukua nafasi ya Kocha wa sasa Jupp Heynckes ambae atastaafu mwishoni mwa Msimu huu.
Kocha huyo kutoka Spain, aling’atuka mwenyewe kwa hiari yake Mei 2012 baada ya kuiongoza Barcelona tangu 2008 na kutwaa Mataji 14 yakiwemo mawili ya Ubingwa wa Ulaya.
Mtendaji Mkuu wa Bayern Munich Karl-Heinz Rummenigge amesema: "Pep Guardiola ni mmoja wa Makocha wenye mafanikio makubwa Duniani na tuna hakika si ataifanya Bayern peke yake ing’are lakini Soka lote la Germany!

MAKOMBE ULAYA COPA del REY: Barca 2 Malaga 2, COPPA ITALIA: Fiorentina 0 AS Roma 1!

BARCA_v_REAL>>COPPA ITALIA-NUSU FAINALI: JUVE v LAZIO, INTER v AS ROMA!!
Barcelona, wakiwa kwao Nou Camp, wametoka sare ya 2-2 na Malaga katika Mechi ya kwanza ya Robo Fainali ya COPA del REY walipomruhusu Ignacia Camacho kusawazisha Bao katika Dakika ya 90.
Katika Mechi nyingine ya Robo Fainali, Real Zargoza na Sevilla zilitoka 0-0.
Malaga ndio walitangulia kufunga katika Dakika ya 26 kwa Bao la Manuel Iturra na Barca kujibu haraka kwa Bao za Lionel Messi Dakika ya 29 na Carles Puyol Dakika ya 30 lakini Malaga, licha ya kucheza Mtu 10 kuanzia Dakika ya 75 baada ya Nacho Eraso kupewa Kadi Nyekundu, walisawazisha Dakika ya 90 kwa Bao la Ignacia Camacho.

COPA del REY
ROBO FAINALI
MATOKEO/RATIBA
Jumanne Januari 15
Real Madrid CF 2 Valencia 0
Jumatano Januari 16
Real Zaragoza 0 Sevilla 0
Barcelona 2 Malaga 2
Ijumaa Januari 18
[SAA 6 Usiku]
Atletico Madrid v Real Betis
Jumatano Januari 23
MARUDIANO
Sevilla FC v Real Zaragoza
Valencia v Real Madrid CF
Malaga v Barcelona
Real Betis v Atletico Madrid

COPPA ITALIA: Fiorentina 0 AS Roma 1
Bao la Dakika ya 97 la Mattia Destro, kufuatia sare ya 0-0 katika 90, limewapa AS Roma ushindi wa Bao 1-0 dhidi ya Fiorentina na kutinga Nusu Fainali ya COPPA ITALIA ambapo watachuana na Inter Milan.
Nusu Fainali nyingine ni kati ya Mabingwa wa Italy Juventus na Lazio.

COPPA ITALIA
NUSU FAINALI:
Jumanne Januari 22
SS Lazio v Juventus
Inter Milan v AS Roma
Jumanne Januari 29
Juventus v SS Lazio
AS Roma v Inter Milan

MVUA KUBWA ILIYONYESHA NA KUSABABISHA MAFURIKO YASIMAMISHA MBIO ZA DAKAR.


MAFURIKO yamesababisha mashindano ya Dakar rally kusimamishwa jana lakini ufupi wa mbio hizo za hatua ya 11 bado umemuacha dereva Stephane Peterhansel kuendelea kuongoza zikiwa zimebakia siku tatu kufikia tamati ya mashindano hayo. Mito miwili iliyofurika iliwalazimu waandaaji wa mashindano hayo kusimamisha magari baada ya kilometa 53 katika kilometa 219 zilizokuwa zimepangwa katika hatua hiyo. Peterhansel ambaye alimaliza mbio hizo fupi akiwa katika nafasi ya sita alipewa dakika 52 zaidi ya Giniel de Villiers na kukaribia kunyakuwa taji lake la 11 la michuano hiyo inayofanyika Amerika Kusini. Kwa upande wa mbio za pikipiki nao walimaliza hatua hiyo fupi kabla ya mvua haijaanza kunyesha huku bingwa mtetezi Cyril Depres wa Ufaransa akijiweka katika nafasi nzuri ya kutetea ubingwa wake mbele ya Ruben Faria wa Ureno.

HATIMAYE MAMBO YAMEKWIVA LIGI KUU TANZANIA BARA SASA KITUO BORA CHA TELEVISION AFRIKA SUPERSPORT TV KURUSHA LIVE MZUNGUKO WA PILI LIGI KUU BARA SUPERSPORT TV KURUSHA LIVE MZUNGUKO WA PILI LIGI KUU BARA .



MZUNGUKO wa pili ya Ligi Kuu ya Vodacom utaanza Januari 26 mwaka huu huku kukiwa na maombi ya televisheni ya SuperSport kuonyesha mechi za Super Week kama ilivyokuwa katika mzunguko wa kwanza.
Raundi tano za awali katika ratiba ya mzunguko wa pili zinabaki kama zilivyo wakati nyingine zilizobaki zitatolewa baada ya kuingiza mechi za Super Week.

Wakati huo huo, mzunguko wa pili wa Ligi Daraja la Kwanza unatarajia kuanza Januari 26 mwaka huu. Ratiba ya ligi hiyo na tarehe rasmi ya kuanza itatangazwa baada ya kupitiwa na Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inayotarajiwa kukutana mwishoni mwa wiki.

MPAKA SASA WAGOMBEA 36 WACHUKUA FOMU ZA UONGOZI WA TFF KATIKA UCHAGUZI MKUU NA 18 WARUDISHWA FOMU TFF



WAKATI kesho ndiyo mwisho wa kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uongozi kwenye uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPL Board) waombaji 36 wameshachukua na 18 tayari wamesharejesha.
Idadi hiyo ni kufikia leo mchana (Januari 17 mwaka huu). Pia Kamati ya Uchaguzi ya TFF inasisitiza kuwa wanaorejesha fomu hizo kwa email wanatakiwa kuzituma kwa Katibu Mkuu wa TFF kwa email ya tfftz@yahoo.com na si kwa email binafsi za wajumbe wa Kamati ya Uchaguzi au maofisa wa TFF.
Waombaji wanne walioongezeka katika orodha ni Blassy Kiondo kwa Kanda ya Katavi na Rukwa, Eliud Mvella (Mbeya na Iringa), Geofrey Nyange (Morogoro na Pwani), na Omari Abdulkadir kwa Kanda ya Dar es Salaam.
Orodha kamili ya waombaji ni Athuman Nyamlani, Jamal Malinzi na Omari Mussa Nkwarulo (urais) wakati waombaji wa umakamu wa rais mpaka sasa ni Michael Wambura, Ramadhan Nassib na Wallace Karia.
Kwa upande wa wajumbe wa Kamati ya Utendaji na kanda zao kwenye mabano ni Salum Chama (Kagera na Geita), Mugisha Galibona, Samuel Nyalla, Titus Osoro na Vedastus Lufano (Mara na Mwanza).
Epaphra Swai na Mbasha Matutu (Shinyanga na Simiyu), Charles Mugondo na Elly Mbise (Arusha na Manyara), Yusuph Kitumbo (Kigoma na Tabora), Ayubu Nyaulingo, Blassy Kiondo, Nazarius Kilungeja na Selemani Kameya (Katavi na Rukwa) na James Mhagama (Njombe na Ruvuma).
Athuman Kambi na Zafarani Damoder (Lindi na Mtwara), Hussein Mwamba na Stewart Masima (Dodoma na Singida), Farid Nahdi, Geofrey Nyange na Twahili Njoki (Morogoro na Pwani), Elias Mwanjala na Eliud Mvella (Iringa na Mbeya), Khalid Mohamed (Kilimanjaro na Tanga) na Muhsin Balhabou, Omari Abdulkadir na Shaffih Dauda (Dar es Salaam).
Kwa upande wa Bodi ya Ligi Kuu (TPL Board) waliochukua fomu mpaka sasa ni wawili tu. Yusuf Manji amechukua fomu ya uenyekiti wakati Said Mohamed amechukua fomu ya kuwania umakamu mwenyekiti

MSHAMBULIAJI WA TAIFA W AUGANDA THE CRAINES NA YANGA HAMISI KIIZA HATARINI KUWAKOSA BLACK LEOPARD KESHOKUTWA


Kiiza
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda, Hamisi Kiiza na beki mzalendo, Juma Abdul wako hatarini kuukosa mchezo wa keshokutwa wa kirafiki wa timu yao, dhidi ya timu ‘tishio’ kutoka Afrika Kusini, Black Leopard kutokana na kuwa wagonjwa.
Wawili hao wanasumbuliwa na Malaria na leo wameshindwa kufanya mazoezi na wenzao kujiandaa na mchezo huo unaotarajiwa kuwa ‘mkali na wa kusisimua’.
Mabingwa hao wa soka Afrika Mashariki na Kati, Yanga SC ya Dar es Salaam Jumamosi hii watashuka kwenye Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam kumenyana na Black Leopard ya Polokwane, Limpopo nchini Afrika Kusini.
Yanga ilikuwa Uturuki kwa wiki mbili kwa kambi ya mazoezi na ilirejea Jumapili Alfajiri nchini. Katika ziara yake hiyo, ilicheza mechi tatu za kujipima nguvu na kufungwa mbili na kutoka sare moja.
Katika mchezo wake wa kwanza, ilitoka sare ya 1-1 Ariminia Bielefeld ya Daraja la Tatu (sawa na la nne) Ujerumani kabla ya kufungwa 2-1 na Denizlispor FC ya Daraja la Kwanza Uturuki na baadaye 2-0 na Emmen FC ya Ligi Daraja la Kwanza Uholanzi.
Yanga iliweka kambi katika hoteli ya Fame Residence Lara & Spa kilomita chahce kutoka katika Uwanja wa Ndege wa Jiji la Antalya, iliyopo ufukweni mwa bahari ya Mediteranian.
Kikosi cha wachezaji 27 kilikuwa kambini nchini Uturuki, ambacho ni makipa; Ally Mustafa 'Barthez', Said Mohamed na Yussuf Abdul, mabeki Juma Abdul, Shadrack Nsajigwa, Godfrey Taita, Stefano Mwasyika, Oscar Joshua, Mbuyu Twite, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Ladisalus Mbogo na Kelvin Yondani.
Viungo ni Athumani Iddi ‘Chuji’, Frank Domayo, Haruna Niyonzima, Kabange Twite, Nurdin Bakari, Omega Seme, Simon Msuva, Rehani Kibingu, Nizar Khalfani na David Luhende wakati washambuliaji ni Didier Kavumbagu, Said Bahanunzi, Jerry Tegete, George Banda na Hamisi Kiiza na Kocha Mkuu Mholanzi, Ernie Brandts, Kocha Msaidizi, Freddy Felix Minziro na Kocha wa makipa na Razak Ssiwa.
Hiyo inakuwa mara ya tatu kihistoria Yanga kufanya ziara nje ya Afrika baada ya Brazil mwaka 1975 na Romania mwaka 1978. Yanga pia imewahi kuweka kambi Afrika Kusini mwaka 2008.
Leopards ilirejea Ligi Kuu ya Afrika Kusini mwaka juzi tangu ishuke 2008 na msimu uliopita iliponea chupuchupu kushuka tena, baada ya kushika nafasi ya 14 katika Ligi ya timu 16, na kwa msimu huu hadi sasa ipo nafasi ya 12.
Katika mechi 15 zilizopita za klabu ya Black Leopard, imemudu kushinda mechi mbili tu, nyingine zote imefungwa na kutoka sare.

VIBONDE WA SAUZI LEOPARD WAJA BONGO KUWAKABILI YANGA NA KATIKA MECHI 15 TANGU MWAKA JANA, BLACK LEOPARD IMESHINDA MBILI TU



KESHOKUTWA Yanga itacheza mchezo wa kwanza wa kujipima nguvu tangu ierejee kutoka Uturuki ilipoweka kambi ya gharama kubwa ya mafunzo na Black Leopard ya Afrika Kusini kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katika mechi 15 zilizopita za klabu ya Black Leopard ya Afrika Kusini, imemudu kushinda mechi mbili tu, nyingine zote imefungwa na kutoka sare. Tafakari hii timu ni kibonde kiasi gani? Tazama mechi zake tangu Septemba 2, mwaka jana. Je, hiki ni kipimo kwa Yanga iliyotoka Ulaya kweli?
REKODI YA BLACK LEOPARD TANGU SEPTEMBA
Sept 2/2012    PSL  
Black Leopards 0 – 0 Chippa United
Sept 19/2012  PSL  
Kaizer Chiefs 2 – 1 Black Leopards
Sept 25/2012  PSL  
Black Leopards 2 – 2 Maritzburg United
Sept 29/2012  PSL  
Golden Arrows 0 – 0 Black Leopards
Okt 7/10/12    PSL  
Black Leopards 3 – 3 SuperSport United
Okt 20/2012 LEC
Black Leopards 0 – 2 Orlando Pirates
Okt 27/2012    PSL  
Moroka Swallows 2 – 2 Black Leopards
Nov 7/2012 PSL  
Black Leopards 0 – 1 Platinum Stars
Nov 11/2012   PSL  
Ajax Cape Town  0 – 1 Black Leopards
Nov 21/2012   PSL  
Black Leopards 0 – 4 Orlando Pirates
Nov 24/2012   PSL  
Pretoria Unive…1 – 2 Black Leopards
Des 5/2012 PSL  
Black Leopards 1 – 1 AmaZulu    View
Des 9/2012 PSL  
Mamelodi Sundowns  1 – 0 Black Leopards
Des 15/2012    PSL  
Black Leopards 1 – 2 Free State Stars
Des  19/2012   PSL  
Bloemfontein C 1 – 1 Black Leopards

MKALI WA MABAO WA AZAM BOCCO, NA KIPRE TCHETCHE WAACHWA SAFARI YA KENYA AZAM


Azam FC
WASHAMBULIAJI wa Azam FC ya Dar es Salaam, John Raphael Bocco ‘Adebayor’ na Kipre Herman Tchetche, wameachwa katika safari ya klabu yao hiyo nchini Kenya kutokana na kuwa bado majeruhi.
Azam imeondoka leo Alfajiri kwenda Kenya kwa ziara ya wiki moja ya kucheza mechi za kujipima nguvu kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara pamoja na michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Katibu wa Azam FC, Nassor Idrisa amesema  kwamba wachezaji wote wa klabu wameondoka na timu kasoro wawili hao ambao wataendelea kusikilizia hali zao na watajiunga na timu ikirejea safari hiyo.
Ikiwa Nairobi katika ziara hiyo, mabingwa hao wa Kombe la Mapinduzi watacheza mechi tatu za kujipima nguvu dhidi ya timu za Sofapaka, AFC Leopards na Gor Mahia kabla ya kurejea nchini Januari 23.
Nassor alisema ziara hiyo ni maalum kwa ajili ya kuiweka sawa timu yao kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Bara na Kombe la Shirikisho Afrika.
Nassor amesema anaamini timu za Kenya ni nzuri na zitawapa changamoto nzuri kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu na kuingia kwenye Kombe la Shirikisho.
“Tumekuwa katika programu ndefu ya maandalizi tangu Desemba, tukianzia Kongo (DRC) ambako tulicheza mashindano na kuchukua Kombe, tumetoka tumeingia kwenye Kombe la Mapinduzi tumeshiriki na kuchukua Kombe, na sasa tunakwenda Kenya,”alisema Nassor.
Jumamosi iliyopita Azam ilitetea Kombe lake la Mapinduzi, baada ya kuichapa mabao 2-1 Tusker ya Kenya katika fainali kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Awali ya hapo, Desemba mwaka jana Azam ilitwaa Kombe la Hisani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

NDOGO ANAYETARAJIA KUPEWA BANDEJI YA UNAHODHA WA GUNNERS WILSHERE AIPA USHINDI ARSENAL FA CUP


When it seemed Arsenal could be heading for another Cup embarrassment, up stepped Jack Wilshere to save the day. 
A fourth-round FA Cup tie at Brighton may seem scant reward for 86 minutes of toil and increasing frustration at the Emirates, but how Arsenal needed this precious win. 
After Sunday's defeat by Manchester City and their Capital One Cup exit at Bradford, English football's oldest domestic knockout competition provided Arsenal with a victory their performance merited. 
Scroll down to watch match highlights
Match winner: Wilshere's goal secured Arsenal's passage into the fourth round
Match winner: Wilshere's goal secured Arsenal's passage into the fourth round

Match facts

Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Vermaelen, Gibbs, Diaby (Ramsey 82), Coquelin, Walcott, Wilshere, Cazorla, Giroud.
Subs not used: Mannone, Podolski, Andre Santos, Oxlade-Chamberlain, Arshavin, Jenkinson.
Goal: Wilshere 86.
Swansea: Vorm, Bartley, Richards, Chico, Tiendalli,Agustien (Pablo 59) , Britton, Routledge, De Guzman(Ki Sung-Yeung 60) , Dyer, Graham (Michu 71) .
Subs not used: Tremmel, Hernandez, Monk, Shechter, Davies.
Referee: Mark Clattenburg (Tyne & Wear)
Attendance: 58,359
They huffed, puffed and wasted chance after chance but, eventually, it was an Englishman who blew the house down. 
Wilshere was sensational. Arsenal's No 10 played as a No 10, pushed forward behind Olivier Giroud with Francis Coquelin and Abou Diaby left to anchor the midfield in the absence of Mikel Arteta, who will miss at least three weeks with a calf strain. 
Wilshere seemed to thrive in the role and enjoy the responsibility, surging forward with his low centre of gravity allowing him to cut through Swansea with an effortless balance of style and power. 
He ran the show, capping a superb performance with the winning goal when he drove the ball past Michel Vorm after a pass from Giroud. 
Sometimes it is difficult to believe this is a player who spent 15 months on the sidelines with a potentially career-threatening stress fracture; still a relative newcomer who only turned 21 on New Year's Day. It was starting to look like another one of those nights for Arsenal. 
Take Jack: Wilshere thrashes home the winner to seal a fourth round clash with Brighton
Take Jack: Wilshere thrashes home the winner to seal a fourth round clash with Brighton
Take Jack: Wilshere thrashes home the winner to seal a fourth round clash with Brighton
Swansea goalkeeper Vorm seemed unbeatable and Arsene Wenger's side were horribly wasteful; missing a string of chances despite dominating the second half. 
Theo Walcott was back on the right wing and promptly saw the man Wenger played through the middle, Giroud, miss two excellent chances inside the first 10 minutes. 
The Frenchman failed to hit the target with a header and then a snatched right-foot shot, prompting a rueful look from the England international.
It was, unfortunately, not the first frustration of an exasperating night for the pair. While Giroud and Walcott, in particular, deserve praise for the chances they created, their finishing was appalling at times. 
For all his improvement; for all the wonderful goals this season, Walcott still looks fallible when he has time to think about shooting. 
The 23- year-old was desperately unlucky to see a header hit the post with eight minutes remaining and forced Danny Graham to chest the ball off the line, but he did not force Vorm to make any spectacular saves. 
Frustration: Arsenal had a number great chances, but failed to score them
Frustration: Arsenal had a number great chances, but failed to score them
Frustration: Arsenal had a number great chances, but failed to score them
He sprinted on to a beautiful ball from Diaby in the second half and then held off Chico Flores only to clip his right-foot shot beyond the far post. 
Later he collected the ball on the left, took it inside on to his right foot and then tried to angle a shot into the far corner. It missed - not by a whisker, either - and only added to the nervousness of the crowd and their team. 
The relatively sparse crowd were tetchy throughout. Many season ticket-holders had stayed away, upset at the Category B prices for what is a Category C fixture when these sides meet in the Barclays Premier League.
The official number of 'tickets sold' was 58,359, but the empty red seats told the real story. The open nature of this game did little to ease t h e h ome fans' anxiety. 
Nathan Dyer was denied only by a Thomas Vermaelen block and former Gunner Kyle Bartley headed against the bar from six yards. 
Michu, so impressive in Swansea's 2-0 league win at the Emirates in December, was only a substitute as Michael Laudrup freshened up a team playing their fifth game of 2013. 
Rearguard action: Swansea defended stoically, but were finally broken down
Rearguard action: Swansea defended stoically, but were finally broken down
Rearguard action: Swansea defended stoically, but were finally broken down
But, such is the strength of the striker's reputation, he was booed by the home fans when he replaced Graham with 19 minutes to go. 
Arsenal, though, should have had victory sealed by then. With the Premier League visit of Stoke and the second leg of their Carling Cup semi-final against Chelsea to come in the next week, the Swansea manager rested regulars such as Angel Rangel and Ashley Williams, but the Welsh side still competed with Arsenal, for the first 60 minutes at least. 
Put it there: Wilshere was mobbed by his relieved team-mates after scoring the winner
Put it there: Wilshere was mobbed by his relieved team-mates after scoring the winner
Put it there: Wilshere was mobbed by his relieved team-mates after scoring the winner
Santi Cazorla was not at his most effective on the left, but Arsenal still created plenty of first-half opportunities. 
Diaby and Walcott both had shots blocked and Vorm saved smartly from Coquelin and then Vermaelen just before half-time. 
Walcott, Cazorla and Giroud all fired wide just after the re-start before Graham and Leon Britton cleared shots off the line. Extra time was looming until Wilshere took matters into his own hands.
'I don't think I will hit another one like that in my life,' he said. You get the feeling he just might.
New balls please: It appears the two teams used one of Swansea's footballs in the first half New balls please: It appears the two teams used one of Swansea's footballs in the first hal

ROONEY ATOKA KATIKA MAJERUHI NA KUING'ARISHA MAN UNITED KOMBE LA FA



When Robin van Persie moved on to Ryan Giggs's remarkable pass to score United's second and equalising goal at Upton Park 12 days ago, one always felt that it would prove to be the decisive strike not just of the day but of the tie as a whole. 
United, after all, are usually pretty ruthless when afforded a second chance. 
That feeling proved prophetic as United did what they usually do in FA Cup ties at Old Trafford. 
Scroll down to watch video highlights
Goalscoring return: Wayne Rooney slid Javier Hernandez's cross into the net early on
Goalscoring return: Wayne Rooney slid Javier Hernandez's cross into the net early on
Salute: Rooney pointed to the heavens after opening the scoring for United
Salute: Rooney pointed to the heavens after opening the scoring for United

MATCH FACTS

Manchester United: Lindegaard, Rafael, Jones, Smalling, Buttner, Valencia, Anderson (Carrick 67), Giggs, Nani (Scholes 77), Rooney, Hernandez
Subs not used: Amos, Ferdinand, Kagawa, Welbeck, Van Persie
Booked: Scholes
Goal: Rooney 9
West Ham: Jaaskelainen, Reid, Tomkins, Spence, Potts, Taylor, Diame (Collison 65), Diarra, O'Neil, Cole (Nolan 65), Vaz Te (Lee 78)
Subs not used: Spiegel, Demel, Jarvis, Lletget
Booked: Nolan, Spence
Referee: Phil Dowd
Attendance: 71,081
This, though, proved to be another one of those peculiar United performances to which we are becoming accustomed. 
As the rather unfairly lampooned former England coach Sven Goran Eriksson once said: 'First half good, second half not so good.' 
Leading at half-time through a ninth-minute Wayne Rooney goal, Sir Alex Ferguson's side had not looked remotely troubled.
In truth, they should have been two or three ahead against a West Ham team missing a clutch of the players who had made life so difficult for United when drawing the original tie 2-2 in east London. 
These days, though, United do not always kick on when we most expect them to and so it proved here. 
West Ham not only had chances to equalise at a rather underwhelmed Old Trafford but they were also given a late stab at salvation when Rooney took one of the worst penalties of his life. And by his recent standards, that is saying something.
Shocker: Rooney sent a penalty way over the bar which would have doubled the hosts' lead
Shocker: Rooney sent a penalty way over the bar which would have doubled the hosts' lead
Don't worry, Wayne: Rooney's miss counted for little at the final whistle
Don't worry, Wayne: Rooney's miss counted for little at the final whistle
Rooney has now missed five of his last nine spot-kicks. This one, awarded with 11 minutes left after the terrific Giggs induced a dubious handball from West Ham defender Jordan Spence, cleared the crossbar by a yard at least. 
The look on Ferguson's face as he turned away on the touchline was enough to suggest it may be a while before Rooney takes another one. 
Ferguson said: 'I don't think it's just one of those things. We have to improve on that. If you get a penalty, you have to make it count.' 
Ultimately it didn't matter that much. United are in the fourth round, where they will face Fulham at home. 
That was probably just as well for the staff on United's website who were advertising tickets for the game as early as yesterday afternoon.
At least they were until someone perhaps realised it was a little presumptuous and took the offending webpage down.
Scramble: Jordan Spence (left) gets a hold of Hernandez's shirt
Scramble: Jordan Spence (left) gets a hold of Hernandez's shirt
Afterwards, West Ham manager Sam Allardyce chose to unload a little frustration at referee Phil Dowd, suggesting that a handball by United defender Rafael early in the second half was more clear-cut than that given against his own player Spence. 
Perhaps Allardyce had a point, too. Perhaps he was also a little disappointed that his team didn't make enough of opportunities that came their way in the final half-hour. Had they done so, United couldn't have complained. 
Despite making a number of changes themselves, United were so superior in the first half that they should really have been able to stroll through the second period. 
Given the way the first game had ended, it was inevitable that United should begin with the momentum and a goal in only the ninth minute certainly helped. 
Some goal it was, too, as a duo of United's returning players took decisive roles in its creation and execution. 
The Brazilian midfielder Anderson - something of an enigma over half a decade at United - had not played since December 1 due to hamstring trouble. 
Bundled over: Alou Diarra knocks Hernandez to the floor
Bundled over: Alou Diarra knocks Hernandez to the floor
Back in the mix: Anders Lindegaard replaced David de Gea in goals for United
But he was quickly into his stride, playing a perfect, 40-yard pass inside a defender to release Javier Hernandez down the left-hand side. 
Hernandez's ability to find his way into an offside position from just about anywhere on the field is becoming rather legendary at United.
Suffice to say, the Mexican's inclination to time his runs lacks something of the clinical precision of his actual finishing. 
On this occasion, though, Hernandez got things exactly right. And when his first touch enabled him to break clear, his pass inside to the right enabled Rooney to slide a comeback goal into the net from only six or seven yards. For Rooney it was something of a cathartic moment. 
Back in the mix: Anders Lindegaard replaced David de Gea in goals for United
Not only was it his first goal for more than a month, it also gave him the opportunity to mark the passing of his wife Coleen's sister Rosie. 
As has become the norm these days, Rooney raised his hands and face to the sky as he returned to the centre circle for kick-off. United, for the next half an hour, were controlled and authoritative rather than looking immensely impressive.
Twice around the half-hour mark they came close to extending their lead, however. First Nani's thunderous low shot from the right was cleared athletically off the line by young Daniel Potts.
United defender Chris Smalling was then given the chance to head the resulting cross past Jussi Jaaskelainen, only to direct the ball st raight at the West Ham goalkeeper. Hernandez wasted a great chance at the start of the second half, slashing the ball over after Alou Diarra slipped. 
Battle: Phil Jones (right) competes against Matthew Taylor
Battle: Phil Jones (right) competes against Matthew Taylor
That miss, however, signalled a shift in the tide and from that point on West Ham were the better team. 
Three times their midfielder Matt Taylor had chances. One shot was cleared by Rafael when a pass was the better option, before two left-foot shots whistled over the bar. In those moments, West Ham's best chances of forcing extra time came and went. 
Ferguson seemed genuinely irritated at yet another penalty miss when he spoke afterwards. Who can blame him? Allardyce, for his part, can perhaps expect a letter from the FA.
Skipping away: Nani also earned himself a start for Ferguson
Skipping away: Nani also earned himself a start for Ferguson
Warm enough? Robin van Persie started the match on the bench for Sir Alex Ferguson
Warm enough? Robin van Persie started the match on the bench for Sir Alex Ferguson

KIPORO CHA CHELSEA CHA CHACHA KWA SOUTHAMPTON HIYO JANA BAADA YA KUTOKA SARE YA 2-2

 

When it comes to tips on dealing with rejection and unrequited love, throwing away a two-goal lead at home to Southampton is not up there. 
Although somehow it felt like nothing was ever going to be enough. Even when Chelsea led through first-half goals by Demba Ba and Eden Hazard, there was a feeling of unease inside Stamford Bridge.
It was Chelsea's smallest home crowd in the Barclays Premier League this season, in icy temperatures with minds distracted by Pep Guardiola's decision to snub the idea of a few months working for Roman Abramovich in favour of three years at Bayern Munich. 
Shock: Puncheon's sublime volley earned a point for Southampton after Chelsea led 2-0 at half-time
Shock: Puncheon's sublime volley earned a point for Southampton after Chelsea led 2-0 at half-time
Shock: Puncheon's sublime volley earned a point for Southampton after Chelsea led 2-0 at half-time

MATCH FACTS

Chelsea: Cech, Azpilicueta, Cahill, Luiz, Cole, Ramires, Lampard (Torres 79), Oscar, Mata, Hazard, Ba.
Subs not usedTurnbull, Ivanovic, Ferreira, Marin, Terry, Bertrand.
Goals: Ba 25, Hazard 45.
Booked: Luiz.
Southampton: Boruc, Clyne, Yoshida, Hooiveld, Shaw, Cork, Steven Davis (Chaplow 67), Schneiderlin, Puncheon, Do Prado (Ramirez 74), Rodriguez (Lambert 55).
Subs not used: Kelvin Davis, Fox, Ward-Prowse, Seaborne.
Goals: Lambert 58, Puncheon 75.
Referee: Michael Oliver (Northumberland).
Attendance: 38,484.
Pep, what attracted you to this impressive Bavarian club with a rich heritage, a vast fan base and a slick management structure packed with respected former players? You might ask. 
Apathy hung in the air. Chelsea supporters did not boo Rafa Benitez until the very end, although dissent began to stir when Frank Lampard was replaced by Fernando Torres after 79 minutes. 
When Rickie Lambert pulled a goal back within three minutes of coming off the bench in the second half, the natives became agitated and when Jason Puncheon fired a superb equaliser 15 minutes from time they were left uncomfortably numb.
It may have been the cold but it may have been chilling realisation that Roman Abramovich's project has lost direction and, after sacking club legend Roberto Di Matteo, they are not about to be pleasantly surprised by the arrival of the world's most in-demand coach. 
As they digested Guardiola's decision to choose Bayern from his wealth of options, Chelsea fans were left to contemplate this might mean an extended tenure for Benitez. 
Impact: Ba scored on his home debut to give Chelsea the lead
Impact: Ba scored on his home debut to give Chelsea the lead
Impact: Ba scored on his home debut to give Chelsea the lead
As if to remind Abramovich of their thoughts on this matter, they booed the team off the pitch and burst into a chorus of: 'F*** off, Benitez, we don't want you here'. 
It was only the third time in the Premier League era Chelsea have led by two at half-time and failed to win. 
The point leaves them 13 adrift of leaders Manchester United, six behind City in second. Benitez, who has enjoyed little comfort at Stamford Bridge from the moment he was jeered to his seat before his first match, said: 'We cannot be happy drawing at home.' 
Chelsea have won two of seven matches at home since Benitez took over from Di Matteo. In those two games they smashed 14 goals past Aston Villa and Nordsjaelland.
The atmosphere was flat from the start. It wasn't only Guardiola. There had been stories circulating that Lampard was stepping up his talks with Los Angeles Galaxy after accepting his destiny lies elsewhere after this season. 
Lampard, too, started like a man with his mind elsewhere. He was robbed deep in his own half by Jay Rodriguez but escaped as the Southampton striker hurried his shot and hooked it well wide. 
First choice? Ba celebrates his goal after starting ahead of Torres
First choice? Ba celebrates his goal after starting ahead of Torres
If the home crowd had one thing to cheer it was the decision by Benitez to start with Ba up front rather than Torres. 
The £7.5million signing from Newcastle provides an outlet like Didier Drogba used to and has started his Chelsea career with a flurry of goals. 
He scored twice at Southampton on his debut in the FA Cup this month and punished the same side when they failed to clear in the 25th minute. 
Lampard collected the ball on the right and eased a pass to Cesar Azpilicueta, who topped his cross but Oscar thrust his head down and helped it towards Ba, who adjusted his body and hooked a right-foot volley low into the net.
It was his third goal in three starts for his new club - it took Torres 25 games to reach three goals - and his 16th of the season. 
Lampard fired wide from the sort of chance he rarely misses and Artur Boruc denied Hazard with his fingertips before the visitors leaked a second goal. 
Control: Hazard doubled Chelsea's lead just before half-time
Control: Hazard doubled Chelsea's lead just before half-time
Chelsea's Eden Hazard celebrates his goal against Southampton
As with the first, it was a threat that ought to have been cleared but Nigel Adkins saw his defence dither and allow Chelsea to recycle the ball on their right. 
Ramires lashed a half-volley into the post and Hazard pounced on the rebound on the edge of the penalty area and made a difficult finish look incredibly easy, tucking the ball inside the post with his left foot. 
Adkins threw on Lambert for Rodriguez early in the second half and he struck quickly. 
Nathaniel Clyne muscled past Hazard on the wing and delivered a fine cross, Lambert eased away from Gary Cahill and beat Azpilicueta in the air, thumping his header into the top corner before Petr Cech could react. Southampton rode Chelsea's brief retaliation before Puncheon levelled. 
His goal started with a surging run by 17-year-old full back Luke Shaw. Gaston Ramirez was unable to control his low cross but it spilled to Puncheon, who applied a clinical finish. Southampton are improving and this was a good point in the fight against relegation. 
Hope: Lambert scored within three minutes of coming on to reduce Southampton's arrears to 2-1
Hope: Lambert scored within three minutes of coming on to reduce Southampton's arrears to 2-1
Poor: Chelsea squandered a 2-0 lead to Southampton
Torres for Lampard was not a popular move by Benitez and Lampard did not appear impressed as he ripped off his armband. 
The skipper had not played well but these fans trust him to find them a goal more than Torres. With good reason. 
Guests: New York Knicks basketball players were in the crowd ahead of their NBA match at the O2 Arena on Thursday
Guests: New York Knicks basketball players were in the crowd ahead of their NBA match at the O2 Arena on Thursday
One chance fell to Torres, sent on to play wide on the right, but he sliced it wide. When he over-hit a cross in added time, fans turned on him with a volley of abuse. Patience had worn out. No Pep and one point. 
Those still around at the final whistle turned on Benitez. Abramovich must know fans will not tolerate a permanent deal for the interim boss.
Angry: Chelsea fans booed when Benitez took Lampard off and brought Torres on
Angry: Chelsea fans booed when Benitez took Lampard off and brought Torres on
Angry: Chelsea fans booed when Benitez took Lampard off and brought Torres on
Chelsea's Fernando Torres