Thursday, January 17, 2013

VIBONDE WA SAUZI LEOPARD WAJA BONGO KUWAKABILI YANGA NA KATIKA MECHI 15 TANGU MWAKA JANA, BLACK LEOPARD IMESHINDA MBILI TU



KESHOKUTWA Yanga itacheza mchezo wa kwanza wa kujipima nguvu tangu ierejee kutoka Uturuki ilipoweka kambi ya gharama kubwa ya mafunzo na Black Leopard ya Afrika Kusini kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Katika mechi 15 zilizopita za klabu ya Black Leopard ya Afrika Kusini, imemudu kushinda mechi mbili tu, nyingine zote imefungwa na kutoka sare. Tafakari hii timu ni kibonde kiasi gani? Tazama mechi zake tangu Septemba 2, mwaka jana. Je, hiki ni kipimo kwa Yanga iliyotoka Ulaya kweli?
REKODI YA BLACK LEOPARD TANGU SEPTEMBA
Sept 2/2012    PSL  
Black Leopards 0 – 0 Chippa United
Sept 19/2012  PSL  
Kaizer Chiefs 2 – 1 Black Leopards
Sept 25/2012  PSL  
Black Leopards 2 – 2 Maritzburg United
Sept 29/2012  PSL  
Golden Arrows 0 – 0 Black Leopards
Okt 7/10/12    PSL  
Black Leopards 3 – 3 SuperSport United
Okt 20/2012 LEC
Black Leopards 0 – 2 Orlando Pirates
Okt 27/2012    PSL  
Moroka Swallows 2 – 2 Black Leopards
Nov 7/2012 PSL  
Black Leopards 0 – 1 Platinum Stars
Nov 11/2012   PSL  
Ajax Cape Town  0 – 1 Black Leopards
Nov 21/2012   PSL  
Black Leopards 0 – 4 Orlando Pirates
Nov 24/2012   PSL  
Pretoria Unive…1 – 2 Black Leopards
Des 5/2012 PSL  
Black Leopards 1 – 1 AmaZulu    View
Des 9/2012 PSL  
Mamelodi Sundowns  1 – 0 Black Leopards
Des 15/2012    PSL  
Black Leopards 1 – 2 Free State Stars
Des  19/2012   PSL  
Bloemfontein C 1 – 1 Black Leopards

No comments:

Post a Comment