

Akizungumza na TANOJUMAINSPORTS diwani wa Chama Cha Maendeleo CHADEMA wilayani humo ambaye hakutaka kuonesha itikadi ya vyama amesema ligi ndani ya wilaya ya igunga inaendelea vizuri na inatarajia kuendelea mpaka tarehe kumi ya mwezi w atatu mwaka huu ambapo bingwa atazawadiwa kitita cha shilingi millioni moja na mshindi wa pili atapatiwa ngombe mmoja na mshindi wa tatu atapatiwa jezi pair moja .
No comments:
Post a Comment