Saturday, January 5, 2013

LA LIGA & SERIE A KUANZA KURINDIMA WIKIENDI HII BAADA YA KUWA LIKIZONI KWA SIKUKUU YA XMASS NA NEW YEAR 2013!!

BARCA_v_REALBAADA ya kutoka Vakesheni ya Krismasi na Mwaka mpya, Ligi za Nchini Spain na Italy, LA LIGA na SERIE A, zinaingia kilingeni Wikiendi hii.
La Liga itaanza Mechi zake leo Ijumaa kwa Mechi moja ya Real Zaragoza v Real Betis na nyingine kuchezwa Jumamosi ambapo vinara FC Barcelona watakuwa nyumbani kucheza Dabi ya Jiji la Barcelona dhidi ya Espanyol, Mabingwa watetezi, walio nafasi ya 3 Real Madrid, kucheza pia nyumbani na Real Sociedad.
Huko Italy, Serie A itaanza kunguruma Jumamosi kwa Mechi mbili na Mabingwa, ambao pia ni vinara, Juventus, watacheza Jumapili na Sampdoria.
LA LIGA
MSIMAMO-Timu za Juu:
[Kila Timu imecheza Mechi 17]
1 Barcelona Pointi 49
2 Atletico Madrid 40
3 Real Madrid 33
4 Malaga 31
5 Real Betis 28
6 Levante 27
7 Real Sociedad 25
RATIBA:
Ijumaa Januari 5
Real Zaragoza v Real Betis
Jumapili Januari 6
FC Barcelona v RCD Espanyol
Celta de Vigo v Real Valladolid
Deportivo La Coruna v Malaga CF
Real Mallorca v Atletico de Madrid
Real Madrid CF v Real Sociedad
Sevilla FC v Osasuna
Levante v Athletic de Bilbao
Granada CF v Valencia
Jumatatu Januari 7
Rayo Vallecano v Getafe CF
SERIE A
MSIMAMO-Timu za Juu:
[Kila Timu imecheza Mechi 18]
1 Juventus Pointi 44
2 Lazio 36
3 Fiorentina 35
4 Inter Milan 35
5 Napoli 34
6 AS Roma 32
7 AC Milan 27
8 Parma 26
RATIBA:
Jumamosi Januari 5
Catania v Torino
Lazio v Cagliari
Jumapili Januari 6
AC Milan v Siena
Chievo Verona v Atalanta
Juventus v Sampdoria
Parma v Palermo
Udinese v Inter Milan
Napoli v AS Roma
Genoa v Bologna
Fiorentina v Pescara

No comments:

Post a Comment