Thursday, December 27, 2012

MAPINDUZI CUP :AL AHLY YAJITOA ,RAGE TUNAWACHEZAJI 36 ,YANGA HATUTASHIRIKI LABDA KIKOSI CHA PILI



Katika hari isiyotarajiwa klabu kubwa nchini simba na yanga zinaonekana kuitolea nje michuano ya mapinduzi cup inayotarajia kuanza mwezi january mwakani huku timu zote zikititoa sababu binafsi Mabingwa tanzania simba ambao wanasafari ya kwenda muscat Mwezi january wameshasema Kupitia Mwenyekiti wa klabu hiyo Ismail Aden Rage  kuwa timu yao ina wachezaji 36 hiii inamaana kuwa kuna uwezekano mkubwa wapereka kikosi cha pili.

huko zanzibari kwani wanasafari ya kwenda oman kujiandaa na mzunguko wa pili ligi ya primia Tanzania Bara 

Yanga kupitia katibu mkuu wake Mwalusako imesema haita shiriki huku sababu kubwa ikiwa kama ya simba kwenda uturuki kujiandaa na mzunguko wa pili wa ligi huku akisistiza kuwa labda wapereke kikosi cha pili

mwenyekiti wa kamati inayosimamia mashindano hayo said Khamis Abdallah amesema kuwa watatoa jibu kesho kama timu hizo zitashiriki au hazitoshiriki huku Tusker ya kenya ikisibithia kushiriki wakati Al ahly ya Masir imetangaza kujitoa kutokana na sababu sizizo weza kuzuirika  Timu pekee zilizo thibithisha kushiri kutoka bara ni Azam na coast union ambapo michuno hiyo inataraji  kuanza tarehe pili january  .

aidha michuano itachezwa unguja pekee tofauti na ilivyopangwa awali kuwa ingechezwa na pemba .

Mwaka yanga ilifukuzwa katika mashindano ya super8 kwa kupereka kikosi cha pili na kamati hiyo hiyo sababau kubwa ikiambiwa imedharau mashindano 

MAKUNDI:
KUNDI A:
Simba (Dar-es-Salaam),
Tusker (Kenya)
Bandari (Unguja)
Jamhuri (Pemba).
KUNDI B:
Azam FC (Dar-es-Salaam)
Mtibwa Sugar (Morogoro)
Coastal Union (Tanga)
Miembeni (Unguja).

No comments:

Post a Comment