Sunday, February 3, 2013

RONALDO AFUNGA, REAL YAFUNGWA!

 


>>LEO NI VALENCIA v BARCELONA, ATLETICO MADRID V REAL BETIS
>>LEO BUNDESLIGA MOTO: BAYER LEVERKUSEN v BORUSSIA DORTMUND!!
BORUSSIA_DORTMUND_JUKWAAREAL MADRID, Mabingwa watetezi wa La Liga, wameendelea kuzorota kwenye Ligi hiyo na ni wazi washautema Ubingwa wao baada ya jana kuchapwa Bao 1-0 ugenini na Granada na Bao hilo kufungwa na Staa wa Real, Cristiano Ronaldo.
Bao la Granada lilifungwa katika Dakika ya 23 kufuatia Kona ya Gabriel Torje na Ronaldo kujifunga mwenyewe katika harakati za kuokoa.
Kipigo hiki kimewaacha Real wabakie nafasi ya 3 wakiwa Pointi 4 nyuma ya Atletico Madrid walio nafasi ya pili na ambao wapo Pointi 11 nyuma ya Vinara Barcelona lakini zote, Barca na Atletico, zina Mechi moja mkononi ambazo watacheza leo.
RATIBA:
Jumapili Februari 3
Malaga v Real Zaragoza [Saa 8 Mchana]
Sevilla v Rayo Vallecano [Saa 1 Usiku]
Valencia v Barcelona [Saa 3 Usiku]
Atletico Madrid v Real Betis [Saa 5 Usiku]
Real Socieda v Real Mallorca [Saa 5 Usiku]
BUNDESLIGA
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Februari 2
Schalke 1 SpVgg Greuther Furth 2
VfL Wolfsburg 1 FC Augsburg 1
FSV Mainz 0 Bayern Munich 3
TSG Hoffenheim 2 SC Freiburg 1
Fortuna Dusseldorf 3 VfB Stuttgart 1
Hamburger SV 0 Eintracht Frankfurt 2
Jumapili Februari 3
FC Nuremberg v Borussia Mönchengladbach
Bayer 04 Leverkusen v BV Borussia Dortmund [Saa 1 na Nusu Usiku]
SERIE A
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Februari 2
Torino 0 Sampdoria 0
Napoli 2 Catania 0
Jumapili Februari 3
Chievo Verona v Juventus
Siena v Inter Milan
Pescara v Bologna
Palermo v Atalanta
Genoa v SS Lazio
Fiorentina v Parma
AC Milan v Udinese

No comments:

Post a Comment