>>LEO NI VALENCIA v BARCELONA, ATLETICO MADRID V REAL BETIS
>>LEO BUNDESLIGA MOTO: BAYER LEVERKUSEN v BORUSSIA DORTMUND!!

Bao la Granada lilifungwa katika Dakika
ya 23 kufuatia Kona ya Gabriel Torje na Ronaldo kujifunga mwenyewe
katika harakati za kuokoa.
Kipigo hiki kimewaacha Real wabakie
nafasi ya 3 wakiwa Pointi 4 nyuma ya Atletico Madrid walio nafasi ya
pili na ambao wapo Pointi 11 nyuma ya Vinara Barcelona lakini zote,
Barca na Atletico, zina Mechi moja mkononi ambazo watacheza leo.
RATIBA:
Jumapili Februari 3
Malaga v Real Zaragoza [Saa 8 Mchana]
Sevilla v Rayo Vallecano [Saa 1 Usiku]
Valencia v Barcelona [Saa 3 Usiku]
Atletico Madrid v Real Betis [Saa 5 Usiku]
Real Socieda v Real Mallorca [Saa 5 Usiku]
BUNDESLIGA
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Februari 2
Schalke 1 SpVgg Greuther Furth 2
VfL Wolfsburg 1 FC Augsburg 1
FSV Mainz 0 Bayern Munich 3
TSG Hoffenheim 2 SC Freiburg 1
Fortuna Dusseldorf 3 VfB Stuttgart 1
Hamburger SV 0 Eintracht Frankfurt 2
Jumapili Februari 3
FC Nuremberg v Borussia Mönchengladbach
Bayer 04 Leverkusen v BV Borussia Dortmund [Saa 1 na Nusu Usiku]
SERIE A
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Februari 2
Torino 0 Sampdoria 0
Napoli 2 Catania 0
Jumapili Februari 3
Chievo Verona v Juventus
Siena v Inter Milan
Pescara v Bologna
Palermo v Atalanta
Genoa v SS Lazio
Fiorentina v Parma
AC Milan v Udinese
No comments:
Post a Comment