Saturday, February 2, 2013

RHINO RANGERS WAANZA VYEMA DURU LA PILI LIGI DARAJA LA KWANZA FDL KWA KUWABAMIZA POLISI TABORA BAO 1-0 LA ABDALAH SIMBA




Timu ya wanajeshi ya mkoani tabora RHINO RANGERS imeanza vyema duru la pili la ligi daraja la kwnaza baada ya kuwafunga mahasimu wao wakubwa wa enzi za bibi na babu POLISI TABORA pia wa nkoani tabora bao 1-0 bao lililofungwa na mshambuliaji wao hatari ABDALAH SIMBA dakika ya 15 ya kipindi cha kwanza aliyeunganisha krosi maridadi kutoka kwa kiunga machachari salum majdi alimaarufu CHUJI.

Hadi dakika 90 za mchezo refarii Mbaraka Almasi kutoka mwanza timu ya rhino rangers bao 1-0 na polisi hawana kitu na kuendelea kujikita kileleni mwa ligi daraja la kwanza FDL kwa kufikisha pointi 20 mara baada ya kucheza michezo 8 ,wakifuatiwa na JKT Kanembwa ambao kesho watacheza na polisi dodoma kw apointi zao 16.
MATOKEO MENGINE KATIKA KUNDI C polisi mara vs pamba 2-1Mengine nitawatumia nikipata matokeo


No comments:

Post a Comment