Saturday, February 2, 2013

TIMU YA JESHI YA MKOANI TABORA RHINO RANGERS IMEANZA VYEMA DURU LA PILI LA LIGI DARAJA LA KWANZA KWA KUIFUNGA POLISI BAO 1-0 HII LEO


picha za leo katika uwanja wa ally hasaan mwinyi  balaaaaaa kw apikipikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

timu ya wanajeshi ya mkoani tabora iliyoanza leo katika picha ya pamoja

mgeni rasmi kutoka dodoma akisalimiana na marefarii wa leo


nahodha w atimu mwakitosi akimtambulisha mgeni rasm kwa wachezaji wa rhino hii leo-------

<<<<<<<<<<>>>>>>>>>PICHA ZINGINE BADAE NITAKULETEA NA MATOKEO MENGINE

No comments:

Post a Comment