Saturday, February 2, 2013

BPL: Chelsea hoi Newcastle, Ba ahofiwa kuvunjwa Pua!!


BPL_LOGO>>PODOLSKI AIPA USHINDI ARSENAL!!
Arsenal, wakicheza kwao Emirates, waliibuka Washindi lakini Chelsea waliocheza St James Park wakiwa na Straika wa zamani wa Newcastle, Demba Ba, akirudi hapo kwa mara ya kwanza tangu ahame hivi majuzi na kulazimika kutolewa baada ya kula Buti ya puani na Beki Fabricio Coloccini, walichapwa Bao 3-2 na Newcastle ambayo Mchezaji wao mpya Moussa Sissoko alipiga Bao 2, moja likiwa la ushindi katika Dakika ya 90.
++++++++++++++++++++++
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi Februari 2
QPR 0 Norwich 0
Arsenal 1 Stoke 0
Everton 3 Aston Villa 3
Newcastle 3 Chelsea 2
Reading 2 Sunderland 1
West Ham 1 Swansea 0
Wigan 2 Southampton 2
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Fulham v Man United
++++++++++++++++++++++
WIGAN 2 SOUTHAMPTON 2
Bao la Dakika ya 90 la Maloney limewapa sare ya Bao 2-2 Wigan walipoivaa Southampton.
+++++++++++++++++++
MAGOLI:
Wigan 2
-Caldwelli Dakika ya 25
-Maloney 90
Southampton 2
-Lambert Dakika ya 64
-Schneiderlin 85
+++++++++++++++++++
VIKOSI:
Wigan: Al Habsi, Scharner, Caldwell, Figueroa, Stam, McCarthy, McArthur, Beausejour, Espinoza, Di Santo, Maloney
Akiba: Robles, Jones, Henriquez, Gomez, McManaman, Golobart, Campabadal.
Southampton: Boruc, Clyne, Yoshida, Hooiveld, Shaw, Schneiderlin, Cork, Puncheon, Ramirez, Rodriguez, Lambert
Akiba: Kelvin Davis, Steven Davis, Fox, Ward-Prowse, Lee, Lallana, Richardson.
Refa: Andre Marriner
WEST HAM 1 SWANSEA 0
Bao la Dakika ya 77 la Straika Andy Carrol, ambae amekuwa majeruhi kwa kipindi sasa na akicheza Mechi yake ya kwanza tangu Novemba, limewapa ushindi wa Bao 1-0 West Ham walipokuwa kwao kucheza na Swansea City.
VIKOSI:
West Ham: Jaaskelainen, O'Brien, Tomkins, Reid, Taylor, Noble, Diame, Vaz Te, Nolan, Jarvis, Carroll
Akiba: Spiegel, Carlton Cole, Collison, Pogatetz, Joe Cole, Chamakh, O'Neil.
Swansea: Tremmel, Rangel, Chico, Williams, Davies, de Guzman, Britton, Ki, Hernandez, Michu, Routledge
Akiba: Cornell, Dyer, Lamah, Monk, Shechter, Moore, Tiendalli.
Refa: Lee Probert
READING 2 SUNDERLAND 1
Jimmy Kebe leo alipiga Bao 2 na kuipa Reading ushindi wa Bao 2-1 dhidi ya Sunderland.
+++++++++++++++++++
MAGOLI:
Reading 2
-Kebe Dakika ya 7 & 85
Sunderland 1
-Gardner Dakika ya 29 [Penati]
+++++++++++++++++++
VIKOSI:
Reading: Federici, Kelly, Pearce, Mariappa, Harte, Kebe, Leigertwood, McAnuff, McCleary, Pogrebnyak, Akpan
Akiba: Stuart Taylor, Shorey, Karacan, Le Fondre, Morrison, Guthrie, Blackman.
Sunderland: Mignolet, N'Diaye, Bramble, O'Shea, Colback, Larsson, Gardner, Vaughan, Johnson, Fletcher, Sessegnon
Akiba: Westwood, Bardsley, Rose, Graham, Wickham, Mangane, McClean.
Refa: Lee Mason
NEWCASTLE 3 CHELSEA 2
Mchezaji mpya wa Newcastle, Moussa Sissoko, aliekuwa akicheza Mechi yake ya kwanza Uwanja wa Nyumbani St James Park, alifunga Bao mbili moja likiwa ndilo la ushindi katika Dakika ya 90 walipoichapa Chelsea Bao 3-2.
+++++++++++++++++++
MAGOLI:
Newcastle 3
-Guiterrez Dakika ya 41
-Sissoko 68 & 90
Chelsea 2
-Lampard Dakika ya 55
-Mata 61
+++++++++++++++++++
Mchezaji wa zamani wa Newcastle, Demba Ba headed, alirudi Uwanjani St James Park kwa mara ya kwanza lakini ilibidi atolewe baada ya kupigwa Buti ya uso na Beki wa Newcastle Fabricio Coloccini katika harakati za kuokoa.
VIKOSI:
Newcastle: Krul, Debuchy, Steven Taylor, Coloccini, Santon, Perch, Cabaye, Gouffran, Sissoko, Gutierrez, Cisse
Akiba: Elliot, Anita, Yanga-Mbiwa, Bigirimana, Marveaux, Obertan, Shola Ameobi.
Chelsea: Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Cole, Ramires, Lampard, Oscar, Mata, Bertrand, Ba
Akiba: Turnbull, Torres, Ferreira, Marin, Azpilicueta, Benayoun, Ake.
Refa: Howard Webb
EVERTON 3 ASTON VILLA 3
Marouane Fellaini aliiokoa Everton Uwanjani kwao Goodison Park aliposawazisha Bao katika Dakika ya 90.
+++++++++++++++++++
MAGOLI:
Everton 2
-Anichebe Dakika ya 21
-Fellaini 69 & 90
Aston Villa 3
-Benteke Dakika ya 2 & 61
-Agbonlahor 24
+++++++++++++++++++
VIKOSI:
Everton: Howard, Jagielka, Heitinga, Distin, Baines, Mirallas, Gibson, Osman, Pienaar, Fellaini, Anichebe
Akiba: Mucha, Jelavic, Oviedo, Naismith, Hitzlsperger, Neville, Duffy.
Aston Villa: Guzan, Lowton, Vlaar, Clark, Bennett, Westwood, El Ahmadi, Agbonlahor, N'Zogbia, Weimann, Benteke
Akiba: Given, Bent, Holman, Sylla, Bowery, Dawkins, Baker.
Refa: Mike Jones
ARSENAL 1 STOKE CITY 0
Lukas Podolski ameibuka Shujaa wa Emirates kwa kuifungia Arsenal Bao moja na la ushindi walipoitungua Stoke City Bao 1-0.
+++++++++++++++++++
MAGOLI:
Arsenal 1
-Podolski Dakika ya 78
Stoke City 0
+++++++++++++++++++
VIKOSI:
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Diaby, Arteta, Wilshere, Oxlade-Chamberlain, Walcott, Giroud
Akiba: Mannone, Rosicky, Podolski, Andre Santos, Ramsey, Cazorla, Jenkinson.
Stoke: Begovic, Shotton, Shawcross, Huth, Wilkinson, Walters, Cameron, Nzonzi, Whelan, Etherington, Crouch
Akiba: Sorensen, Jones, Owen, Adam, Whitehead, Kightly, Jerome.
Refa: Chris Foy
QPR 0 NORWICH 0
Kipa wa Norwich City Mark Bunn aliokoa Penati ya Kipindi cha Pili iliyopigwa na Adel Taarabt na kuipa Timu yake Pointi 1 walipocheza ugenini na Timu ya mkiani QPR.
Pia Kipa wa QPR Julio Cesar aliokoa michomo kadhaa na kuifanya Timu yake iambue Pointi 1 tu licha ya kuitawala Mechi.
VIKOSI:
QPR: Julio Cesar, Da Silva, Samba, Hill, Traore, Wright-Phillips, Mbia, Derry, Townsend, Taarabt, Mackie
Akiba: Green, Park, Granero, Jenas, Ben Haim, Zamora, Bothroyd.
Norwich: Bunn, Martin, Bassong, Turner, Garrido, Snodgrass, Tettey, Johnson, Pilkington, Hoolahan, Holt
Akiba: Camp, Whittaker, Howson, Jackson, Elliott Bennett, Becchio, Barnett.
Refa: Jon Moss

No comments:

Post a Comment