>>NI KIMBEMBE KWA REAL MADRID KWENYE COPA del REY!!
>>ITALIAN CUP: NI JUVE v AC MILAN!!

Barcelona, ambao ndio Mabingwa watetezi,
wana kazi nyepesi kidogo kwani wapo nyumbani Nou Camp kucheza na
Cordoba Timu ambayo waliichapa 2-0 katika Mechi ya kwanza.
Huko Italy, Italian Cup inaingia hatua ya Robo Fainali na Mechi ya mvuto kabisa ni ile ya Juventus v AC Milan.
COPA del REY
RAUNDI ya 4
MECHI za MARUDIANO
Jumanne Januari 8
[Matokeo Mechi ya kwanza katika Mabano]
Valencia v Osasuna [2-0]
Jumatano Januari 9
Sevilla v Real Mallorca [5-0]
Real Madrid v Celta Vigo [1-2]
Real Zaragoza v Levante [1-0]
Alhamisi Januari 10
Getafe v Atletico Madrid [0-3]
Barcelona v Cordoba [2-0]
Real Betis v Las Palmas [1-1]
ITALIAN CUP
ROBO FAINALI
Jumanne Januari 8
SS Lazio v Catania
Jumatano Januari 9
Juventus v AC Milan
Jumanne Januari 15
Inter Milan v Bologna
Jumatano Januari 16
Fiorentina v AS Roma
No comments:
Post a Comment