Tuesday, January 8, 2013

FA CUP: EVERTON YANYUKA 5-1, IPO RAUNDI YA 4!

FA_CUP-NEW_LOGO>>ARSENAL v SWANSEA KURUDIWA JANUARI 16!!
JANA Usiku, Everton, wakiwa ugenini, wameinyuka Cheltenham Mabao 5-1 na kuingia Raundi ya 4 ya FA CUP ambayo watacheza tena ugenini na Mshindi kati ya Bolton au Sunderland na ile Mechi ya marudiano kati ya Arsenal na Swansea City itachezwa Januari 16 Uwanjani Emirates.

MAGOLI:
Cheltenham 1
Penn Dakika ya 51.
Everton 5
Jelavic Dakika ya 12
Baines 21 (Penati)
Osman 49
Coleman 58
Fellaini 89

Swansea City na Arsenal zilitoka sare ya Bao 2-2 katika Mechi ya Raundi ya 3 ya FA CUP iliyochezwa Uwanja wa Liberty majuzi Jumapili.
Mshindi wa Mechi hiyo atacheza Raundi ya 4 ugenini na Brighton & Hove Albion, Timu ya Daraja la chini iliyoshangaza kwa kuibwaga nje Newcastle katika Raundi ya 3.

MECHI ZA MARUDIANO- FA CUP-Raundi ya 3
**FAHAMU: Kwa Timu zilizoenda sare kwenye Raundi ya 3 Mechi zake zitachezwa Januari 15 na 16.
Jumanne Januari 15
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Birmingham v Leeds
Bournemouth v Wigan
Brentfaud v Southend
Leyton Auient v Hull
Wimbledon v Sheffield Wed
Stoke v Crystal Palace
Sunderland v Bolton
[SAA 5 Usiku]
Blackpool v Fulham
Jumatano Januari 16
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Arsenal v Swansea City
[SAA 5 Usiku]
Man Utd v West Ham
West Brom v QPR
RAUNDI YA 4
[KUCHEZWA WIKIENDI YA JANUARI 26]
Norwich City v Luton Town
Oldham Athletic v Liverpool
Macclesfield Town v Wigan Athletic au Bournemouth
Derby County v Blackburn Rovers
Hull City au Leyton Auient v Barnsley
Middlesbrough v Aldershot Town
Millwall v Aston Villa
Leeds United au Birmingham City v Tottenham Hotspur
Brighton & Hove Albion v Swansea City au Arsenal
Crystal Palace au Stoke City v Manchester City
West Ham United au Manchester United v Fulham au Blackpool
Southend United au Brentfaud v Chelsea
Reading v Sheffield United
Huddersfield Town v Leicester
QPR au West Brom v Sheffield Wednesday au MK Dons
Bolton au Sunderland v Everton

No comments:

Post a Comment