Thursday, January 10, 2013

CAPITAL ONE CUP: CHELSEA YAPIGWA STAMFORD BRIDGE,MICHU STAY ON FIRE AWATUMIA SALAMU WANAOMTAKA KATIKA DIRISHA HILI LA USAJILI!

CAPITAL_ONE_CUP-BESTSwansea imeshinda nyumbani kwa Chelsea kwa mara ya kwanza katika Miaka 87 baada ya jana kushinda 2-0 katika Mechi ya kwanza ya Nusu Fainali ya CAPITAL ONE CUP.
Ingawa Chelsea walitawala Mechi, hasa Kipindi cha Kwanza, lakini makosa ya Beki wao Branislav Ivanovic yalimruhusu Michu kufunga Bao la kwanza.

MAGOLI:
Chelsea 0
Swansea 2
-Michu Dakika ya 39
-Graham 90
+++++++++++++++++++
Branislav Ivanovic alirudia makosa na pasi yake ya nyuma kunaswa na Graham katika Dakika za mwishoni na kupachika Bao la pili.
Timu hizi zitarudiana tena Liberty Stadium hapo Januari 23.
Juzi, kwenye Mechi nyingine ya Nusu Fainali ya Kwanza, Bradford City iliichapa Aston Villa Bao 3-1.
VIKOSI:
Chelsea: Turnbull, Ivanovic, Cole, David Luiz, Cahill, Azpilicueta, Ramires (Lampard - 71' ), Mata, Oscar (Marin - 83' ), Hazard, Torres (Ba - 81' )
Akiba: Hilario, Ferreira, Bertrand, Lampard, Marin, Ake, Ba
Swansea City: Tremmel, Chico, Williams, Rangel, Davies, Britton, Michu (Graham - 83' ), Pablo, Routledge (Tiendalli - 62' ), De Guzman, Ki Sung-Yeung
Akiba: Vorm, Monk, Tiendalli, Dyer, Agustien, Graham, Shechter
Refa: Taylor
RATIBA/MATOKEO:
NUSU FAINALI
[Mechi zote kuanza SAA 4 DAK 45 Usiku]
Jumanne Januari 8
Bradford 3 Aston Villa 1
Jumatano Januari 9
Chelsea 0 Swansea City 2
MARUDIANO
Jumanne Januari 22
Aston Villa v Bradford
Jumatano Januari 23
Swansea City v Chelsea
FAINALI
Jumapili Februari 24
Uwanja wa Wembley, London

No comments:

Post a Comment