Tuesday, January 1, 2013

2012: SPAIN YATAWALA KWA MATAJI!

Jumatatu, 31 Disemba 2012 20:54
Chapisha Toleo la kuchapisha
CHELSEA_ULAYA_2012AUEFA leo, wakiaga 2012 na kuikaribisha 2013, wametoa pongezi kwa Spain,SPAIN_V_FRANCE Chelsea na Atletico Madrid kwa kutwaa Mataji katika Mwaka 2012 ambapo Spain ilitwaa Mataji 6 kati ya 11 katika Mashindano ya UEFA kwa Mwaka 2012 yakiwemo yale ya EURO 2012 kwa Timu ya Taifa ya Spain na Mataji ya EUROPA LIGI na UEFA SUPER CUP ambayo yote yalichukuliwa na Atletico Madrid.
Ingawa imeshindwa kutetea Taji lake na kuwa Bingwa wa kwanza wa Ulaya kutolewa hatua ya Makundi ya UEFA CHAMPIONZ LIGI, Chelsea imetajwa kuwa imefuata nyayo za Borussia Dortmund kutwaa Taji hilo kwa mara ya kwanza tangu Dortmund walipofanya hivyo Msimu wa 1996/7.
UEFA=WASHINDI MWAKA 2012
MASHINDANO
MSHINDI
MSHINDI WA PILI
UEFA EURO 2012
Spain
Italy
UEFA Champions League
Chelsea FC (ENG)
FC Bayern München (GER)
UEFA Europa League
Club Atlético de Madrid (ESP)
Athletic Club (ESP)
UEFA Super Cup
Club Atlético de Madrid (ESP)
Chelsea FC (ENG)
FIFA Club World Cup
SC Corinthians Paulista (BRA)
Chelsea FC (ENG)
UEFA European U-19
Spain
Greece
UEFA European U-17
Netherlands
Germany
FIFA U-20 -WANAWAKE KOMBE la DUNIA
United States
Germany
UEFA U-19 WANAWAKE
Sweden
Spain
FIFA U-17 -WANAWAKE KOMBE la DUNIA
France
North Korea
UEFA U-17 WANAWAKE
Germany
France
FIFA Futsal World Cup
Brazil
Spain
UEFA Futsal EURO 2012
Spain
Russia
UEFA Futsal Cup
FC Barcelona (ESP)
MFK Dinamo (RUS)
UEFA WANAWAKE CHAMPIONZ LIGI
Olympique Lyonnais (FRA)
1. FFC Frankfurt (GER)

No comments:

Post a Comment