Tuesday, December 25, 2012

MARRY XMASS NJEMA NA HAPPY NEW YEAR 2013 WASOMAJI WA BLOG YA TANOJUMAIN SPORTS


 

Tanojumainsports.blogspot.com inakutakia sikukuu njema ya krismass waka 2012  na Happy new year mwka 2013 msherehekee kwa amani na upendo daima ili muendelee kujenga Taifa la tanzania kwa kuendeleza kudumisha upendo na amani zaidi.

Mwaka wa 2012  matukio mengi yametokea katika nyanja mbalimbali katika kisiasa ,kiuchumi,kitamaduni,kijamii na mambo mengine mbalimbali.
KISIASA=Mambo mengi yametokea katika nyanja ya kisiasa hapa tanzania kubwa zaidi ni challenge iliyoletwa na chama cha maendeleo CHADEMA kwa kuendelea kuonesha umwamba kwa mpinzani chama tawala CHAMA CHA MAPINDUZI CCM.
Katika siasa mambo mengi yametokea nakumbuka chaguzi mbalimbali zimekuwa na changamoto kubwa sana sana hasa katika uchaguzi wa wilayani Igunga Mkoani Tabora kuziba ile nafasi iliyoachwa na mbunge Rostam Aziz na nafasi yake kuchukuliwa na DK .Kafumu lakini miezi kadhaa akaenguliwa tena na mpaka sasa jimbo la wilayani Igunga lipo wazi.

Katika habari za kimataifa kubwa zaidi ni kuuwawa kwa Raisi wa Libya MUAMAR GADDAFFI aliyekuwa anashikilia madaraka kwa udikteta,Raisi wa ivory coast bw. BAGIBO naye kukamata na kutiwe kitanzini,pia uchaguzi wa marekani, uliochukua nafasi kubwa ya kumchagua  Rais Barack Obama ambayealimshinda hasimu wake wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani, na kwa utaratibu huo kupata fursa nyingine ya kuiongoza nchi hiyo kwa miaka mingine minne. Katika uchaguzi huo uliogharimu fedha nyingi zaidi katika historia ya Marekani, Obama amefanikiwa kumbwaga mpinzani wake Mitty Romney kwa asilimia chache, baada ya kupata kura 303 za 'Electoral College'. Hata hivyo mgawanyiko wa viti katika bunge lijalo la Kongresi ya Marekani haujabadilika, ikilinganishwa na hivi sasa
Weekly Address: The President and First Lady Extend a Holiday Greeting and Thank our Troops for their Service
 BARACK OBAMA

 
 MUAMMAR GADAFFI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZYWcCr727kB2ceYZsz3Ihu8ah1fTos0h9vVeFDycoNc_mfgm7FnBtFdmYmTAYnDNAb2H_SEduNFl4sZgjMCvHzR1Sd3FSoVQYJO9Nl-a22HBCVNshvBqRqRc1mzpcONNwj0wvzA93g7nd/s1600/LAURENT.jpg
 BAGBO PINDI AMEKAMATWA ikumbukwe Kiongozi huyu  aliyekuwa aking'ang'ania madaraka nchini Cote d'Ivoire, Laurent Gbagbo, alikamatwa na wapiganaji waliokuwa wanaomuunga mkono Alassane Ouattara katika operesheni ya wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Mataifa.


 Akiwa anavuliwa nguo ilikuwaga taabu kweli
KHERI YA YOTE HAYA TUACHANA NAYO YALIYOPITA TUGANGE YAJAYO ILI TUJENGE TAIFA LETU....NA KUMBUKA KATIKA MAFANIKIO CHANGAMOTO HAZIKOSEKANIIIII!!!!!!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment