Sunday, October 14, 2012



MWENYEKITI WA KAMATI YA UCHAGUZI WA MKOA WA TABORA BWIRE MKAMA AZUNGUMZIA KUHUSU MCHAKATO WA UCHAGUZI WA MKOA WA TABORA TAREFA

Mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi wa mkoa wa tabora bwana bwire mkama amezungumzia kuhusu mchakato wa uchaguzi unavyoendelea kwa sasa hapa mkoani tabora na kuelekea katika uchaguzi ambao unatarajia kufanyika November,4 mwaka huu hapa mkoani tabora.

Ameyazungumza haya pale nilipokuwa nafanya naye interview katika ofsi yake ya TUWASA hapa mkoani tabora tupate kumsikiliza kiundani zaidi nini amekizungumza????ingia katika you tube ya tano juma utapata kusikia nini amekizungumza leo

No comments:

Post a Comment