Saturday, January 12, 2013

LIGI ULAYA: SERIE A & LA LIGA WIKIENDI!


JUVENTUS-Claudio_Marchisio>>REAL, BARCA ZOTE UGENINI!
>>MABINGWA JUVE UGENINI na PARMA!!
LIGI za Nchini Spain na Italy zinaendelea Wikiendi hii na huko Spain kwenye La Liga, Mabingwa watetezi, Real Madrid, ambao wako Pointi 16 nyuma ya Vinara Barcelona, Jumamosi watakuwa ugenini kucheza na Osasuna wakati Barca watacheza ugenini na Malaga Siku ya Jumapili wakati huko Italy, Mabingwa watetezi ambao pia ni vinara, Juventus, watacheza ugenini Siku ya Jumapili na Parma.
ZIFUATAZO NI RATIBA ZA WIKIENDI:
RATIBA:
LA LIGA
Jumamosi Januari 12
Real Valladolid v Real Mallorca
RCD Espanyol v Celta de Vigo
Osasuna v Real Madrid CF
Valencia v Sevilla FC
Jumapili Januari 13
Real Betis v Levante
Real Sociedad v Deportivo La Coruna
Atletico de Madrid v Real Zaragoza
Malaga CF v FC Barcelona
Jumatatu Januari 14
Getafe CF v Granada CF
SERIE A
Jumamosi Januari 12
Bologna v Chievo Verona
Inter Milan v Pescara
Jumapili Januari 13
Torino FC v Siena
SS Lazio v Atalanta
Parma v Juventus
Udinese v Fiorentina
Napoli v Palermo
Cagliari v Genoa
Catania v AS Roma
Sampdoria v AC Milan

No comments:

Post a Comment