Wednesday, January 2, 2013

KUMEKUCHA MAPINDUZI CUP ZANZIBAR, MNYAMA ANASHUKA AMAAN USIKU HUU


Wachezaji wa Azam wakiwasili Bandari ya Zanzibar jioni hii tayari kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani hapa, inayoanza leo, mabingwa wa Kenya, Tusker wameanza vyema kwa kuifunga Bandari ya hapa mabao 5-1 jioni hii Uwanja wa Amaan, na saa 2:00 usiku mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC watamenyana na Jamhuri ya Pemba

Wachezaji wa Tusker wakiwasili Bandari ya Zanzibar jioni hii, wakiwa na mwenyeji wao nchini, George Wakuganda kushoto tayari kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani hapa, inayoanza leo, mabingwa hao wa Kenya,  mabingwa wa Kenya, Tusker wameanza vyema kwa kuifunga Bandari ya hapa mabao 5-1 jioni hii Uwanja wa Amaan, na saa 2:00 usiku mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC watamenyana na Jamhuri ya Pemba

Wachezaji wa Mtibwa wakiwasili Bandari ya Zanzibar jioni hii tayari kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani hapa, inayoanza leo, mabingwa wa Kenya, Tusker wameanza vyema kwa kuifunga Bandari ya hapa mabao 5-1 jioni hii Uwanja wa Amaan, na saa 2:00 usiku mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC watamenyana na Jamhuri ya Pemba 

Mchezaji wa Azam, Kipre Michael balou akiwasili Bandari ya Zanzibar jioni hii tayari kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani hapa, inayoanza leo, mabingwa wa Kenya, Tusker wameanza vyema kwa kuifunga Bandari ya hapa mabao 5-1 jioni hii Uwanja wa Amaan, na saa 2:00 usiku mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC watamenyana na Jamhuri ya Pemba. 

Mchezaji mpya wa Azam, Brian Umony akiwasili Bandari ya Zanzibar jioni hii tayari kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani hapa, inayoanza leo, mabingwa wa Kenya, Tusker wameanza vyema kwa kuifunga Bandari ya hapa mabao 5-1 jioni hii Uwanja wa Amaan, na saa 2:00 usiku mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC watamenyana na Jamhuri ya Pemba

Mwenyekiti wa ZFA, Aman Ibrahim Makungu akiwa bize na simu kuwasiliana na wageni wanaowasili visiwani hapa kwa ajili ya michuano hii. 

No comments:

Post a Comment