Friday, January 11, 2013

KATIKA NDONDOO MICHEZO BARANI ULAYA NI KUHUSIANA NA JOHN TERRY JT ANATARAJIA KURUDI MZIGONI BAADA YA KUPONA GOTI

John Terry

Nahodha wa chelsea  John Terry  anatarajia kurudi mzigoni katika mechi ya 21 ya ligi nchini England baada ya kuwa nje ya uwanja kwa takribani  miezi 2 akijiuguza mguu wake  alioumia goti siku ya mchezo dhidi ya liverpool .Mchezo ambao alilazimika kucheza dakika 45 za kipindi cha kwanza na kutolewa nje alipoumia.Terry 32 anatarajia kuwepo katika mchezo wa kesho dhidi ya stoke city ,,,,amesema kocha mkuu wa timu hiyo Rafael Benitez, 

 THEO WALCOT ANAWEZA KUSAINI MKATABA MPYA

Theo Walcott

Boss wa Arsenal  Arsene Wenger  anaamini mshambuliaji wake raia wa englands Theo Walcott  atasaini mkataba mpya ndani ya klabu hiyo ndani ya tarehe hizi za mwezi  31 January.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka  23 ameshabakisha miezi 6 amalize mkataba wake na anaweza kuondoka bure kama hatasaini mkataba mwingine.

MFUNGAJI BORA WA ARSENAL MPAKA SASA

Premier League League Cup Europe Total
Theo Walcott 8 5 1 14
Olivier Giroud 6 2 1 9
Lukas Podolski 6 0 3 9
Santi Cazorla 7 0 0 7
Gervinho 3 0 2 5

ROONEY ANAWEZA KURUDI DIMBANI KATIKA KOMBE LA FA CUP


 
Wayne Rooney  anaweza akawa fiti kuichezea klabu yake ya r Manchester United's katika kombe la  FA Cup  dhidi ya klabu ya  West Ham siku ya jumatano hayo yamesemwa na kocha mkuu wa klabu hiyo    Sir Alex Ferguson.Rooney aliumia siku ya boxing day ya tarehe 26 dec 2012 katika mchezo dhidi ya Newcastle.


 

Fabricio Coloccini ATAKA ARUDI NCHINI ARGENTINA


Newcastle captain Fabricio Coloccini
Newcastle United captain Fabricio Coloccini amesema na kuiambia klabu yake kuwa anataka mwezi huu ndani yake apewe ruhusa ya kuhamia nchini Argentina.Mchezaji huyo wa miaka 30 amesema hafurahii na maisha ya nchini England na katika klabu yake hiyo.


Nahodha huyo wa newcastle alisajiliw akutoka klabu ya
Deportivo kwa  £10.3m in 2008  na alisaini miaka 4 kuitumikia newcastle

Van Persie mchezaji bora wa mwezi disemba wa Premier League na Shakhtar yaizidi kete Chelsea yamsajili Taison wa Metalist..

MESSI NDIYE GOLDENBALLS MPYA BAADA YA KUMSHINDA DAVID BECKHAM SASA KUVAA VIATU MAALUM KUTOKA ADIDA DHIDI YA MALAGA KUSHEHEREKEA MAFANIKIO YAKE.

Lionel Messi shows off his four Ballon D'Or trophies


Boot-iful: The specially-designed Adidas F50s Messi will wear against Malaga on Sunday
`Boot-iful: The specially-designed Adidas F50s Messi will wear against Malaga on Sunday
Viatu maalum ambavyo vimetengenezwa na kampuni ya Adidas aina ya F50s ambavyo Messi atavaa katika mchezo dhidi ya Malaga jumapili.

Baada ya kumshinda David Beckham kwa tuzo za mipira ya dhahabu Lionel Mess atakuwa akivaa viatu maalum kusherekea mafanikio yake. 

Kwa miaka mingi David Beckham ndiye mchezaji aliyekuwa amekusanya tuzo nyingi zaidi kuliko mchezaji yoyote duniani lakini sasa amejitokeza mshindani mpya Messi.

 Golden Balls! Lionel Messi poses with his four Ballon D'Or trophies after winning the World Player accolade for a fourth straight year this week
Golden Balls! Lionel Messi akiwa pamoja na tuzo zake nne za Ballon D'Or 

Lionel Messi shows off his four Ballon D'Or trophies



Boot-iful: The specially-designed Adidas F50s Messi will wear against Malaga on Sunday
Viatu maalum ambavyo vimetengenezwa na kampuni ya Adidas aina ya F50s ambavyo Messi atavaa katika mchezo dhidi ya Malaga jumapili.

No comments:

Post a Comment