Sunday, January 13, 2013

KAMATI TENDAJI YA MPIRA WA MIGUU MKOA WA TABORA TAREFA YAKUTANA KWA MARA YA KWANZA TOKA ICHAGULIWE DEC 22 MWAKA JANA KATIKA UKUMBI WA FRANKMAN

Add caption
 
 Kamati tendajiya uongozi wa mpira wa miguu mkoa wa tabora TAREFA  leo imekutana kwa mara ya kwanza toka ichaguliwe tarehe 22 dec.2012 mwaka jana kujadili mambo mbali mbali ya soka la mkoa wa tabora kubwa zaidi ajenda zilizojadiliwa  ni pamoja na maandalizi ya timu za daraja la kwanza kuweza kupandisha timu mojawapo ya daraja la kwanza ipande ligi kuu tanzania bara kati ya timu hizo mbili za mkoani tabora Rhino Rangers ama Polisi Tabora.

Ajenda ya pili ni pamoja na kuandaa ligi za wilaya pamoja na mkoa wa tabora ili kupata timu ambazo zitakuwa na makali ya kurudisha taswira ya soka la mkoa wa tabora ni pamoja na kupata timu 2 ambazo zitapatikana wilayani kote za tabora wilaya ya uyui ,skonge,urambo,nzega,igunga na tabora mjini kila wilaya ipate timu 2 na mkoa timu moja.

Ajenda ya tatu ni pamoja na makabidhano ya  nyaraka za TAREFA ikiwemo na vifaa vya ofisi,kwani mpaka sasa ivi katibu wa zamani wa TAREFA bw. Albert Sitta hataki kukabidhisha nyaraka hizo kw auongozi mpya uliochaguliwa tarehe 22 dec.2012 chini ya uenyekiti wa Yussuph Kitumbo.

Ajenda nyingine ni pamoja na kujaza nafasi zilizowazi katika uongozi kama nafasi ya katibu msaidizi  kwani mwenyekiti aliridhia kumjaza katibu mkuu wa TUFA bw.Juma Mapunda kuwa kaimu katibu msaidizi na kamjaza bi Janethi Michael kuwa kaimu  mweka hazina wa TAREFA.

Ajenda nyingine iliyojadiliwa ni pamoja na maendeleo ya soka mawilayani mkoani tabora wamehakikisha kuwa soka la wilayani liwe na taswira ya kisoka siyo kama ilivyopotea kutokana na uongozi uliopita chini ya uenyekiti wa Ismail Aden Ragge pamoja na katibu mkuu wake Albert Sitta kuwa hawana organization nzuri juu ya uongozi wao pamoja na ajenda nyingine mengineyo kama kuandaa vitega uchumi,kuandaa ligi mbalimbali,kuandaa kozi za waamuzi,marefarii pamoja na kozi za makocha..







   

HII NDIYO HOTELI WALIYOFANYIA WAJUMBE WA KAMATI TENDAJI YA TAREFA MKOA WA TABORA LEO

 
KAMATI TENDAJI IKIPATA BREAKFAST KATIKA HOTELI YA KITALII YA FRANKMAN


BWANA KITUMBO HUYO WA KWANZA KULIA AKIWA TAYARI KWA KUPATA BREAKFAST
 
WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO NI KATIBU MKUU WA TAREFA BWANA FATTY DEWJ REMTULA AKIMSIKILIZA KWA UMAKINI MWENYEKITI WA TAREFA BWANA YUSUPH KITUMBO


KATIBU MKUU WA TAREFA FATTY DEWJ REMTULA AKIWA ANAANDIKA MOJA YA HOJA TOKA KWA WAJUMBE WA KAMATI TENDAJI


BI JANETH MICHAEL MWAKILISHI W AVILABU KWA WANAWAKE AKIWA ANAPATA MENYU
 
BWANA KITUMBO NA JOPO LAKE LA KAMATI TENDAJI YA TAREFA WAKIPATA BREAKFAST KWA PAMOJA KATIKA HOTELI YA FRANKMAN


KATIBU MKUU WA TAREFA FATTY DEWJ REMTULA AKIJIVINJALI KWA BREAKFAST KATIKA MKUTANO WAO WA KAMTI TENDAJI
 
WAHUDUMU WA FRANKMAN PALACE HOTELI

 
KATIBU WA TUFA JUMA MAPUNDA W AKWANZA KUTOKA KULIA,BW.KABEPELE ,BI.JANETH MAICHAEL NA RAZACK HUMBA WAKIMSIKILIZA KW AUNDANI MWENYEKITI WA TAREFA KITUMBO


MJUMBE WA KAMATI TENDAJI YA TAREFA DICK MLIMKA AKITOA HOJA KWA WAJUMBE WALIOHUDHURIA KIKAO HICHO
 
KIJANA MDOGO KWA WENYEKITI WA MIKOA TANZANIA NZIMA BW.YUSUPH KITUMBO AKIJADILIANA NA WAJUMBE ILI KUONDOA TASWIRA MBAYA YA SOKA LA MKOA W ATABORA

KAMA KAWAIDA ANAONGEA KWA UCHUNGU ILI SOKA LA MKOA WA TABORA LIWE NA TASWIRA NZURI KWA WANATABORA

MWENYEKITI WA TAREFA  YUSUPH KAHAMIS KITUMBO NA  KATIBU WAKE BWANA FATTY DEWJ REMTULA

No comments:

Post a Comment