Sunday, January 6, 2013

FA CUP: DROO YA RAUNDI YA 4 YAFANYIKA!

>>VIGOGO WAKWEPANA!
FA_CUP-NEW_LOGODroo ya kupanga Mechi za Raundi ya 4 ya FA CUP imefanyika leo lakini hamna ‘Bigi Mechi’ kwa vile Vigogo wametenganishwa.
DROO KAMILI:
[MECHI KUCHEZWA WIKIENDI YA JANUARI 26]
Norwich City v Luton Town
Oldham Athletic v Mansfield Town au Liverpool (Raundi ya 3)
Macclesfield Town v Wigan Athletic au Bournemouth
Derby County v Blackburn Rovers
Hull City au Leyton Orient v Barnsley
Middlesbrough v Aldershot Town
Millwall v Aston Villa
Leeds United au Birmingham City v Tottenham Hotspur
Brighton & Hove Albion v Swansea City au Arsenal
Crystal Palace au Stoke City v Manchester City
West Ham United au Manchester United v Fulham or Blackpool
Southend United au Brentford v Chelsea
Reading v Sheffield United
Huddersfield Town v Leicester
QPR au West Brom v Sheffield Wednesday au MK Dons
Bolton au Sunderland v Cheltenham au Everton
**FAHAMU: Kwa Timu zilizoenda sare kwenye Raundi ya 3 Mechi zake za marudiano zitachezwa Januari 15 na 16.
Marudiano ya Swansea na Arsenal yatapangwa katika Tarehe hizo.
MECHI ZA MARUDIANO- FA CUP-Raundi ya 3
Jumanne Januari 15
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Birmingham v Leeds
Bournemouth v Wigan
Brentford v Southend
Leyton Orient v Hull
Wimbledon v Sheffield Wed
Stoke v Crystal Palace
Sunderland v Bolton
[SAA 5 Usiku]
Blackpool v Fulham
Jumatano Januari 16
[SAA 5 Usiku]
Man Utd v West Ham
West Brom v QPR

No comments:

Post a Comment