Tuesday, January 8, 2013

COPA DEL REY: MALAGA, VALENCIA ROBO FAINALI! COPPA ITALIA: LAZIO IPO NUSU FAINALI!LLEO NI BALAAA TUPU MCHEZAJI BORA DUNIA UWANJAN NA PIA MCHEZAJI MWENYE MAWAZO MENGI KWA SASA CR NAYE ATAKUWA DIMBANI

BARCA_v_REAL>>LEO VIGOGO BARCA DIMBANI, REAL KUMEKUCHA, JUVE KUIVAA AC MILAN!!
HUKO Spain na Italy jana zilichezwa Mechi za Makombe makubwa katika Nchi hizo, Copa del Rey kwa Spain na COPPA ITALIA kwa Italy, lakini leo zile Timu Vigogo ndio zitakuwa Uwanjani kucheza Mechi zao na huko Spain macho yapo kwa Real Madrid kama wataweza kupindua kipigo cha 2-1 walichopewa katika Mechi ya kwanza na Celta Vigo ili wasonge mbele lakini huko Italy macho yapo kwenye Mechi kati ya Juventus na AC Milan.
COPA del REY

COPA del REY
RAUNDI ya 4
MATOKEO:
Jumanne Januari 8
[Jumla ya Magoli kwa Mechi 2 katika Mabano]
Valencia 2 Osasuna 1 [4-1]
Malaga 4 Eibar 1 [5-2]

Malaga walibomoa Eibar Bao 4-1 na kuingia Robo Fainali ya Copa del Rey kwa jumla ya Mabao 5-2.
Valencia nao wametinga Robo Fainali baada ya kuifunga Osasuna Bao 2-1 na kusonga kwa jumla ya Mabao 4-1.
MECHI za MARUDIANO
[Matokeo Mechi ya kwanza katika Mabano]
Jumatano Januari 9
Sevilla v Real Mallorca [5-0]
Real Madrid v Celta Vigo [1-2]
Real Zaragoza v Levante [1-0]
Alhamisi Januari 10
Getafe v Atletico Madrid [0-3]
Barcelona v Cordoba [2-0]
Real Betis v Las Palmas [1-1]
COPPA ITALIA

ITALIAN CUP
ROBO FAINALI
MATOKEO:
Jumanne Januari 8
SS Lazio 3 Catania 0

Lazio wamefuzu kuingia Nusu Fainali ya Coppa Italia baada ya kuichapa Catania Bao 3-0.
Lazio, ambao walifunga Bao zao kupitia Stefan Radu na Bao mbili za Hernanes, kwenye Nusu Fainali watacheza na Mshindi kati ya Juventus au AC Milan ambao wanacheza leo.
ITALIAN CUP
ROBO FAINALI
RATIBA:
Jumatano Januari 9
Juventus v AC Milan
Jumanne Januari 15
Inter Milan v Bologna
Jumatano Januari 16
Fiorentina v AS Roma

No comments:

Post a Comment