Sunday, January 20, 2013

CHELSEA WAKATA NGEMBE YA KUTOSHINDA NYUMBANI KWA MECHI SITA BAADA YA KUITANDIKA ARSENAL 2-1 STAMFORD BRIDGE WAJIBANZA NAFASI YA 3 NYUMA YA POINTI 6 DHIDI YA MAN CITY


Chelsea celebrate a goal against Arsenal
>>CHELSEA 2 ARSENAL 1
Chelsea walipata Bao 2 za haraka na kuizuia Arsenal wasirudishe katika Mechi ya BPL, Barclays Premier League, iliyochezwa leo Stamford Bridge na kuwapa ushindi wao wa kwanza wa nyumbani katika Mechi 4 za 2013 na kuwafanya wajizatiti nafasi ya 3 wakiwa Pointi 6 nyuma ya Man City na Pointi 10 nyuma ya Vinara Man United.

MAGOLI:
Chelsea 2
-Mata Dakika ya 6
-Lampard 16 (Penati)
Arsenal 1
-Walcott Dakika ya 58

Juan Mata ndie alieipa Chelsea Bao la Kwanza na Kipa Wojciech Szczesny kumwangusha Ramires na Refa Martin Atkinson kutoa Penati iliyofungwa na Frank Lampard.
Kipindi cha Pili Arsenal walizinduka na kubadilika na Theo Walcott kuwapa Bao lao moja lililowafanye wachangamke kutafuta sare ambayo, hata hivyo, hawakuipata.

MSIMAMO-Timu zaJuu:
1 Man United Mechi 22 Pointi 55
2 Man City  Mechi 23 Pointi 51
3 Chelsea  Mechi 23 Pointi 45
4 Tottenham  Mechi 22 Pointi 40
5 Everton  Mechi 22 Pointi 37
6 Arsenal  Mechi 22 Pointi 34
7 Liverpool  Mechi 23 Pointi 34
8 West Brom Mechi 23 Pointi 34
9 Swansea  Mechi 23 Pointi 33
10 Stoke Mechi 23 Pointi 29

Kipigo hiki kimewaacha Arsenal wabakie nafasi ya 6 wakiwa na Pointi 34 huku juu yao wapo Everton wenye Pointi 37.
VIKOSI:
Chelsea: Cech, Azpilicueta, Cahill, Ivanovic, Cole, Ramires, Lampard, Oscar, Hazard, Mata, Torres
Akiba: Turnbull, Ferreira, Marin, Terry, Ba, Bertrand, Ake.
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Vermaelen, Gibbs, Coquelin, Diaby, Walcott, Wilshere, Cazorla, Giroud
Akiba: Mannone, Koscielny, Andre Santos, Ramsey, Arshavin, Jenkinson, Frimpong.
Refa: Martin Atkinson

BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
RATIBA:
Jumapili Januari 20
[SAA 1 Usiku]
Tottenham v Man United
Jumatatu Januari 21
[SAA 5 Usiku]
Southampton v Everton


Possession40%60%90minsChelseaArsenal

No comments:

Post a Comment