Tuesday, January 22, 2013

ALLAN TRAOREEEEEE AIWEZESHA BURKINAFASO KUTOKA SARE NA MANYIGU WA NIGERIA JANA MICHUANO YA MATAIFA AFCON


AFCON_2013_LOGO>>JUMANNE NI: IVORY COAST v TOGO, ALGERIA v TUNISIA!!
BAO la Dakika ya 94 la Alain Traore la kusawazisha, Mchezaji ambe ndie ameifikisha Burkina Faso Fainali AFCON 2013 kwa pia kusawazisha katika Dakika ya 96 walipocheza Mechi ya mwisho ya Mchujo na CAR, Jamhuri ya Afrika ya Kati, limewapa sare ya 1-1 walipocheza na Nigeria waliokuwa wakicheza Mtu 10 katika Mechi yao ya kwanza ya Kundi C la Fainali za Mashindano ya Mataifa ya Afrika huko Afrika Kusini.
++++++++++++++++++
KUNDI C-MECHI ZINAZOFUATA:
Ijumaa Januari 25
Zambia v Nigeria [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Burkina Faso v Ethiopia [Mbombela Stadium Saa 3 Usiku]
++++++++++++++++++
Nigeria ndio walitangulia kufunga kwa Bao la Dakika ya 23 la Emmanuel Emenike, Mchezaji wa Spartak Moscow, baada ya uchezaji mzuri wa mwenzake Ideye Brown.
Nigeria walijikuta wakicheza Mtu 10 kuanzia Dakika ya 73 baada ya Efe Ambrose kupewa Kadi ya Njano ya pili na Refa Mohamed Benouza wa Algeria.
Burkina Faso, wakiwa nyuma kwa Bao 1-0 huku Dakika 90 zikiwa zimeyoyoma na Bango la Muda wa Ziada kuashiria Dakika 4 za ziada, walisawazisha katika Dakika ya 94 kufuatia uzembe wa Difensi ya Nigeria.
VIKOSI:
Nigeria: Enyeama, Echiejile, Yobo, Oboabona, Ambrose, Ogude, Mikel, Igiebor, Ideye, Emenike, Musa
Akiba: Agbim, Obiorah, Egwueke, Moses, Gabriel, Uche, Onazi, Uzoenyi, Mba, Oshaniwa, Omeruo, Ejide.
Burkina Faso: Soulama, Bakary Kone, Keba Paul Koulibaly, Panandetiguiri, Koffi, Djakaridja Kone, Pitroipa, Rouamba, Dah, Bance, Dagano
Akiba: Diakite, Henri Traore, Alain Traore, Ouattara, Balima, Rabo, Kabore, Pan-Pierre Koulibaly, Wilfried Sanou, Abdou Razak Traore, Nakoulma, Germain Sanou. 
Refa: Mohamed Benouza (Algeria)
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
AFCON 2013
MAKUNDI:
KUNDI A: South Africa, Cape Verde, Morocco, Angola
KUNDI B: Ghana, DR Congo, Niger, Mali
KUNDI C: Zambia, Ethiopia, Nigeria, Burkina Faso
KUNDI D: Ivory Coast, Togo, Tunisia, Algeria
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
RATIBA/MATOKEO:
[SAA za BONGO]
Jumamosi Januari 19
South Africa 0 Cape Verde Islands 0
Angola 0 Morocco 0
Jumapili Januari 20
Ghana 2 Congo DR 2
Mali 1 Niger 0
Jumatatu Januari 21
Zambia 1 Ethiopia 1
Nigeria 1 Burkina Faso 1
Jumanne Januari 22
Ivory Coast v Togo [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Tunisia v Algeria [Royal Bafokeng Stadium Saa 3 Usiku]
Jumatano Januari 23
South Africa v Angola [Moses Mabhida Stadium Saa 12 Jioni]
Morocco v Cape Verde Islands [Moses Mabhida Stadium Saa 3 Usiku]
Alhamisi Januari 24
Ghana v Mali [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Niger v Congo DR [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
Ijumaa Januari 25
Zambia v Nigeria [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Burkina Faso v Ethiopia [Mbombela Stadium Saa 3 Usiku]
Jumamosi Januari 26
Ivory Coast v Tunisia [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Algeria v Togo [Royal Bafokeng Stadium Saa 3 Usiku]
Jumapili Januari 27
Morocco v South Africa [Moses Mabhida Stadium Saa 2 Usiku]
Cape Verde Islands v Angola [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 2 Usiku]
Jumatatu Januari 28
Congo DR v Mali [Moses Mabhida Stadium Saa 2 Usiku]
Niger v Ghana [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 2 Usiku]
Jumanne Januari 29
Ethiopia v Nigeria [Royal Bafokeng Stadium Saa 2 Usiku]
Burkina Faso v Zambia [Mbombela Stadium Saa 2 Usiku]
Jumatano Januari 30
Algeria v Ivory Coast [Royal Bafokeng Stadium Saa 2 Usiku]
Togo v Tunisia [Mbombela Stadium Saa 2 Usiku]
ROBO FAINALI
Jumamosi Februari 2
Mshindi Kundi B v Mshindi wa Pili Kundi A [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi Kundi A v Mshindi wa Pili Kundi B [Moses Mabhida Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
Jumapili Februari 3
Mshindi Kundi D v Mshindi wa Pili Kundi C [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi Kundi C v Mshindi wa Pili Kundi D [Mbombela Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
NUSU FAINALI
Jumatano Februari 6
Mshindi RF 3 v Mshindi RF 2 [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi RF 1 v Mshindi RF 4 [Moses Mabhida Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
MSHINDI wa TATU
Jumamosi Februari 9
[Nelson Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
FAINALI
Jumapili Februari 10
[Soccer City Saa 3 Usiku]

No comments:

Post a Comment