Monday, December 31, 2012

BPL: MECHI ZA KUANZA 2013 ni JUMANNE JANUARI 1!

BPL_LOGO>>ARSENAL KUCHEZA KIPORO NA WEST HAM JANUARI 23!!
BPL, Barclays Premier League, itafungua Mwaka mpya 2013 kwa Mechi 7 Jumanne Januari Mosi na Mechi 3 Jumatano Januari 2 huku Mabingwa watetezi Manchester City, ambao wako nafasi ya pili, kucheza nyumbani na Stoke City na Vinara wa Ligi, Manchester United, kuwa ugenini kuivaa Wigan.
Mechi za Ligi Kuu England kwa Mwezi Januari zitakuwa zikipisha Mechi za FA CUP kwa Wikiendi ya kuanzia Januari 5 ambapo Raundi ya 3 ya FA CUP itachezwa, Raundi ambayo Timu za Ligi Kuu England ndipo zinaanza Mashindano hayo na pia Wikiendi ya Januari 26 ambapo Raundi ya 4 ya FA CUP itachezwa.
+++++++++++++++++++++++
RATIBA:
Jumanne 1 Januari 2013
SAA 9 Dak 45 Mchana]
West Brom v Fulham
[SAA 12 Jioni]
Man City v Stoke City
Swansea v Aston Villa
Tottenham v Reading
West Ham v Norwich
Wigan v Man United
[SAA 2 na Nusu Usiku]
Southampton v Arsenal
Jumatano 2 Januari 2013
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Chelsea v QPR
Liverpool v Sunderland
[SAA 5 Usiku]
Newcastle v Everton
+++++++++++++++++++++++
Kimsimamo, Manchester United wako mbele kileleni kwa Pointi 7 wakifuatiwa na Man City na Timu ya 3 ni Chelsea, wenye Mechi moja mkononi, wakiwa Pointi 4 nyuma ya Man City.
Nafasi ya 4 inakamatwa na Tottenham lakini Arsenal wana nafasi ya kuikamata nafasi hiyo kwa vile wana Mechi moja mkononi baada ya Mechi yao na West Ham iliyokuwa ichezwe Desemba 26 kuahirishwa na sasa itachezwa Januari 23.
+++++++++++++++++++++++
MSIMAMO:
=Tofauti ya Magoli inatajwa kwa Timu zilizofungana Pointi
1 Man United Mechi 20 Pointi 49
2 Man City Mechi 20 Pointi 42
3 Chelsea Mechi 19 Pointi 38
4 Tottenham Mechi 20 Pointi 36
5 Arsenal Mechi 19 Pointi 33 [Tofauti ya Magoli 18]
6 Everton Mechi 20 Pointi 33 [Tofauti ya Magoli 8]
7 WBA Mechi 20 Pointi 33 [Tofauti ya Magoli 3]
8 Stoke Mechi 20 Pointi 29
9 Liverpool Mechi 20 Pointi 28 [Tofauti ya Magoli 5]
10 Swansea Mechi 20 Pointi 28 [Tofauti ya Magoli 5]
11 Norwich Mechi 20 Pointi 25 [Tofauti ya Magoli -9]
12 West Ham Mechi 19 Pointi 23
13 Sunderland Mechi 20 Pointi 22
14 Fulham Mechi 20 Pointi 21
15 Newcastle Mechi 20 Pointi 20
16 Wigan Mechi 20 Pointi 18 [Tofauti ya Magoli -13]
17 Aston Villa Mechi 20 Pointi 18 [Tofauti ya Magoli -24]
18 Southampton Mechi 19 Pointi 17
19 Reading Mechi 20 Pointi 13
20 QPR Mechi 20 Pointi 10
+++++++++++++++++++++++
WAFUNGAJI BORA:
Robin van Persie MAGOLI 14
Demba Ba 13
Miguel Michu 13
Luis Suarez 13
Jermain Defoe 10
Gareth Bale 9
Edin Dzeko 8
Marouane Fellaini 8
Steven Fletcher 8
Rickie Lambert 8
Theo Walcott  8
Sergio Aguero 7
Santi Cazorla 7
Juan Mata 7
Wayne Rooney 7
Carlos Tevez 7
Fernando Torres  7
+++++++++++++++++++++++
RATIBA MECHI ZIJAZO-LIGI KUU ENGLAND:
**WIKIENDI YA JANUARI 5 MECHI ZA RAUNDI YA 3 FA CUP
Jumamosi 12 Januari 2013
[SAA 12 Jioni]
Aston Villa V Southampton
Everton V Swansea
Fulham V Wigan
Norwich V Newcastle
Reading V West Brom
Stoke V Chelsea
Sunderland V West Ham
Jumapili 13 Januari 2013
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Man United V Liverpool
[SAA 1 Usiku]
Arsenal V Man City
Jumatatu 14 Januari 2013
[SAA 5 Usiku]
QPR V Tottenham
Jumamosi 19 Januari 2013
[SAA 12 Jioni]
Liverpool V Norwich
Man City V Fulham
Newcastle V Reading
Swansea V Stoke
West Ham V QPR
Wigan V Sunderland
[SAA 2 na Nusu Usiku]
West Brom V Aston Villa
Jumapili 20 Januari 2013
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Chelsea V Arsenal
[SAA 1 Usiku]
Tottenham V Man Utd
Jumatatu 21 Januari 2013
[SAA 5 Usiku]
Southampton V Everton
Jumatano 23 Januari 2013
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Arsenal V West Ham
**WIKIENDI YA JANUARI 26 MECHI ZA RAUNDI YA 4 FA CUP
Jumanne 29 Januari 2013
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Aston Villa V Newcastle
Norwich V Tottenham
QPR V Man City
Stoke V Wigan
Sunderland V Swansea
[SAA 5 Usiku]
Reading V Chelsea
Jumatano 30 Januari 2013
[SAA 4 Dak 45 Usiku]
Arsenal V Liverpool
Everton V West Brom
Fulham V West Ham
[SAA 5 Usiku]
Man United V Southampton

No comments:

Post a Comment