Monday, October 15, 2012

Aminia Djz Intercollege Bash yatikisa Tabora

 Majaji waliohusika katika mchakato wa kuwapata washindi kutoka kushoto Ibra Warhymes,Edgar Msongela,Salu Bingo,Veronica Medard na Dulla K
 Huyu ndo mkali wa michano Derick B alieibuka katika nafasi ya kwanza,msanii ambae amepata ofa ya kurekodi ngoma mbili bure
 Lily Ommy kutoka Times Fm aliwakilisha vizuri kama Mc wa tukio zima
 Aminia Djjjjjjjjjzzzzz ebwana daaaaaah!
 Kwenye mashine Dj Kally
 Mshindi wa pili wa kuchana Dyanka G (watatu kutoka kushoto).Jamaa kapata ofa ya kurekodi ngoma moja bure

Mshindi wa kwanza katika ile category ya utangazaji Jackson Joseph (kushoto) jamaa kapata ofa ya kusoma Advanced Certificate in Journalism, Musoma Utalii College na kulia ni mshindi wa Djz jamaa anaitwa Dj K Sam

No comments:

Post a Comment