Saturday, September 29, 2012

Saturday, September 29, 2012


MANJI AKUTANA FARAGHA NA WZEE NA JANGWANI

Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji akizungumza na Wazee wa klabu hiyo mida hii, makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam. Kueleka mchezo na Simba Oktoba 3, mwaka huu, tayari Manji amekutana na wachezaji, Matawi na Vijana kujadiliana nao mambo mbalimbali ya kufanikisha ushindi.



wanajadili mbinu za kumuua mnyama

No comments:

Post a Comment