Wednesday, January 23, 2013

SIMBA WAWASILI DAR, WACHEZAJI WAMEFUNGASHA HAO!


Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akizungumza na shabiki wa timu hiyo, Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jioni hii baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Wachezaji wakmiwa kwenye basi lililowapakia kuwapeleka kambini

Mwanachama wa Simba, Makoye akimlaki Kocha Mfaransa Patrick Liewig

Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Kiungo wa Simba SC, Mussa Mudde akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Mshambuliaji wa Simba SC, Felix Sunzu akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Mudde bila shaka anakuja kufungua duka....

Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' akimlaki Mrisho Ngassa

Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo akitoka kwa furaha, hapa alisema; "Tumerudi sasa maangamizi tu".

Kaburu akimlaki Komabil Keita

Nahodha Msaidizi wa Simba, Shomary Kapombe akiwasili

Kipa wa zamani wa Simba, Iddi Pazi 'Father' kulia akiwa na Julio Uwanja wa Ndege

No comments:

Post a Comment