Sunday, January 6, 2013

BORA kwa DUNIA 2012: FIFA Ballon d’Or ni JUMATATU!

 

>>FIFA Ballon d’Or: NANI MKALI-INIESTA, RONALDO au MESSI??
>>KOCHA BORA: NANI ZAIDI-GUARDIOLA, DEL BOSQUE au MOURINHO??
>>GOLI BORA: LIPI-FALCAO, NEYMAR au STOCH??
FIFA_LOGO_BESTKESHO Jumatatu huko Kongresshaus, Zurich, Switzerland, Dunia itashuhudia Tafrija maalum, FIFA World Player Gala, ambayo ni mahsusi kwa kutangaza Washindi wa Tuzo za walio Bora katika Soka kwa Mwaka 2012 kuanzia kwa Wachezaji, Makocha, Goli Bora, Kikosi Bora na Tuzo maalum za Uchezaji wa Haki na ile ya Tuzo ya Rais.
++++++++++++++++++++++++++++++++++
TUZO ZITAKAZOTOLEWA: 
FIFA Ballon d’Or [MCHEZAJI BORA DUNIANI 2012] 
FIFA MCHEZAJI BORA DUNIANI-WANAWAKE 2012
FIFA KOCHA BORA DUNIANI-WANAUME 2012
FIFA KOCHA BORA DUNIANI-WANAWAKE 2012
FIFA TUZO YA RAIS 2012
FIFA TUZO YA UCHEZAJI WA HAKI 2012 
FIFA TUZO YA PUSKAS [GOLI BORA] 2012
FIFA/FIFPro KIKOSI BORA DUNIANI 2012
++++++++++++++++++++++++++++++++++
WAGOMBEA MBALI MBALI KWA BAADHI ya TUZO hizo ni:
FIFA Ballon d’Or [MCHEZAJI BORA DUNIANI 2012]:
-Cristiano RONALDO, Portugal,
-Andres INIESTA, Spain
-Lionel MESSI, Argentina.
MESSI_n_RONALDO
FIFA MCHEZAJI BORA DUNIANI-WANAWAKE 2012:
-MARTA, Brazil,
-Alex MORGAN, USA
-Abby WAMBACH, USA.
LADIES_BEST
KOCHA BORA KWA WANAUME:
-Vicente DEL BOSQUE, Spain (Spain)
-Pep GUARDIOLA, Spain (FC Barcelona)
-Jose MOURINHO, Portugal (Real Madrid)
KOCHA BORA KWA WANAWAKE:
-Bruno BINI, France (France)
-Norio SASAKI, Japan (Japan)
-Pia SUNDHAGE, Sweden (USA)
***Wagombea hao wa Tuzo hizo walipatikana kwa Kura za Manahodha na Makocha wa Timu za Taifa za Wanaume na Wanawake pamoja na Wawakilishi wa Wanahabari walioteuliwa na Gazeti la France Football ambao ni Washirika wa FIFA katika Tuzo hizi.
TUZO YA FIFA PUSKÁS [GOLI BORA]:
- FALCAO (América de Cali-Atletico Madrid, 19 Mei 2012)
-NEYMAR (Santos-Internacional, 7 Machi 2012) –
-Miroslav STOCH (Fenerbahçe-Gençlerbirliği, 3 Machi 2012).
Pia, yalitangazwa Majina ya Fowadi 15 ambao wanaungana na Makipa watano, Mabeki 20, na Viungo 15, waliotangazwa kabla, kufanya jumla ya Wachezaji 55 watakaowania nafasi 11 za kuwemo kwenye Listi ya Wachezaji 11 watakauonda Timu Bora Duniani, FIFA/FIFPro World XI 2012, yenye Kipa mmoja, Mabeki wanne, Viungo watatu na Mafowadi watatu.
LISTI HIYO ya Wachezaji 55:
MAKIPA 5 WALIOTEULIWA:
-Gianluigi Buffon (Italy, Juventus)
-Iker Casillas (Spain, Real Madrid)
-Petr Cech (Czech Republic, Chelsea)
-Joe Hart (England, Manchester City)
-Manuel Neuer (Germany, Bayern Munich).
MABEKI 20:
-Jordi Alba (Spain, Barcelona)
-Gareth Bale (Wales, Tottenham Hotspur)
-Giorgio Chiellini (Italy, Juventus)
-Ashley Cole (England, Chelsea)-
-Dani Alves (Brazil, Barcelona)
-David Luiz (Brazil, Chelsea)
-Patrice Evra (France, Manchester United)
-Rio Ferdinand (England, Manchester United)
-Mats Hummels (Germany, Borussia Dortmund)
-Branislav Ivanovic (Serbia, Chelsea)
-Vincent Kompany (Belgium, Manchester City)
-Philipp Lahm (Germany, Bayern Munich)
-Marcelo (Brazil, Real Madrid)
-Javier Mascherano (Argentina, Barcelona)
-Pepe (Portugal, Real Madrid)
-Gerard Piqué (Spain, Barcelona)-
-Carles Puyol (Spain, Barcelona)
-Sergio Ramos (Spain, Real Madrid)
-John Terry (England, Chelsea)
-Thiago Silva (Brazil, Paris St-Germain).
VIUNGO 15:
-Xabi Alonso (Spain / Real Madrid),
-Sergio Busquets (Spain / FC Barcelona),
-Cesc Fabregas (Spain / FC Barcelona),-
-Steven Gerrard (England / Liverpool)
-Eden Hazard (Belgium / Chelsea)
-Andres Iniesta (Spain / FC Barcelona)
-Frank Lampard (England / Chelsea)
-Luka Modric (Croatia / Real Madrid)
-Mesut Özil (Germany / Real Madrid)
-Andrea Pirlo (Italy / Juventus)
-Franck Ribery (France / Bayern Munich)
-David Silva (Spain / Manchester City)
-Bastian Schweinsteiger (Germany / Bayern Munich)
-Yaya Touré (Ivory Coast / Manchester City)
-Xavi Hernandez (Spain / FC Barcelona)
MAFOWADI 15:
-Sergio Agüero (Argentina, Manchester City)
-Mario Balotelli (Italy, Manchester City)
-Karim Benzema (France, Real Madrid)
-Edinson Cavani (Uruguay, AS Napoli)
-Didier Drogba (Ivory Coast, Shanghai Shenhua)
-Samuel Eto’o (Cameroon, Anzhi Makhachkala)
-Radamel Falcao (Colombia, Atletico Madrid)
-Mario Gomez (Germany, Bayern Munich)
-Zlatan Ibrahimovic (Sweden, Paris Saint-Germain)
-Lionel Messi (Argentina, Barcelona)
-Neymar (Brazil, Santos)
-Robin van Persie (The Netherlands, Manchester United)
-Cristiano Ronaldo (Portugal, Real Madrid)
-Wayne Rooney (England, Manchester United)
-Luis Suarez (Uruguay, Liverpool)
WASHINDI 2011:
MCHEZAJI BORA: Lionel MESSI (ARG)
MCHEZAJI BORA-WANAWAKE: Homare SAWA (JPN)
KOCHA BORA: Pep GUARDIOLA (ESP)
KOCHA BORA-WANAWAKE: Norio SASAKI (JPN)
FIFA TUZO YA RAIS: Sir Alex Ferguson
FIFA TUZO YA UCHEZAJI WA HAKI: Japanese Football Association
WASHINDI WALIOPITA wa FIFA Ballon d'Or:
2011 - Lionel Messi
2010 - Lionel Messi
**FAHAMU: Tuzo ya Mchezaji Bora wa FIFA na ile ya France Football Ballon d'Or ziliunganishwa Mwaka 2010 na kuitwa FIFA Ballon d'Or.
WASHINDI WALIOPITA wa France Football Ballon d'Or:
2009 - Lionel Messi
2008 - C. Ronaldo
2007 - Kaka
2006 - F.Cannavaro
2005 - Ronaldinho
2004 - A. Shevchenko
2003 - P. Nedved
2002 - Ronaldo
2001 - M.Owen
2000 - L. Figo
1999 - Rivaldo
1998 - Z. Zidane
1997 - Ronaldo
1996 - M. Sammer
1995 - G. Weah
1994 - H. Stoitchkov
1993 - R. Baggio
1992 - M. Van Basten
1991 - J-P. Papin
1990 - L. Matthaeus
1989 - M. Van Basten
1988 - M. Van Basten
1987 - R. Gullit
1986 - I. Belanov
1985 - M. Platini
1984 - M. Platini
1983 - M. Platini
1982 - P. Rossi
1981 - K-H. Rummenigge
1980 - K-H. Rummenigge
1979 - K. Keegan
1978 - K. Keegan
1977 - A. Simonsen
1976 - F. Beckenbauer
1975 - O. Blokhin
1974 - J. Cruyff
1973 - J. Cruyff
1972 - F. Beckenbauer
1971 - J. Cruyff
1970 - G. Müller
1969 - G. Rivera
1968 - G. Best
1967 - F. Albert
1966 - B.Charlton
1965 - Eusebio
1964 - D. Law
1963 - L. Yashin
1962 - J. Masopust
1961 - O. Sivori
1960 - L. Suarez
1959 - A. Di Stefano
1958 - R. Kopa
1957 - A. Di Stefano
1956 - S. Matthews

No comments:

Post a Comment