Monday, December 31, 2012

PATRICK LIEWING MFARANSA MPYA WA SIMBA ATUA SIMBA MCHANA WA LEO TU


Katibu wa Simba, Evodius Mtawala (kushoto) akiongozana na kocha mpya wa klabu hiyo, Patrcik Liewig baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam mchana huu. 

Mtawala na Liewig

Liewig, Mwenyekiti mpya wa Kamati ya Ufundi, Dani Manembe na Mtawala

Anazungumza na Waandishi

Anapanda kibasi

Ndani ya kibasi

Wanachama waliokuja kumlaki

No comments:

Post a Comment