Monday, December 24, 2012

MAAJABU: IBRAHIMOVIC AIPIGA UINGEREZA MABAO 4, LA MWISHO BAO LA ‘MILELE’!

 

Zlatan Ibrahimovic akiruka ‘tick-tack’ akiwa umbali wa mita 27 na kufunga bao.

MCHEZAJI soka wa Sweden, Zlatan Ibrahimovic, mwezi wa 11 tarehe 14 mwaka 2012  alipiga mabao manne peke yake dhidi ya timu ya England katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa  jijini Stockholm, Sweden.  Timu hizo zilimaliza mchezo kwa mabao 4 – 2.
Maajabu ya Ibrahimovic ni goli lake la mwisho -- la nne.  Goli hili alilifunga kwa ‘tick-tack’ akiwa umbali wa mita 27 akiwa amelipa goli mgongo.  Aliupiga mpira huo kwa nyuma na ukapaa juu kwa mita 7.5 na ukatua moja kwa moja golini bila ya kudunda popote!
                      ..
.akiwa hewani.
..
.akishangilia baada ya kufunga bao hilo.

No comments:

Post a Comment