Sunday, January 20, 2013

AFCON 2013: South Africa 0 Cape Verde Islands 0


AFCON_2013-NA_KABUMBU_LIANZE>>UBINGWA MATAIFA YA AFRIKA WAANZA HUKO BONDENI!!
>>BAADAE LEO: ANGOLA v MOROCCO!
WENYEJI wa Mashindano, South Africa, maarufu kama Bafana Bafana, leo wamefungua rasmi Mashindano ya CAF ya kusaka Taifa Bingwa Barani Afrika, AFCON 2013 kwa kutoka sare ya kuvunja moyo kwao dhidi ya ‘Taifa Dogo’ Visiwa vya Cape Verde katika Mechi ya Kundi A iliyochezwa Uwanja wa Soccer City huko Soweto Jijini Johannesburg.
+++++++++++++
KUNDI A:
-South Africa
-Cape Verde
-Morocco
-Angola
+++++++++++++AFCON_2013_LOGO
Bafana Bafana walikuwa na wakati mgumu dhidi ya Cape Verde ambao nusura Straika wao Platini awape Bao lakini akapiga Shuti lake nje.
Baadae leo, kuanzia Saa 4 Usiku, Bongo Taimu, Angola na Morocco zitacheza Uwanja wa Moses Mabhida huko Mjini Durban katika Mechi ya pili ya Kundi A.
VIKOSI:
South Africa: Khune; Ngcongca, Khumalo, Sangweni, Matlaba; Dikgacoi, Letsholonyane, Phala, Tshabalala; Majoro, Parker
Akiba: Sandilands, Nthethe, Gaxa, Masilela, Chabangu, Mphela, Serero, Furman, Mahlangu, Manyisa, Meyiwa, Rantie.
Cape Verde Islands: Vozinha; Carlitos, Fernando Varela, Nando, Nivaldo; Babanco, Soares, Platini, Toni Varela; Heldon, Mendes
Akiba: Fredson Tavares, Rilly, Pecks, Guy Ramos, Lima, Gege, David Silva, Rony, Stenio, Ramilton Rosarip, Julio Tavares, Djaniny.
Refa: Djamel Haimoudi (Algeria)
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
AFCON 2013
MAKUNDI:
KUNDI A: South Africa, Cape Verde, Morocco, Angola
KUNDI B: Ghana, DR Congo, Niger, Mali
KUNDI C: Zambia, Ethiopia, Nigeria, Burkina Faso
KUNDI D: Ivory Coast, Togo, Tunisia, Algeria
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
RATIBA/MATOKEO:
[SAA za BONGO]
Jumamosi Januari 19
South Africa 0 Cape Verde Islands 0
Angola v Morocco [Moses Mabhida Stadium, Durban Saa 4 Usiku]
Jumapili Januari 20
Ghana v Congo DR [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Mali v Niger Nelson [Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
Jumatatu Januari 21
Zambia v Ethiopia [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Nigeria v Burkina Faso [Mbombela Stadium Saa 3 Usiku]
Jumanne Januari 22
Ivory Coast v Togo [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Tunisia v Algeria [Royal Bafokeng Stadium Saa 3 Usiku]
Jumatano Januari 23
South Africa v Angola [Moses Mabhida Stadium Saa 12 Jioni]
Morocco v Cape Verde Islands [Moses Mabhida Stadium Saa 3 Usiku]
Alhamisi Januari 24
Ghana v Mali [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Niger v Congo DR [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
Ijumaa Januari 25
Zambia v Nigeria [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Burkina Faso v Ethiopia [Mbombela Stadium Saa 3 Usiku]
Jumamosi Januari 26
Ivory Coast v Tunisia [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Algeria v Togo [Royal Bafokeng Stadium Saa 3 Usiku]
Jumapili Januari 27
Morocco v South Africa [Moses Mabhida Stadium Saa 2 Usiku]
Cape Verde Islands v Angola [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 2 Usiku]
Jumatatu Januari 28
Congo DR v Mali [Moses Mabhida Stadium Saa 2 Usiku]
Niger v Ghana [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 2 Usiku]
Jumanne Januari 29
Ethiopia v Nigeria [Royal Bafokeng Stadium Saa 2 Usiku]
Burkina Faso v Zambia [Mbombela Stadium Saa 2 Usiku]
Jumatano Januari 30
Algeria v Ivory Coast [Royal Bafokeng Stadium Saa 2 Usiku]
Togo v Tunisia [Mbombela Stadium Saa 2 Usiku]
ROBO FAINALI
Jumamosi Februari 2
Mshindi Kundi B v Mshindi wa Pili Kundi A [Nelson Mandela Bay Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi Kundi A v Mshindi wa Pili Kundi B [Moses Mabhida Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
Jumapili Februari 3
Mshindi Kundi D v Mshindi wa Pili Kundi C [Royal Bafokeng Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi Kundi C v Mshindi wa Pili Kundi D [Mbombela Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
NUSU FAINALI
Jumatano Februari 6
Mshindi RF 3 v Mshindi RF 2 [Mbombela Stadium Saa 12 Jioni]
Mshindi RF 1 v Mshindi RF 4 [Moses Mabhida Stadium Saa 3 na Nusu Usiku]
MSHINDI wa TATU
Jumamosi Februari 9
[Nelson Mandela Bay Stadium Saa 3 Usiku]
FAINALI
Jumapili Februari 10
[Soccer City Saa 3 Usiku]

No comments:

Post a Comment